chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Proff mashuhuli amefariki uzi hautembei kabisa ume-stuck...
juzi amefariki mke wa Tale uzi ulikuwa unakimbia speed 120.......
sijui tatizo liko wp!?
Hii sio nchi ya wasomi ni nchi ya wajinga wanaoshabikia Simba na yanga na mondi na ndio mtaji wa CCM.Proff mashuhuli amefariki uzi hautembei kabisa ume-stuck...
juzi amefariki mke wa Tale uzi ulikuwa unakimbia speed 120.......
sijui tatizo liko wp!?
Sure thoset niggaz are crappHii sio nchi ya wasomi ni nchi ya wajinga wanaoshabikia Simba na yanga na mondi na ndio mtaji wa CCM.
Corona bado IPO SANA we kijana, usilaumu Wahindi wa Agakhan bure. Ilaumu Serikali yako kwa kupuuzia na kulaghai wajinga kama ninyi kwamba COVID-19 imekwisha.Hii hospitali ni gharama lakini hakuna lolote
Wataalamu wa kihindi vijana walio some a udaktari vyombo havieleweki wote wana degree za kuungaunga.
Ni vigumu kuona serikali imelifumbia macho hili
Ni hospitali inaajiri wahindi kuliko wataalamu
Ni bora Muhimbili kuliko hii hospitali
Usafi na uzuri wa majengo wengi wanaamini na waganga wana degree lukuki za kutoa huduma wakapona. Wajawazito wengi wanapoteza maisha hapo.
RIP Professor
Ni Professor Mbwete kaacha " Vimbwete". Ni mmojawapo wa WaTz Waliopata kusafiri Ughaibuni kujifunza, akaleta mazuri ya huko Kwa faida ya Wote. Bravo ViMbwete kwenye bustani zetu za Vyuo na Shule.Mbona umeandika kinyume mkuu? Ni mbwete kaacha vimbweta
Well saidSentensi hii ukiwa umefiwa na ndugu yako utaipenda? "mbapo ni mambo mawili tu kupata uzima wa milele au mauti ya milele, Bwana atupe hekima tulio hai kuzihesabu siku zetu" Yaishe kwaheri
Duh...uko sahihi...Vimbwete,sisi wa Mlimani enzi za Prof. G. Mmari & Prof. M. Luhanga tunajua Vimbwete.
Watoto wa Mkandala na Anangyise na kina SAUT,SJUITS,UDOM,MUCCOBS,etc ndio mnajua Vimbweta.