TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

Proff mashuhuli amefariki uzi hautembei kabisa ume-stuck...
juzi amefariki mke wa Tale uzi ulikuwa unakimbia speed 120.......
sijui tatizo liko wp!?
Ni kweli niliona clip moja ya wimbo mmoja unachezwa makaburini wakasema ngoma hiyo inaitwa zikiri
 
Daah

Prof Mtafiti buriani

Polen sana team Vimbwete

Aliwahi kufanya research kuhusu bottled water na kugundua si salama kwa watumiaji, Walipwa kodi na mafanyabiashara hiyo yalikasirika na kuhakikisha wanaizima

Hakuwa jalalani maisha yake yote

Huyu ni Nyerere wa Open University of Tanzania

Poleni sana
Nyerere wa OUT na pioneer wa Elimu Tanzania ni Prof. Geofrey RV Mmari.
 
Mtazamo tu, mwingine anaweza akamtaja Dr Jpm
Mkuu heshima yako,
Nafikiri alipomtaja huyo alikuwa anataka kumuweka katika ramani ya Waasisi, lakini Uhasisi unaendana na sifa za msingi, ambazo zinaendana na muhusika, Ukimtaja Mtu ambaye hana sifa ya uhasisi utaenda kinyume na misingi ya uhasisi.
 
Social media wengi ni vilaza watamjualia wapi Prof ?Ma star wengi ni vilaza na maisha yao feki wanawadanganya vilaza wenzao ndo maana wanakuwa popular. Social media zimewapa plate-forme hata vilaza,idiots.
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️👍🏽
 
Kumbe hivyo vimbweta ndio asili yake hiyo, halafu ni vimbweta sio vimbwete, haviitwagi hivyo
Vimbwete,sisi wa Mlimani enzi za Prof. G. Mmari & Prof. M. Luhanga tunajua Vimbwete.
Watoto wa Mkandala na Anangyise na kina SAUT,SJUITS,UDOM,MUCCOBS,etc ndio mnajua Vimbweta.
 
Proff mashuhuli amefariki uzi hautembei kabisa ume-stuck...
juzi amefariki mke wa Tale uzi ulikuwa unakimbia speed 120.......
sijui tatizo liko wp!?
Prof........( nimesahau jina kidogo) alizindua kitabu chake cha Makuwadi wa soko huria siku hiyo hiyo Juma Nature alikuwa anazindua wimbo wake wa "Ugali", ukumbi ulijaa kwa Juma Nature kuliko kwa Proffessor.

Vitu vya hovyo ndio huthaminiwa na hii ngozi nyeusi
 
Aliyewahi kuwa Vice Chancellor wa Chuo kikuu Huria cha Tanzania Prof T Mbwette alifariki dunia jana jioni katika hospitali ya Aghakan.

Prof Mbwette alikuwa mwanataaluma mahiri katika fani ya uhandisi. Kabla ya kuwa VC Open University alifundisha kwa miaka mingi UDSM.

Wengine mtakumbuka viti viitwavyo vimbwete vyuoni. Yeye ndiye alibuni na kuanzisha viti hivi akiwa mhadhiri UDSM.

Apumnzike kwa Amani.


PROF. TOLLY SALVATORY AUGUSTIN MBWETTE

Prof. Mbwette
is a holder of a BSc. Engineering (Hons) degree specialized in Civil Engineering since 1981. He has gained a wide range of management experiences of higher education institutions at both micro and macro levels. He has for the last twenty nine years been a team leader of various multi-disciplinary research teams responsible for treatment of both drinking and wastewater treatment systems that rely on bio-systems. He has a broad experience in management of higher education institutions initially through being an Associate Dean responsible for Research, Publications and Postgraduate Studies for three years in the former Faculty of Engineering at University of Dar es Salaam after which he assisted the UDSM Vice Chancellor in Coordinating the much acclaimed University of Dar es Salaam (UDSM) Transformation Programme for eight years between July 1994 and April, 2002. Prof. Mbwette has also participated and been involved in co-ordination of a number of co-operation programmes between Europe and America and Universities in Africa ranging from East, Central and Southern Africa.


Prof. Mbwette has also gained experience in reform and/or transformation of a number of Organizations through re-design of organizational structures of a number of institutions and companies. He has led teams involved in institutional development of ten different Tanzanian and four regional institutions including AICAD Research Institute funded by JICA and East African Governments based in Kenya as well as The National University of Rwanda. He has been involved in formulation of the National ICT Policies and Master plans in the higher education sector in Yemen and Ethiopia in collaboration with TU Delft and the Vrije University of Amsterdam (VUA) apart from his involvement in the school mapping project for primary schools in Tanzania.
Prof. Mbwette has been involved in the planning and implementation of ICT Projects in Tanzania. He has also participated in a number of regional efforts and conferences in application of ICT in the education Sector, including being the Secretariat of an African bandwidth investigation initiative sponsored by the four America foundations between the year 1999 and March 2002.
Moreover, Prof. Mbwette has vast experience in working with a number of public and private higher education institutions within and outside the country. In most of the work experiences, Prof. Mbwette has played the role of either a team leader or a co-ordinator thus clearly demonstrating his ability to work with a variety of teams.


Previous Positions Held


Prof. Mbwette has held various positions in higher learning institutions. Between January, 2004 and 12th April, 2005, he was Deputy Vice Chancellor (Academic) at the Open University of Tanzania. Since 13th April, 2005 to date, he is the Vice Chancellor, Open University of Tanzania following his re-appointment for a further five years with effect from 13th April 2010 . He has been the Chairman of the IUCEA Governing Board for two years (2007-2009) and he was the Founder Chairman of TERNET Council between April 2007 and April 2010. Between December 2006 and December 2009, Prof. Mbwette was the Chairman of the Tanzania Commission for Universities (TCU). He has been the Vice Chairperson of the Executive Board of the African Council on Distance Education (ACDE) between July 2008 and July 2011 as well as one of the two Vice Chairpersons of the IUCEA Governing Board from July 2008 to June 2010. From September 2009, Prof. Mbwette is an Honorary Advisor to the Commonweaith of Learning (COL). In July 2011, Prof. Mbwette was duly elected as the President of ACDE for a period of three (3) years.


Academic Qualifications


Institution: University of Dar es salaam, Tanzania
Dates: 1977 - 1981
Qualifications: B.Sc. Engineering (Hons) [First Class]
Content: Civil Engineering


Institution: International Institute for Hydr. & Env. Eng., The Netherlands
Dates: 1981 - 1982
Qualifications: Dip. S.E. (Delft), [Distinction], M.Sc. equivalent
Content: International Course for San. Engineering


Institution: University of Dar es Salaam, Tanzania
Dates: 1982 - 1984
Qualifications: M.Sc. Engineering [Unclassified]
Content: Civil/Environmental Engineering


Institution: University of London, Imperial College of Science & Technology
Dates: 1985 – 1989
Qualifications: P.h.D (London), DIC
Content: Public Health/Environmental Engineering

Kumbe Vimbweta vina historia ya kipekee
 
Prof Chachage seth Chachage, kitabu kiligharimu kitu cha thaman zaid kwa Prof
Prof........( nimesahau jina kidogo) alizindua kitabu chake cha Makuwadi wa soko huria siku hiyo hiyo Juma Nature alikuwa anazindua wimbo wake wa "Ugali", ukumbi ulijaa kwa Juma Nature kuliko kwa Proffessor.

Vitu vya hovyo ndio huthaminiwa na hii ngozi nyeusi
 
Mungu anempenda zaidi sisi makamanda tukifa yunazikwa na mabuti na kofia kutokama na nature ya kazi yetu uyo nae kwa kuwa ni msomi wamzike na vyeti vyake vyote.....

Mkuu salaam

We mjeda una shida sana ujue

uliona wapi mtu anazikwa na vyeti vyake aisee!

Wajeda mambo yenu mnayajuaga wenyewe!
 
Changamsha genge mkuu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]azikwe navyo sasa unazani nani atavitumia...
Mkuu salaam

We mjeda una shida sana ujue

uliona wapi mtu anazikwa na vyeti vyake aisee!

Wajeda mambo yenu mnayajuaga wenyewe!
 
Social media wengi ni vilaza watamjualia wapi Prof ?Ma star wengi ni vilaza na maisha yao feki wanawadanganya vilaza wenzao ndo maana wanakuwa popular. Social media zimewapa plate-forme hata vilaza,idiots.

Huyu mtu, Prof Mbwete amechangia mambo mengi sana kwa ustawi wa Tanzania. Ni mhandisi wa ukweli. Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele
 
Prof........( nimesahau jina kidogo) alizindua kitabu chake cha Makuwadi wa soko huria siku hiyo hiyo Juma Nature alikuwa anazindua wimbo wake wa "Ugali", ukumbi ulijaa kwa Juma Nature kuliko kwa Proffessor.

Vitu vya hovyo ndio huthaminiwa na hii ngozi nyeusi
Hakuna kitu cha hovyo, sema wewe hufaidiki nacho.

Maisha yanampa kila mtu fulsa, wewe kivyako na wao kivyao. Usomi sio uungu ni njia za utafutaji tu, na muziki na entertainment zingine ni hivyo hivyo.

Ukiwa upande mmoja usiudharau upande mwingine, hatuwezi wote kuwa sawa au kufanya kitu kimoja au kibachofanana duniani humu.

Na hata ukiwachukia haikufanyi wewe kuwa wa maana kuliko wao.
 
Prof........( nimesahau jina kidogo) alizindua kitabu chake cha Makuwadi wa soko huria siku hiyo hiyo Juma Nature alikuwa anazindua wimbo wake wa "Ugali", ukumbi ulijaa kwa Juma Nature kuliko kwa Proffessor.

Vitu vya hovyo ndio huthaminiwa na hii ngozi nyeusi
Ndio maana tupo masikini sana.....
baada ya kusaka maarifa kupitia vitabu au mafunzo tubadiliahe umasikini.....
tunachangamkia habari ambazo hazibadilishi
quality ya maisha yetu, so bad.
 
Cha kushangaza anazidiwa umaarufu hata na Kina Giggy money na Steve Nyerere hata ndan ya Corridor za vyuo vikuu vya Nchi ya uchumi wa kati

Society yetu imetawaliwa na watu wasiojielewa, wanaoendesha mambo kwa mahiri, kwa kutumia social media
 
Prof........( nimesahau jina kidogo) alizindua kitabu chake cha Makuwadi wa soko huria siku hiyo hiyo Juma Nature alikuwa anazindua wimbo wake wa "Ugali", ukumbi ulijaa kwa Juma Nature kuliko kwa Proffessor.

Vitu vya hovyo ndio huthaminiwa na hii ngozi nyeusi
... Prof. Chachage S. Chachage! Naye alishafariki muda sana tena ilikuwa ghafla tu.
 
Hii Agakhan hiii!! Yaani wengi wanaolazwa hapo wanakufa Why? Mmarangu Coach, Mze Makoi wa TRC Enzi hiyo, Mke wa Tale na Leo Prof Mbwete!! RIP Professor. Umetuachia urithi wa ViMbwete
Hii hospitali ni gharama lakini hakuna lolote
Wataalamu wa kihindi vijana walio some a udaktari vyombo havieleweki wote wana degree za kuungaunga.
Ni vigumu kuona serikali imelifumbia macho hili
Ni hospitali inaajiri wahindi kuliko wataalamu
Ni bora Muhimbili kuliko hii hospitali
Usafi na uzuri wa majengo wengi wanaamini na waganga wana degree lukuki za kutoa huduma wakapona. Wajawazito wengi wanapoteza maisha hapo.

RIP Professor
 
Social media wengi ni vilaza watamjualia wapi Prof ?Ma star wengi ni vilaza na maisha yao feki wanawadanganya vilaza wenzao ndo maana wanakuwa popular. Social media zimewapa plate-forme hata vilaza,idiots.
Hahaha ndio maisha yalivyo, wote tumo duniani humu humu. Ningefarijika kuona waliosoma wanahamia sayari za mbali ili kutengeneza hizo class.

Mbona kuna ma professors wa music na hata mashahiri au nyie kwa tafsiri zenu mtu wa maana ni nani hasa?!

Tujifunze ku-value binadamu wote hata wale wenye mitindio ya ubongo, hakuna binadamu wa hovyo.

Sasa idiots na vilaza wanapaswa kuishi wapi au waishi vipi?! Social media haisemi ni intellectual peke yao ndio wanapaswa kuitumia.

Miziki yao mnaisikiliza lakini waimbaji mnawaita vilaza, hahaha jamani tujifunze kuvumiliana hanuna anayependa kuitwa idiot au kilaza.

Hata ukuwa na mali nyingi, akili nyingi,na elimu kubwa bado wewe ni binadamu kama asiyekuwa na mali au akili na elimu.

Tusiwe watu wa hivyo, tuheshimiane jamani.
 
Back
Top Bottom