Profesa wa literature aitahadharisha CCM kuhusu nguvu ya CHADEMA

Profesa wa literature aitahadharisha CCM kuhusu nguvu ya CHADEMA

Vitabu vya watoto hata vikaragozi ni taaluma kubwa yenye kuhitaji weledi na elimu ya kutosha.. Wee unadhani watu wanajiandikia tuu.. Jaribu uone
Uongo, nchi ikusomeshe kwa mabilioni halafu feedback iwe sungura na fisi
 
Uongo, nchi ikusomeshe kwa mabilioni halafu feedback iwe sungura na fisi
Unayajua mabilioni au unaongea tuu.. Nitajie nani kasomeshwa kwa mabilioni hata nje ya Africa
 
Uzi kama huu huwezi kabisa kumsikia mdogo wangu Lucas Mwashambwa akichangia kitu. Yeye kajikita katika kumsifu kiongozi mtukufu wake
 
Mwambie Professor, uchambuzi wa vitabu ni tofauti na uchambuzi wa siasa.
 
Back
Top Bottom