Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #41
Hahahaha🤣🤣🤣Hali ni ngumu mwanaharakati huru alikuwa analalamika leo🐼View attachment 3214927
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha🤣🤣🤣Hali ni ngumu mwanaharakati huru alikuwa analalamika leo🐼View attachment 3214927
Uongo, nchi ikusomeshe kwa mabilioni halafu feedback iwe sungura na fisiVitabu vya watoto hata vikaragozi ni taaluma kubwa yenye kuhitaji weledi na elimu ya kutosha.. Wee unadhani watu wanajiandikia tuu.. Jaribu uone
Yule profu njaa na kujikombachawaWenye akili na jicho la tatu wametazama deep siyo yule Profesa wa Ubungo aliyesema ni ujinga mtu na Makamu kugombea nafasi moja
Sasa Dunia imejifunza kutoka Tz
Huyu alikuwa kwenye payroll yao, huyu ni sawa na paka tu, katumwa, wachawi ni hao aliowatajaHali ni ngumu mwanaharakati huru alikuwa analalamika leo🐼View attachment 3214927
Unadhani tangu aanze kusoma elimu bure mpaka uprofesa ni pesa ngapiUnayajua mabilioni au unaongea tuu.. Nitajie nani kasomeshwa kwa mabilioni hata nje ya Africa
Kalamba asaliSi unajua Mkumbo tafasiri yake!?😂
😂😅😆🤣Mtu akihamia ccm hata angekua msomi vipi huaga anakua takataka tu;
Miongoni mwa maprof wa hovyo nchiniYule profu njaa na kujikombachawa
Elimu wanayo ndio maana wana utajiri wa vitu khalaghabhao!Utajiri wa kwanza ni elimu wewe sio vitu
Kwani akina Polepole na Bashiru walikuwa wanapambana na wapinzani kwa hoja, au walitembelea kiburi cha madaraka cha Magufuli?Hali ni ngumu mwanaharakati huru alikuwa analalamika leo🐼View attachment 3214927