Profesa Wajackoyah awa mtu wa kwanza kutoka nchi za kigeni kuwasili Arusha kumpokea Lema

Profesa Wajackoyah awa mtu wa kwanza kutoka nchi za kigeni kuwasili Arusha kumpokea Lema

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili, kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.

Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa.

FB_IMG_1677573011301.jpg
FB_IMG_1677572991302.jpg
FB_IMG_1677572998567.jpg
 
Acheni ganjaa nchi hii iko wazi, udhaifu ni mwingi mnaweza pengne pengne mkaingia ikulu, acheni ganjaa, tamaa, na wanasiasa malaya malaya muwatimue, sisi tuko pale misingi ikiwa mizuri, hakuna namna mnawapigia magoti mabepari, mnafanya maamuzi kulingana na utamaduni/dini wetu/zetu.

Yaani maswala ya ushoga kuyatetea hayapo, yaani kiufupi mmekaa vizuri kila ktu kipo systematic kula yangu ni kwenu... Kuna mtu fulani hivi anacheza vibaya sana na shamba, dawa yake ni 2520[emoji3061] akili ku mkichwa yeye anakili ku... Lembua lembua lembua lembua, na mbu ndo hao apo awoooo, karbuni mbu nasikiliza taarabu zetu, dawa yenu ni dawa ya mbu [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
 
Lupweko,
Maoni ya mbunge wa CCM Si maoni ya chama ndomana amepuuzwa,

CDM pia wampuuze huyo mgeni na Lema aliyemkaribisha.

Maana Arusha na atokapo wajakoya ni KARIBU, yaezakuwa wameanza kuvuta bangi pamoja kitambo.

MARUFUKU ktk Nchi yangu TANZANIA kujitafutia pesa za haraka Kwa kuharibu ufahamu wa watu Kwa Moshi wa bangi.

Moshi huo umeharibu sana Tarime Hadi kulazimika kuweka Kanda maalum.
 
Maoni ya mbunge wa CCM Si maoni ya chama ndomana amepuuzwa,

CDM pia wampuuze huyo mgeni na Lema aliyemkaribisha.

Maana Arusha na atokapo wajakoya ni KARIBU, yaezakuwa wameanza kuvuta bangi pamoja kitambo.

MARUFUKU ktk Nchi yangu TANZANIA kujitafutia pesa za haraka Kwa kuharibu ufahamu wa watu Kwa Moshi wa bangi.

Moshi huo umeharibu sana Tarime Hadi kulazimika kuweka Kanda maalum.
Haijaja bangi , amekuja Wajackoyah
 
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu , Godbless Lema , anayewasili kesho kutokea Canada , Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania , baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020 .

Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya , huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022 .

Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa

View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490
Karibu sana shujaa Lema!
 
Ni Bora wajackoya angekuwa rais wa nchi hii,. Angehamasisha bangi kwa maendeleo ya watu,. Kuliko mwenda zake aliyehamasisha chuki, dhuruma na mauaji dhidi ya raia wake..
 
Back
Top Bottom