Profesa Wajackoyah awa mtu wa kwanza kutoka nchi za kigeni kuwasili Arusha kumpokea Lema

Profesa Wajackoyah awa mtu wa kwanza kutoka nchi za kigeni kuwasili Arusha kumpokea Lema

Unaenda kinyume na kiongozi wako marehemu aliwahi kusema ikibidi mawaziri wavute bangi kuchapa kazi.
Sina kiongozi marehemu,

Mimi ni mwana wa Mfalme aliye HAI,

Yesu KRISTO, Mungu mkuu, MTAKATIFU.

Amen.
 
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.

Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa

View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490
Hao ndiyo maprofesa siyo ile design ya wale wa majalalani
 
Swaziland inapata almost 20%ya GNP kupitia bangi!,Tanzania endeleeni kulala, ndio maana India &Kenya wana lead to export tanzanite!!duniani
Nimesema ni MARUFUKU bangi kuhalalishwa kwenye Nchi yangu TANZANIA,

Ukiambiwa umpe tajiri mkeo akupe billions of money utakubali sababu ni biashara inayolipa?
 
Mwamba huyu hapa


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20230215_210109_703.jpg
    IMG_20230215_210109_703.jpg
    46.1 KB · Views: 3
Nimesema ni MARUFUKU bangi kuhalalishwa kwenye Nchi yangu TANZANIA,

Ukiambiwa umpe tajiri mkeo akupe billions of money utakubali sababu ni biashara inayolipa?
Nami kwenye nchi yangu Tanzania, bangi ihalalishwe na ilimwe kitaalamu ili tuweze to export ili tuongezee $$$
 
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.

Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa

View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490
Bora wangemualika Nuru OKANGA, huyo mvuta bange ataharibu maadili ya nchi kwani hotuba zake ni matusi matupu na ku promote hilo Jani pori aina ya bangi
 
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.

Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa

View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490
Jasusi hilo
 
Bora wangemualika Nuru OKANGA, huyo mvuta bange ataharibu maadili ya nchi kwani hotuba zake ni matusi matupu na ku promote hilo Jani pori aina ya bangi
Hivi unafahamu kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi vinara wa kuvuta bangi ?
 
Nami kwenye nchi yangu Tanzania, bangi ihalalishwe na ilimwe kitaalamu ili tuweze to export ili tuongezee $$$
Nchi hii hutomsikia jambo Hilo likitokea.

Hili ni TAIFA la AGANO,

Ukiona hayo yameruhusiwa juu ya nchi, Mungu asipoipiga Nchi Kwa mapigo, viongozi watakiona Cha mtema Kuni.
 
Sina kiongozi marehemu,

Mimi ni mwana wa Mfalme aliye HAI,

Yesu KRISTO, Mungu mkuu, MTAKATIFU.

Amen.
Daah yesu kristo halafu ni Mungu mkuu halafu ni mfalme aliye hai halafu ni mtakatifu.
 
Daah yesu kristo halafu ni Mungu mkuu halafu ni mfalme aliye hai halafu ni mtakatifu.
Sijakosea hata nukta, ndivyo ilivyo.

Ukitumia akili za kibinadamu kamwe huwezi elewa nilichoandika.
 
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.

Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa

View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490
WANAUME WANARUDI!
 
Back
Top Bottom