Sina kiongozi marehemu,Unaenda kinyume na kiongozi wako marehemu aliwahi kusema ikibidi mawaziri wavute bangi kuchapa kazi.
Mimi ni mwana wa Mfalme aliye HAI,
Yesu KRISTO, Mungu mkuu, MTAKATIFU.
Amen.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina kiongozi marehemu,Unaenda kinyume na kiongozi wako marehemu aliwahi kusema ikibidi mawaziri wavute bangi kuchapa kazi.
Hao ndiyo maprofesa siyo ile design ya wale wa majalalaniTaarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.
Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa
View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490
Kwa hiyo real ni kama wale wa majalalani?Huyo wajackal ni comedian tu kama mandonga
Swaziland inapata almost 20%ya GNP kupitia bangi!,Tanzania endeleeni kulala, ndio maana India &Kenya wana lead to export tanzanite!!dunianiHuyo muhamasisha bangi anaharibu image ya CDM,
Bangi Bangi tu.
Nimesema ni MARUFUKU bangi kuhalalishwa kwenye Nchi yangu TANZANIA,Swaziland inapata almost 20%ya GNP kupitia bangi!,Tanzania endeleeni kulala, ndio maana India &Kenya wana lead to export tanzanite!!duniani
Nami kwenye nchi yangu Tanzania, bangi ihalalishwe na ilimwe kitaalamu ili tuweze to export ili tuongezee $$$Nimesema ni MARUFUKU bangi kuhalalishwa kwenye Nchi yangu TANZANIA,
Ukiambiwa umpe tajiri mkeo akupe billions of money utakubali sababu ni biashara inayolipa?
Aiseeee !!Swaziland inapata almost 20%ya GNP kupitia bangi!,Tanzania endeleeni kulala, ndio maana India &Kenya wana lead to export tanzanite!!duniani
Bora wangemualika Nuru OKANGA, huyo mvuta bange ataharibu maadili ya nchi kwani hotuba zake ni matusi matupu na ku promote hilo Jani pori aina ya bangiTaarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.
Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa
View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490
Jasusi hiloTaarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.
Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa
View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490
Hivi unafahamu kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi vinara wa kuvuta bangi ?Bora wangemualika Nuru OKANGA, huyo mvuta bange ataharibu maadili ya nchi kwani hotuba zake ni matusi matupu na ku promote hilo Jani pori aina ya bangi
Nchi hii hutomsikia jambo Hilo likitokea.Nami kwenye nchi yangu Tanzania, bangi ihalalishwe na ilimwe kitaalamu ili tuweze to export ili tuongezee $$$
Si ni akina lema wa kaskazini na wewe ukiwepo?Hivi unafahamu kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi vinara wa kuvuta bangi ?
Daah yesu kristo halafu ni Mungu mkuu halafu ni mfalme aliye hai halafu ni mtakatifu.Sina kiongozi marehemu,
Mimi ni mwana wa Mfalme aliye HAI,
Yesu KRISTO, Mungu mkuu, MTAKATIFU.
Amen.
Sijakosea hata nukta, ndivyo ilivyo.Daah yesu kristo halafu ni Mungu mkuu halafu ni mfalme aliye hai halafu ni mtakatifu.
AmeenNchi hii hutomsikia jambo Hilo likitokea.
Hili ni TAIFA la AGANO,
Ukiona hayo yameruhusiwa juu ya nchi, Mungu asipoipiga Nchi Kwa mapigo, viongozi watakiona Cha mtema Kuni.
WANAUME WANARUDI!Taarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili , kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Mmoja wa Wageni watarajiwa ambaye tayari amewasili anaitwa Profesa George Luchiri Wajackoyah kutoka Jamhuri ya watu wa Kenya, huyu aligombea Urais wa Kenya mwaka 2022.
Mh Wajackoyah amepokelewa na Viongozi wa Kanda ya Kaskazini wakiongozwa na Katibu wa Kanda hiyo Amani Golugwa
View attachment 2532488View attachment 2532489View attachment 2532490