Jiulize kwanza huyo Kabudi alikuwa akifundisha somo gani hapo chuoni.Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Family lawJiulize kwanza huyo Kabudi alikuwa akifundisha somo gani hapo chuoni.
Na waalimu wangapi wamepambana na wanafunzi wao mahakamani kuanzia kina Lamwai, Tenga, Mvungi, nk..
Family l
Masomo yasiyokuwa na implication kubwa kwenye practice... sijui legal history etc!!!!Family law
Unamsifia sana kabud, lakin ndio huyo huyo akaleta vituko vya juice ya Madagascar, kachangia nchi kuingia kwenye mikataba ya hovyo and akawa chawa mpaka kufikia kumuita bindam MunguPale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua...
Usisahau huyu Lissu alimuita huyo mwalimu wake proffesorial rubbish huku mwenyewe akikimbia ukimbizini kukimbia kesi alizokua ameshitakiwa.
Proffesor Aidan Mwaluko wala huwezi kumlinganisha na Lissu. Lissu ni kishuguu mbele ya mlima Kilimanjaro. Majigambo ya lissu na kujiamini bure ndio kuna wanafikiri ana weledi sana kwenye sheria
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Hata mm nisiyejua Sheria Kwa kesi hii Kabudi hanishindi. Hata wewe unaongea tu ila mazingira unayajua. Wamechemka sana. Huwezi kukamata mtu uwanja wa ndege eti umpeleke mahakamani ushinde labda umkamate na madawaPale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Tusamehe tu huyu ni Mtanzania mmoja kilaza asiyeijua Katiba ya nchi yake alafu ukute ni kamanda mahiri wa chademaMkuu wangu anae wakilisha serikali kwenye civil cases ni Attorney general
Kwenye criminal ni Dpp
How waziri awe ana appear in person kwenye litigation ?
Fanya tafiti kidogo
Kabudi umewahi kumuona Mahakamani? Kwanza uwakili amepata juzijuzi tu walikuwa wanakula kichwa kila akipeleka petition huyo amekariri mavitu yake anayofundisha chuo lakini hajawahi kutia mguu mahakamani.Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Hotuba fupi ya Jaji Mkuu wakati WA uapisho WA Johari na wengineo inaeleza vizuri, watu wanavyoshindwa kujua wajibu wao.Usomi Si kitu,
Inategemea umesimama upande wa Haki au upande ovu,
Spika Tulia na usomi wake, ameshindwa jua kuwa wabunge wasio na chama hawaruhusiwi bungeni, ila Yeye kawakumbatia.
Ni hayo tu.
Kwa hiyo, mtumishi wa serikali mwenye uwezo wa kujilipia gharama za kesi yake akishtakiwa kama individual, serikali ndiyo huwa inamtafutia wakili? Maana nilisikia Chadema walisema watashtaki wao kama wao na si kwa vyeo vyao. Pili, katika mazingira ya kawaida, mahakamani jambo muhimu ni ushahidi wenye uzito na si nani anamtetea nani.Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Umeandika ujinga mwingi sana kama ule unaoandika kule jukwaa la michezo. Umekidhalilisha hata chuo chako SAUTI unachotambia siku zote.Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Haya basi sawa vaa chupi yako uende!Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Badala ueleze kuhusu kesi,umejaza "eti...eti" na kusifia wanaume.Stupid!Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.