Wewe utakuwa mke wa mtu, kama ni mwanaume huwezi kuwa na ujinga huu! kama wewe ni mwanaume, basi Utakuwa mwanaume wa mtu ndani ya CCM
Kabudi siasa zimeisha mharibu ,uzee pia ,hatafua dafu, by the way to be Prof doesn't mean you know every thing.Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Waziri akasimamie kesi!!!!Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
β οΈβ οΈβ οΈKabufi hajawahi kusimamia kesi mahakamani.
ππππLissu alikuwa analisimamisha bunge kwa kutoa elimu ya sheria hadi magwiji wa sheria kina Andrew Chenge kipindi hicho akiwa AG alikuwa anatulia kusikiliza madini ya Lissu.
Kufundishwa chuo na lecturer haina maana eti huwezi kuwa bora kuliko yeye, lahasha!
Kwenye sheria kwasasa hakuna anayeweza kupambana na Lissu ndiyo maana 2017 walishindwa kujibizana kwa hoja na Lissu wakaamua kumshambulia kwa makumi ya risasi.
Ni fedheha post kama hii kuonekana JF.Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Huyu 1979Magufuli ni mwanaume Mke wa mtu mle CCMMleta mada jina lako linaakisi uwezo wako wa uelewa na ushamba
Alikuwa anatoa macho kama kabanwa na mlango.Unadhani ukiwa Mwalimu wa Tundu Lisu basi tayari ni wakili ππ
Ila Kabudi aliomba uwakili wakati wa akina Pascal Mayalla πΌ
Ukikua utaachaPale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Kweli Usomi na Hekima ni vitu 2tofauti,hizi ni pumba za msomi,Usingesoma duuh hatari!Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.
Awadh anafunguliwa kesi ya binafsi ambayo haimuhusu CP Awadh.Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.
Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.
Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.
Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.
Achaneni na kesi shauri yenu.