Professa Palamagamba Aidan Kabudi mwalimu wa Tundu Lissu mwaka wa kwanza sheria, atasimama mahakamani kumwakilisha CP Awadh dhidi ya vibaraka

Professa Palamagamba Aidan Kabudi mwalimu wa Tundu Lissu mwaka wa kwanza sheria, atasimama mahakamani kumwakilisha CP Awadh dhidi ya vibaraka

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
AG hakua Chenge alikua George Masaju, ilikua hivi.
Speaker anamuuliza AG kuhusu huo utaratibu na mapendekezo, AG anajibu nakubaliana na mapendekezo ya Mh Andrew Chenge kama yalivyo lakini ya Mh tundu lissu sikubaliani nayo.
Speaker anamuita Mh Chenge tena, Chenge anakuja tena kutoa Clarification anakubaliana na mapendekezo ya Mh Tundu kama yalivyo. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Bunge Zima ni kicheko tu na makofi.
Yule Masaju tulipigwa hakukua na AG pale.
😁😁😁😁
 
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.

Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.

Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.

Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.

Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.

Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.

Achaneni na kesi shauri yenu.

Wewe yawezekana uliishia kwenye certificates au vidiploma.

SIsi wengine tunajua wazi kabisa kuna watu wengi ambao waliwafundisha wengine, na hao wengine wakawa wana weledi maradufu ya watu waliowafundisha.

Mimi binafsi nawaheshimu sana walionifundisha, lakini likija suala la weledi wa kwenye fani yangu, wengi walionifundisha kwenye hatua fulani, hawajui wala kunifikia nilipofika hata kwa 50%.

Hivi unajua pale chuo Kikuu Prof. Kabudi alikuwa anafundisha nini! Kawaulize waliosoma sheria. Somo lake kuu lilikuwa ni family Law, yaani masuala ya mirathi na ndoa.

Kwa pale kitivo cha sheria, somo hilo linachukuliwa kama ilivyo DS kule Science, ni somo ambalo hakuna anayeweza kushindwa.
 
Wewe yawezekana uliishia kwenye certificates au vidiploma.

SIsi wengine tunajua wazi kabisa kuna watu wengi ambao waliwafundisha wengine, na hao wengine wakawa wana weledi maradufu ya watu waliowafundisha.

Mimi binafsi nawaheshimu sana walionifundisha, lakini likija suala la weledi wa kwenye fani yangu, wengi walionifundisha kwenye hatua fulani, hawajui wala kunifikia nilipofika hata kwa 50%.

Hivi unajua pale chuo Kikuu Prof. Kabudi alikuwa anafundisha nini! Kawaulize waliosoma sheria. Somo lake kuu lilikuwa ni family Law, yaani masuala ya mirathi na ndoa.

Kwa pale kitivo cha sheria, somo hilo linachukuliwa kama ilivyo DS kule Science, ni somo ambalo hakuna anayeweza kushindwa.
Mleta mada anadhani ukifundishwa na mwalimi mjinga na mwanafunzi utakuwa mjinga vilevile au ukifundishwa na mwalimu mwelevu sana na wewe utakuwa utakuwa mwelevu sana.
 
Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Mwanafunzi anaweza kumzidi uwezo Mwalimu wake. Tofauti tu ni kuwa mwalimu akizaliwa mapema kabla ya Mwanafunzi. Kuwa Mwalimu haimanishi kuwa una akili au uwezo kuliko wanafunzi wako.
 
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.

Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.

Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.

Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.

Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.

Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.

Achaneni na kesi shauri yenu.
20240816_141310.jpg
 
Wewe yawezekana uliishia kwenye certificates au vidiploma.

SIsi wengine tunajua wazi kabisa kuna watu wengi ambao waliwafundisha wengine, na hao wengine wakawa wana weledi maradufu ya watu waliowafundisha.

Mimi binafsi nawaheshimu sana walionifundisha, lakini likija suala la weledi wa kwenye fani yangu, wengi walionifundisha kwenye hatua fulani, hawajui wala kunifikia nilipofika hata kwa 50%.

Hivi unajua pale chuo Kikuu Prof. Kabudi alikuwa anafundisha nini! Kawaulize waliosoma sheria. Somo lake kuu lilikuwa ni family Law, yaani masuala ya mirathi na ndoa.

Kwa pale kitivo cha sheria, somo hilo linachukuliwa kama ilivyo DS kule Science, ni somo ambalo hakuna anayeweza kushindwa.
Ndio maana alikazania, "We are social fathers" sio lazima ujue kuwa mkeo amekuzalia watoto halisi au kakubambikia we lea tu🀣
 
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.

Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.

Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.

Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.

Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.

Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.

Achaneni na kesi shauri yenu.
Sasa umeandika nini?
 
Mbona una chuki sana kakukosea nini Lissu? Hivi hata ungekuwa wewe ndie Lissu upigwe risasi namna ile ungebaki Tanzania?
Simchukii lissu kama yeye. Mimi wala binafsi simjui wala sijui kama nimewahi kumuona zaidi ya kwenye tv na magazeti. Ni kwamba kiitikadi simuungi mkono japo yapo mengi anayotetea nayakubali na nimewahi kumuunga mkono huku jf.
Nasikia ni mtu mcheshi pengine tukionana tunaweza hata kua marafiki.
 
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.

Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.

Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.

Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.

Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.

Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.

Achaneni na kesi shauri yenu.
Kesi yoyote ni ushahidi uliopo, siyo kwamba huyu alikuwa mwalimu wangu.
 
23 Agosti 2024
Ngorongoro, Arusha
Tanzania

PROF. PALAMAGAMBA KABUDI - WATANZANIA TUPO WOTE SAWA, TAIFA LA UPENDO TUNA HAKI SAWA ....RAIS ANAWAPENDA SANA WANA NGORONGORO ... IBARA YA 8 INASEMA MAMLAKA YOTE YA SERIKALI INATOKA KWA WANANCHI .... KAZI KUBWA NI KUHAKIKISHA USTAWI ....


View: https://m.youtube.com/watch?v=Xj9xjdD7bcw
Leo Profesa Palamagamba Kabudi akiendelea na stori zake alipofika katika kilima ambacho wakaazi wa Ngorongoro kwa siku tano mfululizo wamepiga kambi kupinga kuhamishwa
 
Yawezekana mwalimu wa Elon Musk yupo na pesa kuliko Elon
 
Back
Top Bottom