Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Watafuta post zaoAibu naona mimi!
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kama DC Kasesela na kumzushia Dr Salim kavuta!Katika Zama hizi ni rahisi Sana mtu kulishwa information hewa,Wala sio suala la kumcheka mtu
Katika Zama hizi ni rahisi Sana mtu kulishwa information hewa,Wala sio suala la kumcheka mtu
Alhaj Assad ni mtata kiaina!
Ni nini hicho watu wanadhani hakikufanyika sawa?.........kama ni utumbuzi mbona wametumbuliwa wengi tu!