Zitto naamini siku zote ni mwanasiasa makini, sipendi nijadiri sana kwa sabbu sijui nini chanzo hadi ukatoa taarifa hiyo, ila kimtizamo badiri gia ya gari lako maana unaswaga tu kila kinachokuja mbele yako, ikiwezekana ata njia badiri tu maana kuna siku utaambiwa gari lako limeibwa utakimbilia police kutoa taarifa ya kuibiwa ukiwa ndani ya gari ilo ilo...sijui utajisikiaje ushamaliza kutoa taarifa vile unatoka nje unaona gari lako limepaki, na bdae unagundua wewe mwenyewe umekuja nalo ukidrive..na ndilo gari umetoka kutolea taarifa ya kuibiwa.
Sipendi nkufikirishe sana Kiongozi.
Tunajua chama bado kichanga kipo kwenye harakati, fanya kitu unique kidogo, sasa hivi siasa za namna hiyo na kukosoa zimepitwa na wakati, jipambanue na vyama vingine,kwa mikakati mipana na ujue jamii ya sasa ya mtandao na tech.24hrs on air, ujamaliza kutype tayari washaanza uchambuzi, ni jamii inayoitaji sana Hoja yenye nguvu na Justfications, kitengeneze chama kizoeleke kivingine...JIPAMBANUE