Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kuna watu wanaamini sana udaku. Ni wa kusamehewa bure tu kama hawaamini alichokiongea Prof Assad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanaamini sana udaku. Ni wa kusamehewa bure tu kama hawaamini alichokiongea Prof Assad.
Vijana mliobarehe juzi tembeeni basi msibaki kujifungia vyumbani kugombea dressing table na dada zenu! Huku vichwani mkifikiri tz nzima iko kama huko buguruni kwenu mliko.Wameshambinya kende mzee wa watu hawezi sema.
mimi mpaka nione picha zake akiwa na hao viongozi wa dini akiwa huko kisarawe.
Ndo nitaamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaijua Kisarawe ilivyo?Kwa hiyo Jafo akiwa jimboni akitoka mjini kidogo tu anakuwa hapatikani??? Au Jokate??
Macho yanawatoka mliosema katekwaJamaa huyu ana Busara na Hekima sana.
Ameshasema huko hakukuwa na network, sasa hizo picha angepigaje?Wameshambinya kende mzee wa watu hawezi sema.
mimi mpaka nione picha zake akiwa na hao viongozi wa dini akiwa huko kisarawe.
Ndo nitaamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
One day yes.Zitto ni malaya wa kisiasa tu, huko alipo sijui atakuwa kaweka wapi sura yake yeye na kigogo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta kiongozi wa Tanzania Muslim Professionals (Tampro) cheki nae atakuambia walikuwa naye au laa.
Its an alibi that can be checked..
Hebu fikiria amesema alikuwa kwenye mkutano wa Chama cha Waislamu wenye Professions zao.. maana yake sio mtu mmoja walikuwa probably more than 20 watafute uwaulize usianze kupiga Ramli zako hapa. Angekuambia nilikuwa kwa Jumanne tungesema huyo J4 kapangwa lakini anasema alikuwa kutoa mada kwenye mkutano
Inaeleka mna matatizo makubwa ya kisaikolojia...kwanini mko hivyo???!!! why can't you grow up in your thinking??!! Alikanusha "kutekwa" ili eti afiche aibu???!! How and why???!!! Ni hatari kubwa kuwa na watu wa aina hii ndani ya nchi ambao muda wote wanaombea yawepo matukio ya kinachoitwa ''kutekwa' ...It is a shame...disgusting ...Ni utoto uliopitiliza...
Hauna tofauti na hilo jina ulilojipaUkweli unabakia palepale kuwa Assad alitekwa ingawa ccm wanalazimisha ionekane hakutekwa kukwepa Aibu Duniani
Pale CHADEMA na ACT wanapolazimisha kuficha aibu yao kwa kitu ambacho mhusika amefafanua
Vijana mliobarehe juzi tembeeni basi msibaki kujifungia vyumbani kugombea dressing table na dada zenu! Huku vichwani mkifikiri tz nzima iko kama huko buguruni kwenu mliko.
Hivi una Habari kama hii Ilala tu kuna sehemu ukifika hupatikani siku nzima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupiga picha nayo kunahitaji network?Ameshasema huko hakukuwa na network, sasa hizo picha angepigaje?
Na nyinyi aliposema 1.5Trilion mulimuona muongo lakini aliposema Kisarawe hakuna network munamuona mkweli. Enyi nzi wa kijani ni nani aliyewalaani!Aliposema 1.5trilion mkaona mkweli ila aliposema kisarawe alipokua mtandao unasumbua mnatia shaka😔enyi manyumbu hivi ni nani aliyewaroga???
Tuliosema au waliosema mimi nimesema wapi?Macho yanawatoka mliosema katekwa
Huu ulioandika ni ushuzi kama lilivyo jina lako. Toka lini mtekaji aliyefanikiwa kumtia mikononi mateka wake,akamuachie kwa sababu tu ya wabwekaji mitandaoni?Zito yupo sahihi kwa asilimia zote ni kweli huyo mzee Assad alitekwa ingawa walimuachia faster baada ya kusoma upepo unavyokwenda ni vilaza pekee watayaamini maneno ya Assad kwani ni maneno ya kuwakinda ili wasimteke tena,
Ameshasema huko hakukuwa na network, sasa hizo picha angepigaje?