Wenye akili kwa reference zipi?Yaani tuamini tu hata kama hakuna reference?Ok alitekwa.Mkuu hilo la Assad liache kama lilivyo wenye Akili wanajua nini kiliendelea na nini kinaendelea sasa.
Hahahahahahah hawa jamaa wamejaa siasa za kipumbavu sana.Wanatafuta Chuki kisha waanze kutoa mapovu.Unaijua Kisarawe ilivyo?
Hivi huu ujinga mnautoa wapi? Mwenyewe anasema hakutekwa na kutaja alikokuwa, wewe unalazimisha kwamba akitekwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye Akili wanaujua Ukweli lakini vilaza watayaamini haya maneno ya Assad
Kwani wewe una cheo cha msemaji wa profesa Assad?
Assad haongei toka moyoni anaongea kizushi ili kuepusha shari zaidi
Sio kutaka..Reasonably ningetegemea mkutano wa proffesionals Waislam kutoka Tanzania nzima ufanyike angalau Kisarawe mjini
Aliposema 1.5trilion mkaona mkweli ila aliposema kisarawe alipokua mtandao unasumbua mnatia shaka😔enyi manyumbu hivi ni nani aliyewaroga???Ukishakutekwa unaambiwa nini cha kusema. Hili suala la kuwa hakuna network linaninitia shaka kubwa. Mtu responsible na family man kama Prof Assad atakaaje kuanzia asubuhi mpaka usiku asipige simu nyumbani kuulizia wanaendeleaje? It doesnt make sense at all!
Labda neno kutekwa ni axaggeration lakini tuseme alitakiwa kwa mahojiano fulani!
Kastsfu hajaondolewaNaona Mzee kagoma kuondoka nyumba ya serikali.
Sijui Sheria inasemaje lakini anapaswa kuondoka maana imepita miezi zaidi ya miwili sasa tangu aondolewe madarakani. Mwisho atafukuzwa halafu aanze kulalamika tena.
Hiyo picha inaoneaha Bado yupo Mikocheni kotaz
Tofa
Nafikiri zitto ni mwanasiasa anaheshimika sana, ameshikiria usukani nyuma yake wakiwepo wanachama na wasiowanachama wake wanaomfuatria kwa ukaribu. Hili tusipoteze imani kwake "Kama kweli ni Mwenyewe binafai alipost" aje adharani atoe taarifa ya Kukanusha kwa maana either atwambia yeye ana Justfications za kutosha kwamba alichokitole taarifa kilikuwa cha kweli maana yake apingane na Prof.., au aseme alipotoshwa kwa taarifa za uongo au yeye binafsi alitoa taarifa za uongo, na atutake radhi kwa sabbu jamii ya watanzania tulitokwa povuuu sana...sasa bila kutusafisha unatufanya kuwa mbuzwazwa, bila kufanya hivo...kiukweli kuna siku utakuja na hoja very sensitive and serious na watu watachukulia poa tu, ni yale yale.Watanzania tusipende kuhitimisha jambo kwa wepesi. Hawa wawili kati ya Asad na Zito lipo jambo wanalijua. Inawezekana pia kilichofanyika kilimaanishwa kama kilivyotekea.
Jamaa huyu ana Busara na Hekima sana.Kuna siku niliwahi kuwaambia kuwa tujifunze kukaa kimya, sasa waliozusha habari za kutekwa Prof Assad sijui wataficha wapi sura zao, kwenye video hii anasimulia alipo kuwa.
Hivi wewe una matatizo gani? Hivi unajijua mapungufu makubwa uliyonayo?Wewe ndio mke wa asadi kwamba kila alipo na wewe unakuwepo? Ulitaka aseme ukweli upi sasa unaotaka wewe?
Twambie basi huo ukweli maana inaonekana jana kutwa nzima umeshinda na asadi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kati ya mimi, Zitto na nyie wafuasi wake nani ana mapungufu?Hivi wewe una matatizo gani? Hivi unajijua mapungufu makubwa uliyonayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto Anafikiri ACT itajengwa kupitia Twitter? Kama ni hivyo basi ni hana akiliHaya ni moja ya Mapungufu ya Zitto.
Pia anatumia nguvu kubwa sana kuijenga ACT lakini akitaka mtaji wa Wafuasi kwa Watu wengine..mfano Seif Sharif Hamad ..
Aliwahi kufanya kosa kama hili kwa Sheikh Ponda, Kabla ya kupata taarifa kamili akaandika R.I.P ..tulionya lakini Leo yanajirudia tena..
Ukaribu na Lissu pia sababu ni mtaji wa Watu..
Zitto akirekebisha hili ni Mwanasiasa Mzuri.
Ni mazwazwa mkuu,Tuliopo kisarawe tunawatazama tu...tusema hihi hihi....
Ngoja picha liende kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona haka nako!Kuna maelezo mengi sana ameyatoa kwa lugha ya kifucho katika hii clip. Mleta mada ni kati ya watu ambao hamkupaswa kuielewa ila tunashukuru hukuishia ktoielewactu bali ukaamua kutuletea.
Ungeielewa usingeileta.