Professor Assad Asimulia alipokuwa

Wameshambinya kende mzee wa watu hawezi sema.
mimi mpaka nione picha zake akiwa na hao viongozi wa dini akiwa huko kisarawe.
Ndo nitaamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana mliobarehe juzi tembeeni basi msibaki kujifungia vyumbani kugombea dressing table na dada zenu! Huku vichwani mkifikiri tz nzima iko kama huko buguruni kwenu mliko.

Hivi una Habari kama hii Ilala tu kuna sehemu ukifika hupatikani siku nzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hata familia yake isijue hayo?
 

Hayo matukio ya kutekwa hayapo?
 
Naweza nikawa na umri sawa na baba yako.
Na mama yako akawa mke wangu ..
Jiheshimu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliposema 1.5trilion mkaona mkweli ila aliposema kisarawe alipokua mtandao unasumbua mnatia shaka😔enyi manyumbu hivi ni nani aliyewaroga???
Na nyinyi aliposema 1.5Trilion mulimuona muongo lakini aliposema Kisarawe hakuna network munamuona mkweli. Enyi nzi wa kijani ni nani aliyewalaani!

1. Alipoingia kwenye gari simu ilianza kuita

Jee gari alii park Chanika?
 
Zito yupo sahihi kwa asilimia zote ni kweli huyo mzee Assad alitekwa ingawa walimuachia faster baada ya kusoma upepo unavyokwenda ni vilaza pekee watayaamini maneno ya Assad kwani ni maneno ya kuwakinda ili wasimteke tena,
Huu ulioandika ni ushuzi kama lilivyo jina lako. Toka lini mtekaji aliyefanikiwa kumtia mikononi mateka wake,akamuachie kwa sababu tu ya wabwekaji mitandaoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…