Professor Assad Asimulia alipokuwa

Wamechagua eneo ambalo lina utulivu ukizingatia ni kipindi cha siku kuu, lakini kwa nini msikubali ushauri wangu tafuteni hao members wa tampro.. mpate uhakika
 
I salute you,maelezo yake ni kwamba kaonewa ,watu wapaze sauti ,wasiogope kusema,katiba inakiukwa.
Hili kwa sisi ni dongo kwa mamlaka za kuteua na kutengua,wahusika wamemsoma barabara
Alhaj Assad ni mtata kiaina!

Ni nini hicho watu wanadhani hakikufanyika sawa? Kama ni utumbuzi mbona wametumbuliwa wengi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamechagua eneo ambalo lina utulivu ukizingatia ni kipindi cha siku kuu, lakini kwa nini msikubali ushauri wangu tafuteni hao members wa tampro.. mpate uhakika

Tufanye hivi hajatekwa, lakini mjiulize tumefikaje hapa kwenye kutokuaminiana. Haya ndio mazingira mliyoyatengeneza na mmeshaumiza sana watu wasiowasujudia, ni vyema muache maana wasiowasujudia hawatakaa wawasujudie.
 
Ruge CYM,
Yule siku hizi ni bi. Haambiliki. Kidogo tu mtandaoni. Badala ya yeye kudhibiti matumizi ya mtandao, yeye mitandao ndiyo inamdhibiti.
 

Jumapili nilikuwa Chanika. Nikawa nakuwa hewani on n off. Mpaka wife akasema, we unanini na simu yako?
 
Lipo JF ndio sababu tunajadili


Lingekuwa linawahusu wenye akili pekee sie Vilaza lisingetufikia

Prof Kakanusha kutekwa sasa nyie Habari hii mliiibua wapi?
Kwa hali ilivyo katika nchi hii hatuwezi kupata ukweli toka kwa mhanga!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
So kuna watu walikaa standby wanasubiri Prof Assad atamke kweli alitekwa?
 
Katika Zama hizi ni rahisi Sana mtu kulishwa information hewa,Wala sio suala la kumcheka mtu
Je unakula huku umefumba macho? Imani yangu inaniambia kitu huanza kuvutia macho kwanza, halafu upate hamu kukila. Fikiria upewe mende kwenye sahani utamla tu?
 
Siku zote Prof.anaongea kisomi,lazma tuwe na hofu naye ni mwalimu wetu na mtu muhimu sana.Alichikiongea kina maana kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
NI kweli. NImesikiliza clip inaonekana prof anasema mengi ambayo wengi wanaojadili hapa hawayajali. ametumia lugha ya mafumbo. hii inaonesha kwamba kuna kitu kimetokea. na inaonekana hata nyumbani kwake walikuwa wanamtafuta hawampati. na inaonekana hili tukio halikuwa la kawaida.
 
Sasa huko kazimzumbwi walikuwa wanapanga kuipindua serikali au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…