Professor J na Frank Majani wana beef zito

#majani ndio ana mhemuko wa kifikra,prof jay kaonga kiungwana,mwenye chuki,hila,uhusda na wifu ni p-funk majan inaonyesha alikuwa na uchungu kwa prof jay alikosa tu pa kuanzia kumkashifu huyu mbung,majani apunguze wifu
 
main issue ni nani mmiliki wa hiyo beat
 
Hapa wengi mmemwandama Pfunk,,lakin angalieni uandishi wa Prof J , obvious hiyo hela imemuuma sana...rudieni kusoma hiyo tweet yake
 
Majani kala jani lake akapata nguvu ya kujibu hoja.
 
Hapa wengi mmemwandama Pfunk,,lakin angalieni uandishi wa Prof J , obvious hiyo hela imemuuma sana...rudieni kusoma hiyo tweet yake
jay hajasema na p Jay kasema na cosota
usisaau ye ni mbunge kitu chochote cha uongo kitaaribu safari yake ya kisiasa
emb fikiria ccm waanze nae kwamba bila wao asingezipata izo pesa

think beyond mkuu jay ni mwanasiasa asaiv
 
majani anastahili kufika kwa psychologist
 
Nachokiona pro j yeye kaweka mambo sawa tu kuhusu hizo taarifa ya cosota wao walikuwa wanazani msanii ndio mwenye hati miliki ya ile biti sijaona ubaya hapo na majani nae pengin hakusikia taarifa vizur ndo mana kaandika post pengine alikuwa anahisi jamaa nae anataka mgao
 
Majani hajakanusha alichosema Prof. Na Prof hajalalamika, ameweka rekodi sawa nani kapata nini.

Mbona kama Majani anawaka bila msingi?

Au kuna vita zaidi nyuma ya pazia?
Kwani Prof J ni my amaji wa majani kiasi cha fedha alicho lipwa kilistahili kutajwa au swala lingebaki kwa majani?
 
Mwalimu wangu Marehemu A. Massawe aliniambia mtu akivuta bhangi mara moja inaleta athari ktk ubongo wake kwa miaka saba mtawalia! Alichoandika J na alichojibu Majani imenifanya nimkumbuke Mwl Massawe
 
Sijaona mahali Prof Jay kulalamika hajalipwa, alichopost ni kama taarifa tu ni bahati mbaya Majani kaitafsiri vibaya.
Inaonyesha Majani alikuwa na dukuduku miaka mingi kupitia mafanikio ya Professor. Sijaona sababu ya Majani kusema heshima yake imefikia hapo ,kisa statement hii?Mpuuzi sana huyu Producer bangi
 
P Akiangalia J yupo mbali,pia demu wake Kajala anamaisha nafuu kuliko yeye,hapo ndio stress zinamjaa,hata hiyo mil100 itaishia kutyombea tu na kula msuba
Yahp ana ego fulani hivi inamsumbua sana.. akijicheki alipo prof j na alipo yeye nadhani inamtatiza ukizingatia yeye ndo kaplay part kubwa kwenye ngoma nyingi za jay..(nadhani ni msanii aliyefanya kazi nyingi na p funk).. wivu fulani hivi..
 
Me shabiki mkubwa sna wa wte wawili.
Majani nahisi alkua yuko high au alkua na dukuduku,
Maana prof jeez hakumaanisha anachokisema majani.
Prof aliwaweka sawa tu nothing mire,but i think wasanii waliotokea thru majani watakua wamemtupa baada ya kutusua , inaletaga intrapersonal conflicts ss iktokea rabsha ndgo km io mtu unatema nyongo tu.
#LEGENDS
 
jay hajasema na p Jay kasema na cosota
usisaau ye ni mbunge kitu chochote cha uongo kitaaribu safari yake ya kisiasa
emb fikiria ccm waanze nae kwamba bila wao asingezipata izo pesa

think beyond mkuu jay ni mwanasiasa asaiv
Na hiki ndo watu wengi wamesahau au wanajisahaulisha maksudi,jeez ni pokitician now lazima kauli zozote znzomuhusu aweke clarifications.
Imagine sttatus km hio shabiki tu useme hela imemuuma[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…