Professor J na Frank Majani wana beef zito

Professor J na Frank Majani wana beef zito

Beat kuwa Mali ya msanii au producer nadhani ni kutokana na mkataba na jinsi makubaliano yalivyo. Kwa navoelewa mimi kipindi hicho producer majani alikua anamiliki beat zake ndio mana hata alikua hawauzii wasanii alikua anawarekd bure kabisa ila yeye alikua anamalizana nao kwenye mapato ya shows na mauzo ya Album
Ndio maana hata ukiangalia aina ya wasanii aliokua anawachagua ni wale wenye vipaji hasa ili akiwa enrol kwny Lebel waweze kuuzika fast.... Check Prof J, Juma Nature, Fid Q, Afande Sele, Mangwair, Feruz, J. Moo, Temba nk nk jamaa alikuwa anakuchukua hafu hulipi ata Mia wewe unarekodi tu bure kabisa hafu mtakatana huko mbele kwa mbele

Kuna kipindi nilimsikia akilalamika kuwa system yake hiyo ndo ilimuumiza mpk akashindwa kuendelea na wkt mwingine akitoa lawama kwa Cosota.

Nadhani hii system ya sasa iko tofauti na ilivyo kwa majani maana naona wasanii wananunua beats tena kwa pesa kubwa tu so wanakuwa na umiliki wa 100% kwny nyimbo yote mf halisi ni Mwana Fa & the Ay kwny ile kesi yao against tigo.
Okay,kama ndivyo ilivyo basi alistahili kulipwa peke yake. That's only if kama mambo yako kama ulivyofafanua.
 
Sure, ukisoma bandiko la Jay kuna info flani inawasilisha kijanja, hiyo ni zaidi ya kuweka kumbukumbu sawa. Ni Kama vile anawaambia Cosota namna hawajazingatia gawio lake, kwa upande wa Majani nae kazingua, katumia nguvu nyingi Sana so anafanya kile ambacho Jay alikitaka

At least wewe ume muelewa vyema Jay! Kimsingi Jay amelalamika sema kwenye sentensi yenye utata! Majani hana sababu za kupanic kwa sababu pesa kalipwa yeye lakini alicho sema Majani wengi hawakijui ni kwamba Jay amekuwa akilalamika kuwa hakupewa chochote.....wala hilo jambo halijaanzia hapo ni kwamba Jay ana dai alistahilj hela kwenye gawio
 
Huyo majani katoa povu kama lote! Sijui hata kama kasoma chote alichoandika Prof wazee wa kukurupuka
 
Majan inaonesha hajaelewa ,j kamanisha (serikalini uongo imekua kama njaa ikiuma lazima ufanye hima upate msosi
 
Kwa kauli hizo ni hivi PRO J HANA BIFU NA MAJANI bali majani analo bifu na J mitulinga.



Na ujazo wa wivu ndani basi na huu ukweli.
Naam!! Mheshimiwa mwenyekiti taarifa isomeke hivyo na tuweke kwenye hansard mkuu.

Umeongea points 👏👏
 
Sasa anataka apewe nini si alikua analipwa mushaurini aache mibangi anayo vuta anataka watu wa mpe nini au kuna mtu anamdai kama alishindwa kutunza pesa basi imetoka hiyo amebakiwa na wivu tu
Majani ni kama vile alig'atwa na nyoka so akiona jani nmanaogopa..amehangaika sana na bongo fleva lakini hapati heshima anayostahili.
 
Mimi nilishafika mpaka studio yake Masaki na washkaji, nikakaa naye sana, nikaona swag lake stratospheric kama yupo Compton or something.
Hahaaa ..
That dude, feels like he is straight outta Compton.
Anajikuza na kujisikia sana. Kuna stori tunazisikia redioni kwenye interview za wasanii alikuwa anapiga vibao wasanii enzi hizo kuna uhaba wa music producers.
 
P ni Majani,

Chai ni Majani,

Mimea na Wanyama ndiomaana havifanani,

Aaahh Yote Sawa.!!!
--------------------------



Hii ni Tathimin Mwanam'potevu rudi kundini.

Rapu silelemama kama wengi mnavyodhani/
Fasihi iliyo hai kuitoa jamii gizani/
Miaka ya 80s Hiphop bongo ilichipua/
Nadhani wale wakongwe rap hii mnaitambua/
Hali ilikuwa mbaya miaka ya 89 Watu hawakutaka kuelewa rap kabisa/

Mnaovunja miiko ya rap jihukumuni.

---------------------------

As Nyangame promota,
Nataka niwasidie wale wotemnaosota,

Nitawapeleka kigoma na Botswana, kisha mtachagua Chicago ama alabama,


Heshima kwenu P na J........
 
Hahaaa ..
That dude, feels like he is straight outta Compton.
Anajikuza na kujisikia sana. Kuna stori tunazisikia redioni kwenye interview za wasanii alikuwa anapiga vibao wasanii enzi hizo kuna uhaba wa music producers.
wivu tu
 
Jay kaandika kisiasa na P amegundua Jay alichomaanisha...sio rahisi kwa mimi na wewe kuelewa sababu hatujui mambo yalipoanzia hadi kuishia, sisemi P ameropoka amejua hasa alichokiandika. Lakini najiuliza kama beat si mali ya msanii kwanini walianza kumlipa Chameleon kwanza? Maana inasemekana wale jamaa walimlipa Chameleon sababu ndie mmiliki wa wimbo (wimbo haukutumika "nikusaidiaje" bali ule wa Chameleon aliotumia beat ya Nikusaidiaje)
Jay hakutakiwa kufungua kesi wala kudai chochote sababu sauti yake haikusikika kwenye hiyo muvi bali imesikika sauti ya Chameleon na beat ya P Funky na ndo hao waliostahili kulipwa. Hata kumwacha P ahangaikie kesi peke yake alikuwa sahihi Jay sababu wimbo uliosikika sio Nikusaidiaje.
 
Hahaaa ..
Inawezekana ni wivu tu, sema kazi yake (music production) anaijua sana, hilo halina ubishi tatizo yupo soft sana moyoni mwake ndio maana he is acting like a tough gangster to hide is weakness.

Very soft ni vile ugomvi na kuachana na demu wake he was mentally broken.
Maelezo kidogo ya Prof Jizeey povu kibao kama wakike, kajiapiza viapo hataheshimiana nae tena.
 
Mkuu nadhani inadepend hilo biti lilitengenezwa kabla ya msanii kutoa melody ya nyimbo au ndo ile msanii kalikuta biti studio(hapa bila shaka ni mali ya producer).. ila mara nyingi ni mali ya producer...
Sasa yeye Majani hiyo beat alimpa Prof Jay au alimuazima? Msanii anaponunua/chukua beats na kuifanyia wimbo kwa kuingiza vocals na mambo mengine automatically inakua Mali yake Sasa iweje Majani the same beat akamuuzie mwingine? ??
 
Nimekuelewa vizuri hapa budda!
Sio kwa majani.

Kwenye interview za majani alisema business modal yake ilikuwa tofauti na MJ ambaye yeye huwa anatoza studio time sio kununua beats.


Kutoka kwenye hiyo video dakika ya 8 na kuendelea P FUNK anaelezea hilo.

Yeye alikuwa anafanya kwa mtindo wa label hivyo alikuwa hacharge msanii yeyote pesa na akatoa mfano wa diamond na WCB hivyo beats zote za bongo records ni mali ya bongo records chini ya p funk.

Na hilo ulilongea kuwa msanii akilipa beats ndio umenunua pia sio kweli, Unapoenda studio unalipia unalipia studio session na sio beat Kwa mujibu wa MJ pia mikataba ya COSOTA, beat inaendelea kubaki mali ya prodyuza.

Mfano Windows ni mali ya microsoft pamoja unanunua kwa dolla zaidi ya 200 bado Microsoft wanabaki na haki ya umiliki au nguzo za tanesco.
 
Kutoka kwenye hiyo video dakika ya 8 na kuendelea P FUNK anaelezea hilo.

Yeye alikuwa anafanya kwa mtindo wa label hivyo alikuwa hacharge msanii yeyote pesa na akatoa mfano wa diamond na WCB hivyo beats zote za bongo records ni mali ya bongo records chini ya p funk.

Na hilo ulilongea kuwa msanii akilipa beats ndio umenunua pia sio kweli, Unapoenda studio unalipia unalipia studio session na sio beat Kwa mujibu wa MJ pia mikataba ya COSOTA, beat inaendelea kubaki mali ya prodyuza.

Mfano Windows ni mali ya microsoft pamoja unanunua kwa dolla zaidi ya 200 bado Microsoft wanabaki na haki ya umiliki au nguzo za tanesco.
Okay,kama ndivyo ilivyo basi alistahili kulipwa peke yake. That's only if kama mambo yako kama ulivyofafanua.
 
Hahaaa ..
Inawezekana ni wivu tu, sema kazi yake (music production) anaijua sana, hilo halina ubishi tatizo yupo soft sana moyoni mwake ndio maana he is acting like a tough gangster to hide is weakness.

Very soft ni vile ugomvi na kuachana na demu wake he was mentally broken.
Maelezo kidogo ya Prof Jizeey povu kibao kama wakike, kajiapiza viapo hataheshimiana nae tena.
unajua kilichotokea baina yake na j kabla ya hiyo tweet?
 
Back
Top Bottom