Nishafika mpaka studio ya P Funk Masaki.Bongo Records ilishakaa Masaki?
Kumbukumbu does not save me right!
Majani hajakanusha alichosema Prof. Na Prof hajalalamika, ameweka rekodi sawa nani kapata nini.
Mbona kama Majani anawaka bila msingi?
Au kuna vita zaidi nyuma ya pazia?
Sasa aliyeyaleta nje si huyo dogo Milad Ayo?Kama kikao kilikua ni cha kamati ya bunge haya majibu pia yalipaswa kuishia huko huko kwenye kamati ya bunge, kuyaleta public na ku mtaja mtu moja kwa moja sio sawa Jay kakosea.
Hivi hii studio ya huyu jamaa haikuwa bamaga pale opposite na zilipo office za Shigongo!
Nishafika mpaka studio ya P Funk Masaki.
Kumbe pesa sio wakat wote inamaliza matatizo, amelamba milion 100 ila bado ana stress
Kwani kuna sehemu Prof kasema Majani hakustaili hiyo pesa?Jay ni mbunge aache kulalamika p yupo sahihi kafanya kazi za watu miaka mingi jamani anastahili
Hiyo hela siamini kama imemuuma Prof J, sana sana angepewa kama 25Mil, wakati kwa mwaka J anaweza kuvuta zaidi ya milion 600....Hapa wengi mmemwandama Pfunk,,lakin angalieni uandishi wa Prof J , obvious hiyo hela imemuuma sana...rudieni kusoma hiyo tweet yake
Nafikiri atakuwa kwenye studio ya Marco Chali...Sidhani kama Majani katika maisha yake yote alishawahi kua na ubavu wa kuweka studio zake za Bongo records Masaki!
Studio zake zipo Mwenge maisha yao yote!
Hiyo ya Masaki labda umechanganya mambo!
Check tena vizuri!
hahaaa![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]ahsanteOk tufanye wewe ndo Prof alafu unaambiwa umevuta 100 sasa unataka kukanusha ungesemaje ili usilete mvutano.
Noma sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ukute kuna wanaokudai...Wife nyumbani utamwambia nini.. wanafamilia hawahaambulia hata miaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Yani bora useme ukweli tuOk tufanye wewe ndo Prof alafu unaambiwa umevuta 100 sasa unataka kukanusha ungesemaje ili usilete mvutano.
Sijui wakati anakaa masaki alikuwa anaiita hivyo au lah....ila Pfunk alikaa masaki.....Kiranga ni Don Town Kitambo.Bongo Records ilishakaa Masaki?
Kumbukumbu does not save me right!
Profesa ndio aliyeanza kuandika twitterSasa aliyeyaleta nje si huyo dogo Milad Ayo?
Prof J hanaga Noma kabisa na Hana ukalapina au ududu baya!
Tukubali tu P Funk kazingua!
Sio kwa majani.producer huwa analipwa chake
so obvious msanii ndio mmiliki maana huwa ananunua beats kwa producer
Hiyo hela siamini kama imemuuma Prof J, sana sana angepewa kama 25Mil, wakati kwa mwaka J anaweza kuvuta zaidi ya milion 600....
Bangi zina faida zake, zimemsaidia p funk kuona kitu Fulani ktk bandiko la prof j, kitu ambacho wengi humu hamjakiona.