TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

Pamoja na yote postmortem ya Edward Moringe Sokoine hakuandikwa au kuwekwa wazi.

Na ndiyo maana wanae walipoamua kuhamisha mwili pale ulipozikwa ulisimamiwa na wabeba mtutu.

All in all asingewezza kupingana na Mwalimu
Kwa sasa siyo siri!
Word of mouth(majunguuuuz) ni kwamba ajali ya Edwadi aligongana na Shaba, maana alianza kuwa much know kuliko wajuvi wa kisasa.
 
Prof Shaba ninamkumbuka kuwa Ni MTU wa huruma Sana na ubinaadamu uliopitiliza, Ni kwamba alikuwa kwenye kazi maalumu nje ya Dar na ikatokea yeye kupangwa pia kusimamia mitihani ya wanafunzi (M.A/Clinical officers), mwanafunzi mmoja alikamatwa Vibaya na wakataka kumfukuza chuo, Prof alitetea utafikiri ndugu yake na mwisho Yule kijana akapewa supp ya mwaka na mwisho ikaja kutiki, RIP Prof!
 
Lakini Paskali uko muwazi Sana. Yaani hata Stori za Dingi wako unazitoa humu? Hongera Sana kwa Hilo.
 
Nimekwisha kueleza haupo makini hata kidogo katika maoni yako.
Hapa unadai hunifahamu, na wakati huo huo unajifanya wewe mjuaji wa hayo mambo kuliko ninavyo yajua mimi.

Tatizo ni kuwa huna kumbukumbu na wala hujishughulishi kutaka kujua huyo unayejibishana naye rekodi yake ipoje humu JF, ili usiparamie tu kumpachika majina kwa kujipa wewe ujuaji zaidi ya mambo unayodhani yeye hayajui.

Hapa unataka kutumia umri wako kulazimisha watu waamini unayoyajuwa wewe, bila kujali huyo unayejadili naye pengine ni zaidi yako katika uzoefu wa hayo hayo unayotaka kudanganya juu yake.

Mwisho niseme, hicho kitabu hakuna, ni danganya toto tu. Na jinsi unavyopinda pinda katika kutoa visingizio vya vitisho, ni dhahirikuwa hukuwa na msaada wowote katika utumishi ndani ya mashirika hayo uliyotumikia. Ni wazi ulikuwa ni sehemu ya kuyahujumu yasifanikiwe. Ulikuwa ni sehemu ya tatizo, na siyo sehemu ya ufumbuzi.
 
Lakini Paskali uko muwazi Sana. Yaani hata Stori za Dingi wako unazotoa humu? Hongera Sana kwa Hilo.
si kwa sababu dingilai alikuwa mwandamizi kitengo.We unafikiri angekuwa pangu pakavu tia mchuzi angemuanika? Thubutu! huyu ni msukuma mwenye element za uhaya.
 
Lakini Paskali uko muwazi Sana. Yaani hata Stori za Dingi wako unazotoa humu? Hongera Sana kwa Hilo.
Mkuu Kuta, KUTATABHETAKULE , mimi ni very open and transparent, the same ilikuwa kwa Dingi wangu, tulikuwa ma besti sana, tangu mdogo ananipitisha anga zake na kona zake. Wazee wa Kisukuma, hizo ndio zao!, na mimi nimekuja kujikuta nimerithi, saa hizi niko over 50 naitafuta 60 lakini bado nafyatua ... Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako maza wa dogo atampitisha kwenye Damu ya Yesu, ili kuiflush the Sukuma blood ili asiwe kama Dingi yake na babu yake!.
P
 
Hivi ni kweli ile postm--- ilirudiwa tena na dr palanjo???
Ova
Hii sijawahi kusikia, ila Mwandishi wake wa habari alijuwa ni Acadoga Chiledi, na gari yake ndio ilikuwa 3rd car nyuma ya Sokoine, hivyo ajali imetokea mbele yake!, he had an interesting story to tell, akihadithia tuu bila ku documents, he is deceased now!.
P
 
Asante sana Mkuu Nguruvi3, umemtendea haki Prof. Shaba.
P
 
Ivi si ndo uyu walikuwa wanasema kwenda ofisini lazima awe njwiii ndo ufanisi unakuwa mkubwa?
 
Mimi kutokubaliana nawe katika baadhi ya maswala yanakupaje wewe ujuzi wa kujua kwamba nina tatizo la kisaikologia?
Wewe ni mtaalam pia katika eneo hilo?

Alimaanisha psychological au? Ina maana hata kuandika hajui huyo mzee halafu ndo kaandika kitabu basi hiyo elimu ya kipindi hiko ni ya mashaka makubwa.
 
Waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika huru alikuwa ni hayati Julius Nyerere.

Huo ndo ulikuwa ni utaratibu kwa makoloni ya Uingereza ambayo yalianza kupewa uhuru wao.

Hata Zimbabwe Hayati Bob alikuwa waziri mkuu mwaka 1980 kabla ya kuwa raisi kamili mwaka 1987.

Tanganyika ikaitwa "Republic" yaani Jamhuri ya Tanganyika.

Hayati Mwalimu alikuwa ni waziri mkuu ambae alipewa muda wa kuongoza serikali ya mpito (caretaker government) mwaka 1961 ambayo baadae ilikuja kuvunjwa mwaka 1962.

Kwahiyo tokea Disemba 9 mwaka 1961 hadi mwaka 1962 Tanganyika iliongozwa na serikali ya mpito ikiwa chini ya waziri mkuu Julius Kambarage Nyerere.

Baada ya makabidhiano yote na wakoloni kukamilika mwaka huohuo wa 1962 Tanganyika ikawa na serikali yake kamili huku hayati Mwalimu akiwa raisi na waziri mkuu wake akawa Rashid Mfaume Kawawa.

Mzee Kawawa alikaa kwenye uwaziri mkuu kwa miezi 12 tu na mwezi disemba mwaka 1962 nafasi ya waziri mkuu ikavunjwa na hakukuwa na waziri mkuu hadi mwaka 1972 mwezi February Hayati Kawawa alipoteuliwa kuwa waziri mkuu na akakalia kiti hicho hadi mwezi Februari mwaka 1977 nafasi hiyo alipopewa Hayati Edward Moringe Sokoine.

Mzee Kawawa na Mwalimu walitokea mbali sana kwenye siasa za nchi hii na ni waasisi khasa, Kawawa akiwa anamsaidia Nyerere kuunda TANU, Chama cha wafanyakazi na akawa makamu wa raisi Nyerere.

Pia mzee Rashid Kawawa alishika nafasi ya waziri wa Ulinzi na kusaidia kuanzisha JWTZ ya leo na JKT, na amewahi kuwa makamu mwenyekiti wa CCM na hata katibu mkuu wake.
 
Okay.
 
Ila Paskali you know so many things and so many people in high places, it buffles me?
 
Aisee!
Watu type yako ni wachache hii Tanzania.

Truth never offend
Truth never offend...

Professor Shaba nitamkumbuka kwa kusimamia mtihani wetu wa somo la Pathology tukiwa Medical School mwaka 1982. RIP mwamba!.✝️
Hivi hii profession bado ipo nchini?
Sidhani kama bado watu wakifa wanaenda kufanyiwa postmortem unless ni very unique case itakayohusisha nchini kutaka kujua....
Nakumbuka miaka ya 80, Polisi nzima alikuwa mmoja tu Dr Pallangyo.....
 
Aise,nawajua wale watoto wake kuna mmja yule alikuwaga Bank anapiga kazi
Vp kasambala yule mwingine alikuwa bosi tanesco zamani,inasemekana alikuwa akili kubwa sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…