Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Mwenye elimu yake kaja kuwatetea sio,Wana CUF wa Bara tunamuunga mkono Profesa..
Haiwezekani Halmashauri zote Chadema wawe Mameya sie tuishie kuwa Manaibu...huu ni udharirishaji. Halmashauri ya Kinondoni Meya awe CUF...
Hii ni sawa na baba kamkimbia mke akiwa hoi hospitali, baada ya mkewe kufa yeye wa kwanza kuja kupanga taratibu za mazishi.