Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AKILImasikini profesa huyu..lol
MSIJIDANGANYE PROFFESOR AMEOMBBWA KUNUSURU CHAMA KUTOKA KUMEZWA NA CHAMA CHA KIFISADI CDMakufaae kwa dhiki ndie rafiki
•-->>WEWE PROFESERY ULIKUWEPO KATIKA MCHAKATO WA KUWAPATA MADIWANI WALIOPO??????...Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
acha upotoshaji mwanaumeSimply aseme..nataka kura zote za madiwani wa CUF ziende CCM kwenye umeya...ili alichokitaka kitimie...CCM waongoze hizi manispaa
pole sanaAKILI
MSIJIDANGANYE PROFFESOR AMEOMBBWA KUNUSURU CHAMA KUTOKA KUMEZWA NA CHAMA CHA KIFISADI CDM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hawezi kufanikiwa hilo kwa sababu hao madiwani anaosema hawako upande wake maana hakushiriki kuwafanyia kampeni. labda kama kuna madiwani amekuja nao kutoka Rwanda!
Kakaa miaka kumi alikuwa na madiwani, wabunge wangapi ? Sasa wako wangapi? Hizo 'busara' zilikuwa wapi sikuzote? Nasita kuanza kutilia mashaka uwezo wa kutafakari wa Professor wetu, lakini inabidi.Safi xana pro kwa busara zako
Aliekimbia mapambano?Mwenyekiti wa CUF taifa.
Sawa kabisa. Naunga hoja, Mheshimiwa Lipumba.
Hujaona nyomi yake leo Buguruni?Peke yake hawezi fanikiwa, labda kama mutungi amsaidie na hili pia, na hata hivyo kwa hili ajue kabisa sifa na vigezo vitazingatiwa, kama cuf wenzie wamemnyamazia kwa cdm hatapata huo mteremko anaofikiria, ni vizuri awatahadharishe hao wanaomtuma
Atamke wazi kuwa anataitafutia CCM angalau ka-Manispaa kamoja. Prof hautafanikiwa.Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
ccm dam dam huyo ni pro katika ubora wake.demokrasia ya kugawana na siyo wingi wa kuchaguliwa.Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Huyu prof sio akili zakeAnakumbuka shuka asubuhi?Hao Madiwani wake wako wangapi?