Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni brainwashed lakini huyu sasa kazidi! Naamini kitu alichopost Mtatiro hapo awali kilikua sahihi na huenda watu wanamsikiliza mwenyekiti wakati kumbe tukisahau kuwa kuna mstari mwembemba sana kati ya utimamu wa akili na ukichaa!View attachment 406971washaanza kushikana uchawi sasa,
Wallah huyu proffesor kashakuwa brainwashed, ccm wamefika bei,
Ukitaka kujua ccm wamefika bei, maandamano ya kumsindikiza lipumba policcm wameyachunia,
Hao Tanzagiza wameshafulia kitambo sasa.View attachment 406971washaanza kushikana uchawi sasa,
Wallah huyu proffesor kashakuwa brainwashed, ccm wamefika bei,
Ukitaka kujua ccm wamefika bei, maandamano ya kumsindikiza lipumba policcm wameyachunia,
Sasa naelewa kwa nini makamanda wamecharuka.Chadema walizoea mteremko, Prof ameamua kukatisha safari yao.
Hii kitu ilianza tangu wakati wa kampeni 2015 na ndio iliyopelekea Matatiro na wenzie kukosa ubunge.Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Ha ha ha akili za mtanzania bwana!....huyo huyo uliyemkimbia na kumkana kama Fisadi ndio kakupa madiwani unaojipiga kifua kuwa mgawane umeya! Kama wewe mwanaume kweli na msomi wa PhD usiwatambue na Hao madiwani wa CUF waliopatikana kwa mgongo wa huyo uliyemkimbia! shame!Safi sana Prof Lipumba, inusuru cuf kumezwa na Mafisadi Chadema
Asiyependwa kaja.......Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu meya.
Mwenyekiti huyo kasema kuanzia sasa usawa katika kugawana viti lazima uwepo kama kweli umoja huo ni manufaa kwa vyama vyote. Na sio kuburuzwa na chama kimoja
Yeye ndiye aliyeanzisha na kubuni jina UKAWA........ana haki.Huo umoja yeye si alishaukataa?
Kama mwenyekiti wa CUF akiwa Lipumba this time around, bora UKAWA ivunjwe tu mapema ili kila chama kijipange kivyake. Maana huyu anakoelekea atavujna umoja huo 2020 kwa maslahi ya CCM
ninachokiona hapa ni Kila chama kisimame kivyake....ili halmashauri zirudi CCMJapo jamaa anamapungufu yake kwa hili yuko sawa kabisa
Mwenyekiti wa CUF taifa.Anaongea kama nani? aliyesema kamrudishia uwenyekiti leo kamkana, baada ya hizi sarakasi zake ajiandae kujibu kesi ya jinai na madai.
Yeye ndiye aliyeanzisha na kubuni jina UKAWA........ana haki.
CDM sijui kwa nini wanakuwa wasemaji wa CUF nowadays.Naona CUF wameanza kujitambua kupitia Lipumba.!