babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
Siipendi tu kiujumlaYa kwamba unampenda yesu..[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siipendi tu kiujumlaYa kwamba unampenda yesu..[emoji2]
Mbape namkubali huyu kijana..Gamer napenda mno kucheza FIFA
ANY ONE TO CHALLENGE ME PANDA KITANDANI UPCOMING CHAMPIONView attachment 1990395
HapanaUlishawahi kuonja..?
Naonaga watu wakilewa wanavyokua that why naichukiaUnachukiaje kitu ambacho hujawahi kuonja..?
Ukimsikia watu waoga duniani ambao wanaogopa maneno tu ndio mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Me vitu vingine naishiaga kuzisikia tu sitaki kuwa mhangaHa ha! Uje uonje kidogo tu ujue kwanini wanakuwa hivyo..[emoji3]
Ha ha! Unakaa uneo ambalo ni salama na watu salama ndo unatest mitambo sasa hupigi nyingi mbili tu za kustua bandama ila uvae suru usije tumwagia radhi kwa kucheza..😂Ukimsikia watu waoga duniani ambao wanaogopa maneno tu ndio mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Me vitu vingine naishiaga kuzisikia tu sitaki kuwa mhanga
Jah bless rasta...Humu jukwaani natumia jina la Kayaman, napenda na navuta sana bangi, ninatumia profile pic ya bob marley kutokana na wimbo wake wa Kaya huwa unanihamasisha sana kuvuta bangi, mwanzo nilitamani kutumia picha ya peter tosh kutokana na wimbo wa legalize it ila nikaona acha niende na bob!
Poa poa[emoji23]Sawaaaa
Mambo vipi[emoji23][emoji23]
😂 Dah! Hatari hii kitu..Hiyo picha hapo inawakilisha kitu nachokipenda the most, bangi. Hako ka katuni nilikachora mwaka 2017 nilipokuwa nimesizi. Kwa hiyo nimekaweka hako kajamaa kalichosizi kwa sababu ndiyo kitu nachopendelea sana muda mwingi.
"Weed gets me going."
KaribuUzi unavutia