NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Our elevated Expressway has BRT lanes too. Sit down.soma taratibu unielewe.
nakwambia thika road sio banchmark ya barabara ila ufanisi wake,ndio sababu pamoja na kuwa nzuri bado kuna foreni ya kipuuzi nairobi,thats why wengine badala ya kuhangaika na elevated kama hii kwenye huu uzi tunahangaika na BRT network instead,maana lengo ni kufuta foreni kabisa.
unazungumzia flyover,hizo hazifanani function na thika road wala hii elevation mnajenga hapa.flyover inaondoa jam janction.so haizuiliki kuwepo.