Progress ya Nairobi expressway

Progress ya Nairobi expressway

This is the real Deal
FB_IMG_16163515889763429.jpg
FB_IMG_16163516248985041.jpg
FB_IMG_16163516248985041.jpg
FB_IMG_16163492658725088.jpg
FB_IMG_16163507982037730.jpg
 
Inaitwa Nairobi buana! Kwenye nyuzi za aina hii huwezi ukawaona majirani wakithubutu kuleta nyef nyef zao. Alafu mradi wenyewe unasonga kwa kasi ya ajabu, tena kimya kimya bila zile mbwembwe kama zao za kukata utepe na kuzindua zindua kila wiki.
 
Inaitwa Nairobi buana! Kwenye nyuzi za aina hii ndio huwezi waona majirani wakidhubutu kuleta nyef nyef zao. Alafu mradi wenyewe unasonga kwa kasi ya ajabu, tena kimya kimya bila zile mbwembwe kama zao za kukata utepe na kuzindua zindua kila wiki.
mradi sio wa kenya buana.. The investor wants to quickly finish the road and start collecting toll.. We all know how GoK projects delay and most dont get off the design papers.. Where is kimwarer and arror?
 
Lami imeanza kutandazwa kwenye ujenzi wa Nairobi expressway. Watanzania mkipenda mjinyonge kwa wivu.

This is history. Very fast construction, it should feature it mega constructions documentary. Although western By pass has serious earthworks bana eish
 
Mtazoea Tu
Nyinyi mna interchange mbili tu na huna aibu kuzungumza kuhusu expressway ambayo hamna na huwa mnaitazama tu kwenye runinga? Ikiisha mje Kenya kuenjoy expressway maana hamjui yenu itajengwa lini.
 
Nyinyi mna interchange mbili tu na huna aibu kuzungumza kuhusu expressway ambayo hamna na huwa mnaitazama tu kwenye runinga? Ikiisha mje Kenya kuenjoy expressway maana hamjui yenu itajengwa lini.
Povu limekutoka kisa nn[emoji16][emoji16],Hata sisi tunamiradi yetu kulingana na mfuko wetu sina haja ya kuitaja hapa...
Nimesema mtazoea tu maana naona mnausubiri Mradi kwa hamu zote
 
Back
Top Bottom