Project funding sources

Project funding sources

Wazo lako safi sanaaaaaaaaaaaa......mimi kwa taarifa yako nimeamua kuwa mkulima mkubwa wa mihogo andaa soko tutawasiliana. Nitafutie pia soko la kuku wa kienyeji wapo wa kutosha.............
 
Nimefurahishwa sana na mada hii. Tafadhali wajuzi nijuzeni nitapata wapi mkopo nafuu wa kuniwezesha kulima mahindi ekari 400? Nitafurahi sana kwani shamba langu limekaa tui idle
 
Mzuzu kiongozi natamani tuonane kwani hata mie nimemaliza chuo ngazi ya diploma nipo hapa mjini lakini nina shamba ekari 15 | naamini tunaweza kufanya kazi kiongozi basi tutafutane kupitia hapa +255 657 740 797
 
Can I be a part in your club of Big Thinkers? Big up guys
 
Mzuzu,


Fund zipo nyingi za kutosha, zinakosa wachukuaji.
  • Funds zipo kama biashara yako ndiyo inaanza (Startup) au ni kukuza mtaji
  • Inakubalika haraka kama itakuwa katika mfumo wa cooperatives/association
  • Wanachama wa jinsia ya kike wawepo kwa wingi
  • Funds wanazotoa ni kuanzia $ 50,000 hadi $ 250,000 kwa mradi
Kama biashara yako ipo katika mfumo huo, angalia creteria zao hapa chini.

Criteria for financing applications


General information
  • Name and address of organisation
  • Continent, country and region, town or city of implementation
  • Date on which the organisation was founded
  • Type of organisation (association, foundation, ...)
Information about the organisation
  • Mission statement and objectives of the organisation
  • Views on political and socio-economic context (regional/local and national) and what kind of role your organisation plays in this
  • Organisation's position in local society (incl. collaboration with others)
  • Summary of the activities organised by the organisation if the proposed plan does not cover all of the organisation's activities
  • Organisational structure (incl. information about board and staff (gender specific))
  • Information about the way in which the target group is represented in the organisation
  • Planning, monitoring and evaluation system
  • Financial position, financial policy and financial management of the organisation (incl. existing sources of funding)
  • History and track record (what has the organisation done and achieved up until now)
Information about the plan of action for the coming period
  • Analysis of the existing situation, risks and opportunities in the working area in relation to the proposed plans
  • Characteristics, size and location of the intended target group (gender specific)
  • Long-term objectives of the plan of action (what kind of change do you ultimately hope to achieve in the situation of the target group)
  • Expected results at the end of this period
  • Strategy (how are the objectives to be achieved, how is sustainability safeguarded)
  • Start and end date of the proposed plan of action
  • Financial plan and financial policy for the period covered by the plan
  • Long-term budget broken down by activities (programmes/categories) per year in the local currency, including the contribution/financing requested from Bank and others
The request should be accompanied by the following:
  • Articles of Association/Charter of the organisation
  • Annual accounts for the last 2 years (if available or otherwise the most recent financial report) plus possibly auditor's reports for the last 2 years
  • References
Kama mahitaji wanayotaka wao hayana tatizo, funds zipo.

Can you pm me mama Porojo
 
mkuu kama umefanikiwa katika hili naomba unipe muongozo coz hata mimi nina project ya mambo ya ujenzi na ni very marketable and profitable.

Mkuu, hao mawaziri wanajua uwezo wao kimawazo
 
mkuu mzuzu , malila et al nawashukuruni sana kwa mawazo yenu ya kujenga. Hakika machozi yana nilenga lenga kwa kuona namna vijana wa kitanzania mlivyotumia sehemu ya akili na ujuzi wenu kuokoa kizazi hiki.
Natumai siku moja mtakuja toa ushuhuda wenu hapa jukwaani namna umoja wa dhati ulivyo wasaidia kufikia nia yenu.
Natamani nimtumie kopi ya wzo lako waziri mkuu , waziri wa kilimo, waziri wa viwanda na uwekezaji ili aone kuwa tanzania imejaaliwa vijana wenye akili timamu, maono, nia, na maalifa ya kujenga nchi.
Hongereni sana kwa mawazo ya kujenga.

Mkuu, hao wote wanajua uwezo wetu kimawazo
 
Asante Mkuu,

Naomba nimrudishie Mungu shukrani hizi kwa kuwa tumefanya hicho kidogo kwa uweza wake, naam namwomba Mungu atupe nguvu na uhai na afya ili tufikie malengo na hatimaye tuwe tumechangia maendeleo ya nchi yetu kwa kiasi fulani.

Be blessed mkuu.

Amen mkuu.
 
mkuu, hao wote wanajua uwezo wetu kimawazo

Kwanini wana waacha tu hivi hivi bila ya kuwatumia....? Hakika kwenye miti hapana wajenzi (Tanzania inachukulia poa) na pia upele humuota asiye na kucha (ninyi hapo mna nia na maono makubwa ila ndo hivyo tena).
 
Bado upo katika kutafuta hizo funding sources? Let me know your expectation and what do you have so far, you can as well PM me anytime
 
itakuwa ni shukrani kwa vijana hawa na pia taifa kwa ujumla, hii ni biashara kubwa sana mbali na starch kam iivyo elezwa toka mwanzo but kuna suala la unga wa muhogo yaani hgh quality cassava flour hizi nazo ni pesa rufufu na bei yake ipo juu sana, embu Watanzania wenzangu tuwaunge mkono hawa vijana ambao wamethubutu na wamekwama sehemu ndogo sana ya kuweza kuingia sokoni, wana shamba, wana mashine yaani processing line wanahitaji nguvu ndogo ya kuanzia yaani working capital mwenye chochote jamani tuwarushie, nafikiri kama wana njia nzuli ya kupata pesa let them advice, kama tumekuwa tunachangia arusi, sherehe mbali mbali jamani hata ili jambo la maanam tutakuwa I wengi wa fadhila kwani kama mtu kaonyesha jitihada furani basi tumuunge mkono, ningeomba tufanye harambeeee!!!!!! ili vijana hawa waweze kwenda mbele.

Binafsi nimefuatilia sana hadi kufika eneo kilipo kiwanda na pia shamba la backup farm, ukifika pale kweli utaona jinsi watu walivyo na roho ngumu na kuvumilia mateso makubwa ktk harakati za kutimiza malengo yao ni changamoto kuubwa sana utapenda na kuona these people are real committed.

Binafsi nashahuri mfumo wa wenzetu hapa Kenya wa kufanya harambee!! ni mfumo mzuli wa kusaidiana ktk jamii hususani ktk nyanja zoote sherehe na hat maendereo ya mtu au kikudi, Mzuzu mimi ntakuwa mtu wa kwanza kam mtoa hoja ya harambee ntachangia elfu 50 kama kuna wengine jamani karibuni tushahuri ni kwa njia ipi itafaa
Bado upo katika kutafuta hizo funding sources?let me know your expectation and what do you have so far,you can as well pm me anytime
 
Nashukuru mkuu tutawasiliana

Kwa kweli nimesikitika nimeipata hii very late ni kwa sababu nilikuwa nje ya mtandao kwa muda flani naomba plse kuwasiliana na wote mlioko tayari kwenye project na wanaotaka kuanza nione ni jinsi gani naweza nikaweka inputs zangu

Project Expert
Mark
 
The scope of this project is above and beyond the level set for the mentioned funding. Nishawaona na tumekubaliana wasaidie wakulima wadogo tutakaowapa mikataba ya kulima na kutuuzia roots
Mkuu nilicho jifunza toka kwako ni kufanya kazi kwa bidii bila kuchoka bila kukata tamaa,uvumilivu,determined na upo focused na wewe ni mwaminifu. Am so disappointed kuona mtu akiomba business plan yako ili akusaidie kutafuta watu wa kukufund hii ni jinsi gani pamoja na kuwa na mafunzo mazuri katika hii thread bado watu wamekuwa wazembe hata kusoma toka post ilipoanza wakatambua hadi stage uliofikia kuwa umeshapata fund sijui nani katuroga sasa kama mtu kusoma tu hawezi hivi hataweza kushawishi hata benk ya nmb impe mkopo wa millioni 100. sababu kwa mtu yeyote ambaye amesoma post zako Mzuzu na Malila hahitaji kuomba business plan sababu mambo yote ya muhimu katika project yako yamezungumzwa kwenye post za awali kiasi kwamba kama mtu alikuwa anahitaji madodoso kwaajili ya kuanzia utafiti yameainishwa kabisa. inauma mtu anapoomba business plan ya mwengine hiyo ni kwamba mtu hawezi kubuni kabisaa hadi aangalizie. Ni vema tubuni hata kidogo tu then watu watusaidie kuboresha na kufanya marekebisho katika mawazo yetu.Siamini kuwa hatuwezi kabisaa kubuni bali tu wavivu wakukaa chini na kufikiri sawa sawa huku tukifanya na kusoma tafiti za changamoto mbalimbali zinazotuzunguka. Bro taifa letu lingekuwa linatoa vijana graduate kama wewe hata 10 katika kila chuo hii nchi isingekuwa hapa. Post yako imenifanya nijione am useless to my country but at the same time it has given me a courage to understand that my counytry owe me. Nifunzo kubwa kwa tulio vyuoni na kaka na dada zetu ambao wanazunguka kila kukicha na bahasha long live bro Mzuzu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nilicho jifunza toka kwako ni kufanya kazi kwa bidii bila kuchoka bila kukata tamaa,uvumilivu,determined na upo focused na wewe ni mwaminifu. Am so disappointed kuona mtu akiomba business plan yako ili akusaidie kutafuta watu wa kukufund hii ni jinsi gani pamoja na kuwa na mafunzo mazuri katika hii thread bado watu wamekuwa wazembe hata kusoma toka post ilipoanza wakatambua hadi stage uliofikia kuwa umeshapata fund sijui nani katuroga sasa kama mtu kusoma tu hawezi hivi hataweza kushawishi hata benk ya nmb impe mkopo wa millioni 100. sababu kwa mtu yeyote ambaye amesoma post zako Mzuzu na Malila hahitaji kuomba business plan sababu mambo yote ya muhimu katika project yako yamezungumzwa kwenye post za awali kiasi kwamba kama mtu alikuwa anahitaji madodoso kwaajili ya kuanzia utafiti yameainishwa kabisa. inauma mtu anapoomba business plan ya mwengine hiyo ni kwamba mtu hawezi kubuni kabisaa hadi aangalizie. Ni vema tubuni hata kidogo tu then watu watusaidie kuboresha na kufanya marekebisho katika mawazo yetu.Siamini kuwa hatuwezi kabisaa kubuni bali tu wavivu wakukaa chini na kufikiri sawa sawa huku tukifanya na kusoma tafiti za changamoto mbalimbali zinazotuzunguka. Bro taifa letu lingekuwa linatoa vijana graduate kama wewe hata 10 katika kila chuo hii nchi isingekuwa hapa. Post yako imenifanya nijione am useless to my country but at the same time it has given me a courage to understand that my counytry owe me. Nifunzo kubwa kwa tulio vyuoni na kaka na dada zetu ambao wanazunguka kila kukicha na bahasha long live bro Mzuzu

Naamini Mzuzu na team yako mko vizuri, kaka,mie na team yetu ile tuko vizuri na tunasonga mbele kama ambavyo umekuwa ukiona kupitia updates zetu. Tayari tumegeukia kusini, mitaa ya Lindi.

Nawashauri Watz hasa vijana, hela zipo nyingi sana, tatizo ni namna ya kuzitoa kwa Wajuba mpaka zikufikie,jasho na muda vinahitajika,kama huwezi kuvumilia, hutapata mafanikio. mimi nilianza na ziro cash, na hata Mzuzu alianza hivyo.

Mzuzu, unakumbuka siku zile unanituma kutafta kiwanja cha kujenga kiwanda Mkuranga,jamaa walivyokua wanataja bei ? Juzi yamenikuta, ila nimevuka.
 
Mkuu
watu wa Oxfarm wanatoa funds kwa projects kama yako. wameshafadhili na kuendeleza miradi kadhaa afrika hivyo usisite kuwatafuta.

mimi nina knowledge ya fairtrade ambapo kama ukitaka tuition na contacts usiogope kuwasiliana.

Mkuu msanii mbona najaribu kuwasiliana nawewe sjupati. Naomba unipm Luna deal tufamze. What's fair trade
 
Back
Top Bottom