Project funding sources

Project funding sources

Hongera, una bahati njema, mimi ni moja ya vijana waliowahi kupewa Fund kama unayoitaka nikaanzisha mradi wa ufugaji nyuki.....Na sasa kuna zaidi ya Bilioni moja zimetengwa na NEEC kwa ajili ya watu kama weye......cha kufanya, unaweza kuonana na mimi nikakuunganisha na watu watakaokudhamini upate Fund, lakini feasibility study sio tatizo maana kiutafiti bidhaa nyingi utangundua kuwa zina soko zuri, lakini practically ukizalisha ni ngumi kupata wanunuzi kama unavyosema, umezungumza issue ya TBL, this is something big ambayo naamini kwa startup business kama hiyo yako, there is no way watanunua product zako at very early stage, coz tayari mpaka saivi wana mikataba na makampuni yanayozalisha bidhaa hizo ndani na nje ya nchi, japo inawezekana bt it needs time; if you dont mind you can trust me, ofisi yangu ipo Mpanda mjini ila kwa sasa nipo Dar kwa mapumziko. Una option mbili za kufanya, 1. send me your business plan ili kama nitavutiwa nayo kwa maana ya immediate result generation I can partner with you tukaomba fund pamoja tukatumia title yangu kupata Fund, option ya pili 2. Nenda Ofisi ya Baraza la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi ipo Posta njia ya kuelekea kivukoni mbele kidogo ya ofisi ya Takwimu.. Hawa wamefanya makubaliano na TIB ya kutoa mikopo kwa wahitimu wa vyuo ili waanzishe miradi, tatizo ni kwamba biashara yako is a startup business kiasi kwamba uwezekano wa kurudisha mkopo ni mdogo/haupo coz pesa nyingi itaenda kwenye foundation ya mradi, I mean Investment capital wakati taasisi za fedha huwa hazitoi pesa za aina hiyo, wanatoa working capital. Just nitafute kwa facebook tuongee, I think I can try helping you. Kikubwa nachosema unaweza ukawa na BP nzuri sana lakini ikawa sio practical kutokana source of fund, so wakati mwingine unaweza ukabadili Business
 
tehe..tehee...... safi sana wakati mwingine nazipenda sana shida zetu kwakuwa zinatufanya tuwe na akili ya ajabu sana na kufanya makubwa tusiotegemea.
kiukweli jamaa tayari ameshawekeza mtaji zaidi ya asilimia 40 anatafuta 60 sasa sisi tunasemaje kuhusu hili.
nafikiri imefika wakati tubadilishe mtazamo wa kutegemea kuwa kila kitu tunaweza kufanya wenyewe au kundi la watu fulani cha muhimu ni kutafuta ni kwa jinsi gani tunaweza kuendeleza juhudi zake.
hivyo kwa kuanzia kama tupo makini na tunataka kweli jamaa atuambie kuwa thamani ya mradi ni kiasi gani na yeye atapata 30%-40% alafu tuangalie je tunaweza kununua hisa ili kukuza mtaji wa hiyo biashara yake? nafikiri tuanzie hapo
hebu fikiria watu 23,000 wanaenda kwa usaili kwa nafasi zisizozidi 50 ikiwa gharama yake kwa wastani ya kufika kwenye usaili ni shillingi 200,000 kwa hiyo kuna zaidi ya bilion 4
huyu jamaa haitaji fedha hizo zote kuanzisha hii kitu.
hebu tufikirie kesho.
hakuna haja ya ni pm wala nini hebu mleta mada jiachie kwakuwa soko ni kubwa kuliko uwezo ambao utaweza kusapply hakuna kuogopa.
 
Oxfam hawafund nchi nzima wana baadhi ya mikoa wanayofund tu kama Singida na Shinyanga....na walikuwa wanafund kilimo cha viazi cna uhakika kama na mihogo ni eneo mojawapo
 
watengeneza gongo kwetu(kanda ya ziwa) wananunua kilo kwa tsh.400. ww unasema 100? Nan akupe mihogo yake?
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
Po.box 12659
Kinondoni-Dar es salaam

Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
OUR SERVICES: Tax, Business, IT, Accounting &Bookkeeping and Other services
TAX
1.Assist in preparation and submission of Returns to TRA
2.
Assist in estimation and determination of tax liabilities.
3.Online Returns submission and Payment Registration with TRA.
4.
Assist in Tax Payment processing.
5.Reminding about due dates for Tax payment and Other Tax/Statutory compliance.
6.
Tax health-checks
7.
Processing transfer or change of ownership with TRA
8.
Assist in filing and submission of TRA forms.
9.
Assist in Applications for Requesting Tax exemption.
10.
Tax consultation and advisory.
BUSINESS

1.
Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, NGO’s, Succoss and Company registration with BRELA.
3.
Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile

4.Preparation of business plans
5.
Business Restructuring
6.Loan processing
7
.
Business consultations
8.
Preparation of Research proposals

IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.
Logo,Bill boards, Posters.
2.
Business cards, Identity cards (ID).
3.
Brochures Flyers, Invitation cards.
4.
Calendar,Product label Magazines
5.
Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.
Website, Blogs and Systemdesign and development
7.
Computer maintenance
8.
Computer software installation
9.
Network designing and installation
10.CCTV installation
11.
AC installation and maintenance

ACCOUNTING AND BOOK-KEEPING SERVICES
1.Stock counting
2.
Preparation of bank reconciliations
3.
Preparation of annual financial statements complying with International Financial Reporting Standards.

4.Posting of financial transactions from source documents , (IFRS).
5.
Preparation of budgets and management reports.
6.
Payroll services (preparation of the payroll including pay slips)
7.
How to keep books of account

OTHER SERVICES
1.
Mining
2.
Marketing and advertisement
3.
Education
4.
Agricultural activities
5.
Gas activities
6.
Cargo clearing
7.
Legal consultancy
8.
Staff recruitment & Out-Sourcing
9.
Project management and analysis
10. Training and workshops to Enterpreneurs, scholars and other groups that need to excel in their business

Business in the smooth environment ensures growth


okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd

 
Hongera, una bahati njema, mimi ni moja ya vijana waliowahi kupewa Fund kama unayoitaka nikaanzisha mradi wa ufugaji nyuki.....Na sasa kuna zaidi ya Bilioni moja zimetengwa na NEEC kwa ajili ya watu kama weye......cha kufanya, unaweza kuonana na mimi nikakuunganisha na watu watakaokudhamini upate Fund, lakini feasibility study sio tatizo maana kiutafiti bidhaa nyingi utangundua kuwa zina soko zuri, lakini practically ukizalisha ni ngumi kupata wanunuzi kama unavyosema, umezungumza issue ya TBL, this is something big ambayo naamini kwa startup business kama hiyo yako, there is no way watanunua product zako at very early stage, coz tayari mpaka saivi wana mikataba na makampuni yanayozalisha bidhaa hizo ndani na nje ya nchi, japo inawezekana bt it needs time; if you dont mind you can trust me, ofisi yangu ipo Mpanda mjini ila kwa sasa nipo Dar kwa mapumziko. Una option mbili za kufanya, 1. send me your business plan ili kama nitavutiwa nayo kwa maana ya immediate result generation I can partner with you tukaomba fund pamoja tukatumia title yangu kupata Fund, option ya pili 2. Nenda Ofisi ya Baraza la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi ipo Posta njia ya kuelekea kivukoni mbele kidogo ya ofisi ya Takwimu.. Hawa wamefanya makubaliano na TIB ya kutoa mikopo kwa wahitimu wa vyuo ili waanzishe miradi, tatizo ni kwamba biashara yako is a startup business kiasi kwamba uwezekano wa kurudisha mkopo ni mdogo/haupo coz pesa nyingi itaenda kwenye foundation ya mradi, I mean Investment capital wakati taasisi za fedha huwa hazitoi pesa za aina hiyo, wanatoa working capital. Just nitafute kwa facebook tuongee, I think I can try helping you. Kikubwa nachosema unaweza ukawa na BP nzuri sana lakini ikawa sio practical kutokana source of fund, so wakati mwingine unaweza ukabadili Business

Waweza kuni pm kwenye private inbox kwa ajili ya further discussion
 
Nimejaribu kuanzisha mradi wa kilimo cha ufuta huko Ruangwa,kwa msim huu nimeanza na heka 5,ntawapa mrejesho
 
Daaah...!!! Nimebaki speechless. Nimesoma kuanzia mwanzo hadi mwisho. All the best brother.


Sent from my iPad using JamiiForums app
 
Mzuzu hongera sana sana, moyo wako wa kutokusikiliza wenye michango hasi, kuamini ndoto zako na kufanya kazi kwa kujituma umenipa changamoto sana. Umekuwa mfano wa kuigwa kwa watanzania, na umetupa moyo hasa mimi ninayefikiria sekta binafsi.

Nimepitia website yenu, youtube video zinatia moyo sana, I am just amazed by what strong conviction, determination and hard work can produce. Sky is only your limit brother.
 
Mkuu Mzuzu , Malila et al nawashukuruni sana kwa mawazo yenu ya kujenga. Hakika machozi yana nilenga lenga kwa kuona namna vijana wa kitanzania mlivyotumia sehemu ya aikili na ujuzi wenu kuokoa kizazi hiki.
Natumai siku moja mtakuja toa ushuhuda wenu hapa jukwaani namna umoja wa dhati ulivyo wasaidia kufikia nia yenu.
Natamani nimtumie kopi ya wzo lako waziri mkuu , waziri wa kilimo, waziri wa viwanda ana uwekezaji ili aone kuwa Tanzania imejaaliwa vijana wenye akili timamu, maono, nia, na maalifa ya kujenhga nchi.
Hongereni sana kwa mawazo ya kujenga.

Ahsante sana brother tutakuja kuleta ushuhuda hapa kwamba haya mambo yanawezekana na kinachotakiwa ni kujikana nafsi na kuamua kusonga mbele bila kuchoka pamoja na kukutana na magumu na maumivu..:smiling:
 
Hongera, una bahati njema, mimi ni moja ya vijana waliowahi kupewa Fund kama unayoitaka nikaanzisha mradi wa ufugaji nyuki.....Na sasa kuna zaidi ya Bilioni moja zimetengwa na NEEC kwa ajili ya watu kama weye......cha kufanya, unaweza kuonana na mimi nikakuunganisha na watu watakaokudhamini upate Fund, lakini feasibility study sio tatizo maana kiutafiti bidhaa nyingi utangundua kuwa zina soko zuri, lakini practically ukizalisha ni ngumi kupata wanunuzi kama unavyosema, umezungumza issue ya TBL, this is something big ambayo naamini kwa startup business kama hiyo yako, there is no way watanunua product zako at very early stage, coz tayari mpaka saivi wana mikataba na makampuni yanayozalisha bidhaa hizo ndani na nje ya nchi, japo inawezekana bt it needs time; if you dont mind you can trust me, ofisi yangu ipo Mpanda mjini ila kwa sasa nipo Dar kwa mapumziko. Una option mbili za kufanya, 1. send me your business plan ili kama nitavutiwa nayo kwa maana ya immediate result generation I can partner with you tukaomba fund pamoja tukatumia title yangu kupata Fund, option ya pili 2. Nenda Ofisi ya Baraza la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi ipo Posta njia ya kuelekea kivukoni mbele kidogo ya ofisi ya Takwimu.. Hawa wamefanya makubaliano na TIB ya kutoa mikopo kwa wahitimu wa vyuo ili waanzishe miradi, tatizo ni kwamba biashara yako is a startup business kiasi kwamba uwezekano wa kurudisha mkopo ni mdogo/haupo coz pesa nyingi itaenda kwenye foundation ya mradi, I mean Investment capital wakati taasisi za fedha huwa hazitoi pesa za aina hiyo, wanatoa working capital. Just nitafute kwa facebook tuongee, I think I can try helping you. Kikubwa nachosema unaweza ukawa na BP nzuri sana lakini ikawa sio practical kutokana source of fund, so wakati mwingine unaweza ukabadili Business

The scope of this project is above and beyond the level set for the mentioned funding. Nishawaona na tumekubaliana wasaidie wakulima wadogo tutakaowapa mikataba ya kulima na kutuuzia roots
 
Mzuzu hongera sana sana, moyo wako wa kutokusikiliza wenye michango hasi, kuamini ndoto zako na kufanya kazi kwa kujituma umenipa changamoto sana. Umekuwa mfano wa kuigwa kwa watanzania, na umetupa moyo hasa mimi ninayefikiria sekta binafsi.

Nimepitia website yenu, youtube video zinatia moyo sana, I am just amazed by what strong conviction, determination and hard work can produce. Sky is only your limit brother.

Ninashukuru sana kwa mawazo yako chanya na kuona kwamba ukisikiliza mawazo hasi na ukayatumia kuboresha yako kila kitu kinawezekana kiongozi. Nashukuru tunasonga mbele na sasa tumemaliza pilot project tunafanya plan ya expansion ya commercial standard na sasa tunaingia ubia na kampuni ya Denmark kufanya pamoja then tumeingia supply contract na kampuni ya Swiss ya starch yote tutakayozalisha for the next 5 years baada ya kufanya expansion. So things are moving hope siku moja tutaweka mark ya project iliyoanzia JF na kuwa realized internationally.

Ahsante kwa encouragement na karibu sana
 
Ninashukuru sana kwa mawazo yako chanya na kuona kwamba ukisikiliza mawazo hasi na ukayatumia kuboresha yako kila kitu kinawezekana kiongozi. Nashukuru tunasonga mbele na sasa tumemaliza pilot project tunafanya plan ya expansion ya commercial standard na sasa tunaingia ubia na kampuni ya Denmark kufanya pamoja then tumeingia supply contract na kampuni ya Swiss ya starch yote tutakayozalisha for the next 5 years baada ya kufanya expansion. So things are moving hope siku moja tutaweka mark ya project iliyoanzia JF na kuwa realized internationally.

Ahsante kwa encouragement na karibu sana

hongereni sana ndugu zangu Mungu awape afya njema na uhai ili mfikie mafanikio mnayo yatarajia.....!!
 
Bonyeza link hii hapa uanze kutengeneza fund yako mwenyewe online, mi nimejiunga wiki juzi hadi sasa kwenye akaunti yangu natengeneza minimum $50 kwa siku kwa sababu network yangu bado haijakua sana. ukiwa na network link kubwa yenye visitors wengi unaweza kutengeneza hadi $5000 au zaidi kwa siku, kila visitor anayetumia link yako anakuingiza $10 kwenye akaunti yako, so more visitors more money.
 
Kama link hiyo inagoma kufunguka na kukudirect kwenye homepage ya website husika tafadhali ni-inbox PM namba yako ya simu au email address yako nikutumie link husika.
 
WanaJF, salamu na hongera kwa umoja na upendo mlionao kwa watanzania wenzenu wapenda maendeleo.. mi ni mgeni humu ila ni mmoja wa wadau wa vijana hapa nchini.. nimekuwa nikihamasisha ujasiriamali kwa vijana wa kitanzania nafurahi kuona muamko huu.. kuhisiana na resources nakushauri ucheki na taasis ya serikari inaitwa NEEC (National economic empowerment program), wanamradi unaoitwa Kijana Jiajiri.. mradi wao unatoa ruzuku kwa graduates wajasiriamali. wapo opposite na wizara ya ardhi... Best wishes
 
Back
Top Bottom