chazi piere
Senior Member
- Jun 12, 2016
- 132
- 72
Mkuu kwa hiyo asali yako unaweza kupata litre 500 kwa week??nina mradi wa Asali ninafanya shughuli hiyo kwa muda sasa nimeuza hapahapa nchini sasa nataka soko la nje la kuuza asali hii nisaidie kwa hili mkuu
halafu je nawezaje kupata vibali vya kuexport biashara hii uko nje na wapi wanatoa vibali hivyo?
halafu ninauza mbogamboga kama giligilani, naitaji soko pia niunganishe mkuu
Hivi mkuu unajua business plan ndo biashara yenyewe kwanini unaweka hovyo hovyo tu mawazo yakoHii Hapa Chini Mkuu! Kama Utaielewa Basi Utanisaidia
Nimeambatanisha Na Contact AsanteView attachment 718015
Mkuu!! Mungu Ndio Mpangaji! Kama Mtu Akipata Na Akipiga Pesa Kupitia Hiyo BP Bila Kunikumbuka Sawa Tu! Mim Nimehangaika Nayo Sana! Now Nimemuachia Mungu! Atakae Copy Na A CopyHivi mkuu unajua business plan ndo biashara yenyewe kwanini unaweka hovyo hovyo tu mawazo yako
Hujui kama kuna mtu atachukua na atapigia pesa mpaka basi???????
Kiongoz naomba uingie pmNina mradi wa usafirishaji abiria hapa jijini Dar, zaidi ya miaka 5; wazo langu ni kutanua wigo kwa kuanzia safari za nje ya Dar. Hivyo nahitaji mtaji mkubwa wa kununua magari ya abiria
Yaani umeumiza kicha kuandaa business plan yako afu unaiweka adharani. Si bora ungeenda PM uko ndio umtumia wa kukusaidia. Sasa apa ata mim naeza kuichukua idea yako nikafanya editing alafu ikawa ya kwangu. Usije ukarudia upuunzi kama huu tena.Hii Hapa Chini Mkuu! Kama Utaielewa Basi Utanisaidia
Nimeambatanisha Na Contact AsanteView attachment 718015
Hata Ufanye Research vipi ? na hata Ulete mikakati kutoka Wap, swala la kujenga Uchumi wa Taifa huletwa kutoka kwa mtu mtu mmoja mmoja .Uimara wa Uchumi katika Nchi yeyote huchangiwa na Kodi , Kumbuka mchezo wa Ukuaji wa Uchumi ni Give and take,take and Give,hii ninexchange kati ya serikali (wasimamizi wa mapato ) na wananchi wenye (watoaji wa mapato).Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,
Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,
Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko
Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor
1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,
3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha
Hayo yote njoo kwangu,
Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa
Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa
Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,
Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,
Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo
1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project
4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha
Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,
Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje
Sitaki hela ya mtu ya hongo
Nina eneo kisiwani Mafia ambapo nikipata mwekezaji anaweza kutengeneza PARK ya wanyama kwa kuwalenga watalii wanaokuja kutalii Mafia . 0683226622.Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,
Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,
Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko
Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor
1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,
3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha
Hayo yote njoo kwangu,
Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa
Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa
Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,
Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,
Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo
1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project
4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha
Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,
Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje
Sitaki hela ya mtu ya hongo
...dah,avatar ishantoa udhu wallah!Mmmmmmhhhhhh! Napita tu
Nimem pm kimyaa no reply....sijui amepatwa na nini.huyu jmaa mbona haeleweki...ameingia mitini kama kawaida...manake whatsapp hajibu wala PM