Project maalumu kuinua uchumi wa watanzania,Weka wazo lako la mradi hapa na ueleze umekwama wapi utafutiwe co-investor

Project maalumu kuinua uchumi wa watanzania,Weka wazo lako la mradi hapa na ueleze umekwama wapi utafutiwe co-investor

huyu jmaa mbona haeleweki...ameingia mitini kama kawaida...manake whatsapp hajibu wala PM
Mbona mimi sijaona namba yake? Naomba unipm namba yake tafadhali, nitashukuru sana
 
Onyo, kwa wale ambao mmetumia id zenu kutema nyongo kwa serikali ya ccm kuweni makini, trust nobody, shetani sometimes anakuja kwa sura ya malaika.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hivi mkuu unajua business plan ndo biashara yenyewe kwanini unaweka hovyo hovyo tu mawazo yako

Hujui kama kuna mtu atachukua na atapigia pesa mpaka basi???????
Fear of unknowns...originality unayo wewe mwenye business plan...hata ukimpa mwingine hatafanya kama wewe...ndio maana hatuendelei
 
Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,

Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,

Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko

Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor

1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,

3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha

Hayo yote njoo kwangu,

Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa

Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa


Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,

Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,

Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo

1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project

4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha


Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,

Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje

Sitaki hela ya mtu ya hongo
Tafadhali unaweza kuweka namba ya simu au email kwa mawasiliano zaidi?
 
Mimi niuakika wa Shamba wa ekali 6 nakuendelea napenda kulima ingawa hadi sasa natafuta mtaji nsha plani kulima maarage but shida ni mtaji
Uko wapi, nahitaji watu wakushilikiana nao katika kilimo kwakua wewe unalo shamba tunaweza zungumza jinsi yakushilikiana namba zangu ni +255 653 231 798 na +255 744 601 144
 
Nina kampuni ya ujenzi nahitaji mwekezaji ambae atafinance working capital na Mitambo ya ujenzi kama yupo tukutane pm Mkuu.
 
Mkuu!! Mungu Ndio Mpangaji! Kama Mtu Akipata Na Akipiga Pesa Kupitia Hiyo BP Bila Kunikumbuka Sawa Tu! Mim Nimehangaika Nayo Sana! Now Nimemuachia Mungu! Atakae Copy Na A Copy
Vizuri, hard work pays. God bless you
 
Ulikuja Na Uzi Unatafuta Mke Awe Na Passport Uende Naye Uholanzi Unakoishi,vipi Ushampata?.
Sasa Hivi Umekuja Na Suala Hili La Project?.
Hii Inaonyesha Unataka Fahamiana Na Member Wa Jf Physically,nia Yako Haswa Nini?.
Tuwe Makini
 
Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,

Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,

Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko

Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor

1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,

3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha

Hayo yote njoo kwangu,

Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa

Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa


Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,

Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,

Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo

1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project

4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha


Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,

Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje

Sitaki hela ya mtu ya hongo
Ninaomba unijulishe namba yako ya simu Au email yako tuweze kuwasiliana. Nina miradi mizuri.
 
Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,

Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,

Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko

Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor

1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,

3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha

Hayo yote njoo kwangu,

Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa

Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa


Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,

Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,

Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo

1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project

4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha


Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,

Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje

Sitaki hela ya mtu ya hongo
Projects ninazo tuwadiliane tafadhali peno. hasegawa@yahoo.com
 
Mkuu bado upo na huu mpango?. Nime ku-pm japo hueleweki na member baadhi nimesoma comment zao hawakuelewi na umejichanganya maelezo yako.
 
Back
Top Bottom