kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Nina wazo la kibiashara la kuanzisha bustani (shamba) kubwa ambalo nitakusanya mimea mbalimbali toka nchini ambayo hutibu maradhi mbalimbali!
Lengo la mradi huu ni kuweza kufanya utafiti wa dawa za asili ambazo zimeonyesha uwezo wa kutibu magonjwa mengi endapo zikifanyiwa utafiti wa kutosha! mf tatizo la nguvu za kiume limeonekana linatibika zaid kwa dawa za asili kuliko za viwandani; Pia kuhifadi mimeaDawa iliyo katika hatar ya kutoweka.
Baada ya mimea ya hapa nchini nitahamia nchi za Africa na duniani kote! Ipo mimea inayopatikana bara America kusini na asia ambayo pia inaweza kumea Tanzania.
Kupata mimea hii kwa urahisi unaweza kuwatumia wafanya biashara.
Mami Yenu Ni Muhimu
Kidadari
Lengo la mradi huu ni kuweza kufanya utafiti wa dawa za asili ambazo zimeonyesha uwezo wa kutibu magonjwa mengi endapo zikifanyiwa utafiti wa kutosha! mf tatizo la nguvu za kiume limeonekana linatibika zaid kwa dawa za asili kuliko za viwandani; Pia kuhifadi mimeaDawa iliyo katika hatar ya kutoweka.
Baada ya mimea ya hapa nchini nitahamia nchi za Africa na duniani kote! Ipo mimea inayopatikana bara America kusini na asia ambayo pia inaweza kumea Tanzania.
Kupata mimea hii kwa urahisi unaweza kuwatumia wafanya biashara.
Mami Yenu Ni Muhimu
Kidadari