zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
waswahili wanasema utamu wa ngoma, ingia kati ucheze. kwa mtu alie nje ya hii sekta ni rahisi sana kuwatupia lawama wahandisi wa ndani. ila walioko ndani wanaujua ukweli. Daraja linavunjika kwa kukosa ukarabati ambao budget yake ni mpaka wanasiasa waamue kuitenga kwa muda wanaopenda wao. Then wakija hapo eneo la tukio unasikia 'hakikisheni daraja linakamilika ndani ya siku saba'. Anaetoa hayo maagizo ni mwanasiasa ambae pengine amesomea ualimu wa kemia na hajafanya utafiti wowote kujua mchakato mzima unahitaji muda kiasi gani. Kitakachofanyika ni bora liende!
Aliye design ile ikulu yetu ya Dodoma Mungu anamuona. Hata Sultan Barghash atakuwa anamshangaa
waziri wa afya ni mwanasheria. Unategemea nini?Nafikiri bongo wanasiasa wanashiriki kuharibu taaluma
Sera ya elimu ya bongoland ni UPE, USE, na UCE yaani Universal Primary, Universal Secondary na Universal College Education. Mkazo uko kwenye quantity badala ya quality.
Utapataje wataalamu walioiva?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa uliposema hili sio eneo lako la ujuzi ukimaanisha katika sekta hii wewe ni mjinga (sio tusi).Hello JF,
Hili sio eneo ninalojua..
ila Sio kila saa mvua ikinyesha kuna janga mahali..
i think projects kubwa kama za kujenga madaraja ziwe zina involve wahandisi wa kigeni…
I believe Mazingira yetu yana pose a challenge kwa wahandisi wa kigeni,
Na pia,wahandisi wetu matokeo ya projects zao peke yao zimekua zikisikitisha…
So nadhani tuchanganye skills...
Projects ziwe na wahandisi wa ndani na nje…
Itasaidia wao kupata EXPOSURE..
Ingependeza kuona madaraja yetu yanatengenezwa kwa ustadi wa hali ya juu,lakini pia unaofaa kwa mazingira yetu...so combications ya skills unahitajika…
Inawezekana ikawa expensive ila mbona tuna Pay high price kila siku na pengine watu kufa kutokana na hii miundo mbinu mibovu.
Alafu lazima ujue kuvunjika madaraja au kuanguka nyumba hakupo tu tz hata huko kwa wageni yanatokea kila siku.Mkuu unajua kabisa madaraja yaliyovunjika,na wala sio moja, siwezi kushinda kutafuta nani alijenga hili au lile..ukweli ni kwamba karibu kila mwanzo wa mvua nyingi..huwa tuna expect kutopitika au kuvunjika kwa daraja..ni kitu ambacho tumekizoea...hapa sijasema wahandisi wa nje wawa replace wahandisi wa Tanzania bali mfanye kazi pamoja mpeane uzoefu/experience.... sijui hili nani alijenga Tanzania bridge collapse causes jitters among Rwandan traders
Alafu lazima ujue kuvunjika madaraja au kuanguka nyumba hakupo tu tz hata huko kwa wageni yanatokea kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi...badala ya kujenga zege lenye C25 atajenga zege lenye ratio ndogo ili kuhakikisha anabakiwa na faida na aweze kutoa 10%Tatizo sio Wahandisi wa Nje wa au wa Ndani bali tatizo la msingi ni corruption!!
Corruption haina cha huyu wa nje, yule wa ndani... corrupts people are everywhere!
Bank in the days nilishuhudia malipo kwa contractor mmoja hivi. Baada ya Contractor kulipwa check yake, ukafuata mlolongo wa watumishi wa halmashauri kuingiziwa chao kutokana na malipo ya ile cheki!
Hapo unatarajia yule contractor atakuwa amefanya kazi kwa viwango wakati zaidi ya 30% ya malipo yake yalirudi kwa watumishi wa halmashauri?!
Lazima atalipua tu ili kubana gharama kwa sababu hapo gharama ni pamoja na pesa ya rushwa kwa watumishi wa idara husika!! So, kama alishindwa kukwepa gharama za hongo, atakachofanya ni ku-compensate kwenye gharama ya vifaa!
Nimependa uliposema hili sio eneo lako la ujuzi ukimaanisha katika sekta hii wewe ni mjinga (sio tusi).
Kwanza unatakiwa ujue kuna tofauti kati ya mkandarasi (anaye jenga mradi) na injinia/consultant anaye design mradi.
Hata wewe unaweza kuwa mkandarasi as long as una vifaa na mtaji ila kamwe huwezi kuwa injinia kama hujaenda chuo na kusomea hiyo fani.
Miradi mingi wanapewa watu wa nje wajenge simply because wana mtaji na vifaa vya kutosha pia mara nyingi ni matakwa ya mkopo kwamba tunapopewa mkopo basi ni sharti tutumie contractors wa nchi iliyotupa mkopo... (kwa kesi hii usitarajie kampun ya bongo ipewe project hata kama wana uwezo).
Miradi mingi wanao design ni wahandisi wetu wa ndani (na ujue bila design mkandarasi hafanyi kazi) ila utekelezaji wanafanya wakandarasi wa nje kwa sababu nlizotaja hapo juu.
Wazo lako la ku engage watu wa nje na ndani ni zuri na ndicho kinachofanyika maana mkandarasi huwa ana simamiwa na mhandisi wa ndan kuhakikisha anafwata design aliyo pewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upumbavu ni ukweli mtupu tz hatuna wahandisi ni vituko tena vituko vya kimataifaAcha kuamini watu wa nje wewe. Unadhani vitabu vya nje na ndani ni tofauti??
Skills ni zile zile. Point hapa ni ufinyu wa budget tuu hamna kingine usidanganyike ndugu
Wewe unaongea kwa "kudhan" mimi naongea kwa yanayotokea huku site. Kuna sababu nyingi za mradi za mradi kufeli na baadhi wametaja watu hapo juu.Asante kwa kutufafanulia,but hapo mwishoni sidhani kama ni kweli, ingekua ni kweli ndcho kinachofanyika..na tuna right combination of skills si kweli madaraja yangevunjika kila leo, tatizo haya mambo sio mazingaombwe..kama una deliver lazima kitaonekana tu...hakuna kujificha results speak for themselves...
Acha upumbavu ni ukweli mtupu tz hatuna wahandisi ni vituko tena vituko vya kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Madesign wapuuzi wanao pitisha hizo design wapuuzi na wanaokubali kughalamia hizo design mbovu nao ni wapuuzi ilo ndiyo tatizoAliye design ile ikulu yetu ya Dodoma Mungu anamuona. Hata Sultan Barghash atakuwa anamshangaa
Wewe unaongea kwa "kudhan" mimi naongea kwa yanayotokea huku site. Kuna sababu nyingi za mradi za mradi kufeli na baadhi wametaja watu hapo juu.
Nikupe mfano, unapo design daraja wewe kama mhandisi unaangalia maximum water level au kiwango cha juu cha mafuriko kilicho wahi kupita kwenye mto husika kwa miaka let say 100 iliyo pita.
Na katika hii analysis ukatapa level ya juu ilikua lita 10 kwa sekunde (huu ni mfano).
Lakin baada ya mradi kujengwa yakaja mafuriko mkubwa zaidi ya hapo, kwa lugha rahisi ni mafuriko ambayo hayaja wahi kuonekana katika mto husika na daraja lika vunjwa!!
Je utamlaumu injinia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara inajengwa chini ya level ya ardhi kila siku inasumbua watu kufagia michanga tena zinajengwa bila kuweka kingo na kusababisha kubomoka kuanzia pembeni ,INA maana nyinyi mainjinia mnashindwa hata kujua kwanini barabara zenu mnazo jenga zimejaa michanga na vumbi na maudongo pumbaavu zenu kabisa mfano utakuta sehemu za MAUA level ya udongo IPO juu kuliko barabara matokeo ni udongo kuingia barabarani tazama barabara ya airport dar yani ni mambo ya ajabu sana nakumbuka vituo vya mabasi vinajengwa bila ya kuzingatia basic things mfano vyoo pale brt palikuwa hakuna vyoo !!!! Kweli nyinyi ni wapumbaavu sanaBarabara unayotumia kwenda kazini au jengo la ofisi unayofanyia kazi ambayo wenda imetengenezwa na mhandisi huyo huyo unaye mtukana hapa.
Good enough hata hii platform unayo tumia kutukana wahandisi imetengenezwa na mhandisi wa ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa una matatizo si kidogo!! Nchi za Ulaya zipi?! Umeangalia kiwango cha corruption kwa hizo nchi unazoamini hakuna hilo tatizo?!Du... alikuwepo mtoto wa chekechea darasani anapuliza filimbi mwalimu akamwambia aache kelele yeye akajitetea siye anayepiga kelele bali ni ile filimbi! Ndugu yangu weee nauliza tena ''kwanini nchi za Ulaya haya matatizo hayapo kwa wingi kama hapa Bongo? Tatizo la msingi siyo rushwa bali ni tatizo la msingi ni sisi tuache utetezi usio na mantiki.