Projects kubwa ziwe na wahandisi wa nje!


Nimependa hoja zako mkuu...👍👍👍👍…….

Ila pengine hujanielewa,sijasema wahandisi wa nje waje wa replace wahandisi wetu wa Tanzania, ila waje wafanye kazi pamoja ila kupeana uzoefu...

Hili la shule kutumia lugha ya Kiswahili ni swala tunalopigia kelele kila siku,is either tuwe na lugha ya Kingereza kuanzia shule za awali/kindergarten ,primary secondary hado chou kikuu,.ama Kiswahili kitumike kwenye hizo ngazi zote...tena afadhali uhandisi,mimi naogopaga labda hata madaktari wana kremu material na machache yanaingia..hivyo tunatoa madaktari sio wataalamu…………………………...

Wanasiasa kuingilia utaalamu na budget kuwa ndogo, naona limejitokeza mara nyingi kwenye hii topic,sio swala la kupuuza,viongozi tunawaomba mlifikirie hili,tunalipa high price pale mambo yanapoenda kombo,kumbe tungeweza ku avoid if nmngetoa budget inayoendana na mradi..na kutoingiza siasa kwenye mambo yanayohitaji utaalamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…