Kariakoo hakupewa likizo bali alipewa uhamisho baada ya waumini kulalamika upotevu wa mapato bila taarifa, na wengi walimlalamikia mchungaji hali iliyosababisha baadhi ya watumishi kuhamushwa akiwemo mchungajiUchunguzi wa Kariakoo ulibaini nn? Please share
Ila vijana wakamshinda akachukua waislamu...Kwaya ya TARUMBETA ilishapotea Kimaro kaifufua
Kwakweli sijui ya makanisa mengine..nilikua nakompare tu Rc yangu na yanayoendelea huko kkkt..Sidhani mambo kama haya yaweza tokea kwetu halafu waumini wakayafumbia macho.Kwa sababu ni taasisi huru, kuna wenzetu wanapugwa mkwarq fukuto lipo ndani kwa ndani hawaruhusiwi kuongea na sisi tunadhani majirani taasisi yao ni imara kumbe taasisi yao sio huru
Sijui umenipata lakini
Mpinga Kristo..Dk Shoo ameshanusa hivyo viwanja, anavitaka pamoja na dalali mwenzie askofu wa Dar es salaam
Walienda kuunza hotel mbeya Mwaikali akawagomea, wakaanzisha vita.
Wakakodi wapiga debe wa stendi, wakawaita wajumbe wa mkutano mkuu wa kumfukuza Mwaikali
Rc ndo worse kabisa ni heri yetu ambayo yanafanyika kwa uwazi, yenu ni ya kificho na vitishoKwakweli sijui ya makanisa mengine..nilikua nakompare tu Rc yangu na yanayoendelea huko kkkt..Sidhani mambo kama haya yaweza tokea kwetu halafu waumini wakayafumbia macho.
Kwingine Fpct, sda, nk sifaham
RC msemaji Ni Mmoja tu na yupo Vatican anawateulia mpaka Askofu huko Mbulu-DongobeshKwakweli sijui ya makanisa mengine..nilikua nakompare tu Rc yangu na yanayoendelea huko kkkt..Sidhani mambo kama haya yaweza tokea kwetu halafu waumini wakayafumbia macho.
Kwingine Fpct, sda, nk sifaham
Huyo Anna atakuwa amekariri tu liturujia katika kusalisha.Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.
NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.
***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.
Huko Moshi wana-RARUA matako ya watoto...Kwani ni uongo?
Katolic wako strong mzee! Hata ukimuuliza Malasusa au Shoo watakwambia hivyo.
Kosa kubwa la hapa tanzania ukiwa msema ukweli.
Hicho pia kilimgharimu Magufuli, kuongea ukweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah naona sasa mmeanza vita na RCHuko Moshi wana-RARUA matako ya watoto...
Mfano wako ni mzuri sanaHuyo Anna atakuwa amekariri tu liturujia katika kusalisha.
Kipaji au ndoto(maono) ya mtu ni kama mimba kwa mwanamke.
Hakuna mwanamke anaeweza kukugawia sehemu ya mimba aliyo nayo. Anachoweza kufanya ni kukuelekeza tu kwa mume aliyempa mimba ili kama ataridhia akupe na wewe.
Hivyo kumkabidhi Anna maono ya Eliona ni Impossible mission.
Worse, How?? 🤔Rc ndo worse kabisa ni heri yetu ambayo yanafanyika kwa uwazi, yenu ni ya kificho na vitisho
Kwa hiyo alikua naongoza kwaya na waumini aisowaamini, waumini matapeli,majangili, wezi wahed, kama mtumishi wa kiroho unaongoza watu wa namna hiyo tunapata mashaka kwamba yawezekana kimaro nae ni jizi,jangili, mwizi wahed,Kwaya ya TARUMBETA ilishapotea Kimaro kaifufua
Wape za uso, Kanisani unafuata nyota ya mchungajii au kumuomba Mungu wako?Inawezekana amesema ukweli ila kama ulivyosema Tanzania, japo nadhani ni duniani kote, huwezi kuwa ndani ya Taasisi fulani halafu ukaanza kuipaka matope, kuwaita unaowaongoza (vijana wa Kikristo) kwamba ni wezi, hutaki hata kuwaajiri kwenye kazi zako, mzee unafanya nini kwenye hiyo Taasisi yenye wezi na matapeli? tena unakula mishahara yao na mafungu ya kumi kutoka kwa watu unaowaita wezi?
Anatukana kanisa analolifanyia kaziThreat kwa Nani?. Acheni kukuza mambo. Huyo kalitukana kanisa ndio maana kasimamishwa. Hayo mengine ni kujifichia tu.
Huwezi kuzuia hisia za watu.Hawa wanaoandamana na kulaumu wanaenda kinyume na taratibu. Watulie Kanisa litoe muongozo. Hapo ni kufanya mtu aonekane ni muhimu kuliko taasisi yenyewe! Ukiona una akili hizo ujue bado mchanga kiroho.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Abdallah wewe si yakhe lakini??? 😅RC msemaji Ni Mmoja tu na yupo Vatican anawateulia mpaka Askofu huko Mbulu-Dongobesh
Tuliza mshonoAbdallah wewe si yakhe lakini??? 😅