cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Nimesoma comment kwanzia mwanzo mpaka mwisho nilichokigundua katika uzi huu
kuna watu wamejazana ambao wanasali hapo kijitonyama tena wengine wachangiaji wanaokosoa na kutetea
kuna mdau mmoja bila shaka atakuwa ni mzee wa kanisa wa kijitonyama aliyetemwa kwaiyo machungu ya kutokuwa kwenye baraza la wazee amekuja kutoa machungu yake huku maana ulaji si unakuwaga kwanza kwa baraza la wazee hasahasa wale watunza fedha wa usharika kwaiyo mrija umefungwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwaiyo anamsagia kunguni mchungaji wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ....upone kwa jina la Yesu wee mzee wakanisa mstaafu usiyetaka kustaafu
kuna watu wamejazana ambao wanasali hapo kijitonyama tena wengine wachangiaji wanaokosoa na kutetea
kuna mdau mmoja bila shaka atakuwa ni mzee wa kanisa wa kijitonyama aliyetemwa kwaiyo machungu ya kutokuwa kwenye baraza la wazee amekuja kutoa machungu yake huku maana ulaji si unakuwaga kwanza kwa baraza la wazee hasahasa wale watunza fedha wa usharika kwaiyo mrija umefungwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwaiyo anamsagia kunguni mchungaji wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ....upone kwa jina la Yesu wee mzee wakanisa mstaafu usiyetaka kustaafu