Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Umeeleweka Mkuu.Tumuombee Mchungaji aweze kulimaliza salama[emoji120]
 
Upigaji upo huko wa kutisha.
 
Unafikiri uchungaji ni kama mwalimu akiamka anaenda kufundisha somo kufuata silabasi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah naona sasa mmeanza vita na RC
Hakuwasaidii kumaliza matatizo kibao waliyonayo kkkt.Wamalizane na Kimaro,wamgeukie wa Kimara.Kanisa lina heka heka muda wote [emoji3][emoji3]
 
Hivi kumbe ni project zake binafsi, mimi najua ni project za kanisa na zimejengwa kwa nguvu ya michango ya waumini na ni utaratibu wa makanisa yote ya KKKT hata hapa mbezi beach tuna similar projects na zinafadhiliwa na michango ya washarika
Meku amekamata watu nyota...
 
KKKT mnajimaliza. Tunawaonea wivu Kwa dhahabu mnayoichezea. Unajua Kwa nn hakuna projects za maana Kwenye misikiti mingi? Governance!
KANISA LILIKUJA DUNIANI KUMUOKOA MWANADAMU, NA MWANAADAMU KUITANGAZA INJILI ILI TUMJUE MUNGU, LEO KANISA LIMEKUWA KAMA KAMPUNI, WANAKIMBIZANA NA MALI MATOKEO NDO HAYA UGOMVI USIOISHA WATU HAWAGOMBEI INJILI WATU WANAGOMBEA MALI (MASLAHI BINAFSI) MUNGU HANA TENA NAFASI, HAKUNA NENO LA MUNGU HAPO, MALI MALI MALI, MUNGU ATUOKOE, TURUDI KANISA LA ZAMANI, ELIA NA ELISHA WALIKATAA MALI LEO WACHUNGAJI NA KANISA KARIBU WATATOANA ROHO KISA MALI ZA KANISA, MCHUNGAJI KALETA HIKI NA KILE ANATAKA KUDHIBITI KANISA LINATAKA KUDHIBITI, YESU ALITANDIKA WATU KANISANI WAKIBADILI FEDHA LEO BANK ZA KANISA KILA KONA.

USHAURI
TUWAPE WAHINDI VITEGA UCHUMI VYA KANISA WAVISIMAMIE/WAVIENDESHE WAKRISTO WALIOBAKI WOTE TUCHAPE INJILI, KUANZIA ASKOFU,MCHUNGAJI, MWINJILIST, MSHARIKA... HAKUNA KUGUSA SINGLE CENT... HADI KIAMA NO KESI,

WASALAAM.
 
Makundi kujijengea makundi..
 
Kwenye kila baraka kuna laana
Kila penye mafanikio pana mapungufu
Kufanya mambo fulani hakukufanyi kuwa mkubwa kuliko taasisi
Mtazamo wangu mimi kwa nyinyi mnaosema hakuna mkubwa kuliko taasisi mimi nasema wapo wakubwa kuliko taasisi maana taasisi hili ikuwe inahitaji watu makini na bora zaidi wa kuikuza.

Uwezo wa kimaro ni mkubwa sana anaweza anzisha taasisi yake na akapata wafuasi wengi kuliko.
 
Binadamu wanamuabudu binadamu mwenzao.

Yaani huyo mchungaji tu watu wanadiriki kusema taasisi itayumba kisa yeye hayupo.

Aisee ni hatari hii
 
Naam mkuu, na mimi nimekwisha tangulia kuwaambia hapa kwamba hili taasisi ikuwe inahitaji watu makini na bora zaidi kama akina kimaro,

Ndio maana mimi uwa ninamtizamo wangu wa kwamba kuna watu ni wakubwa kuliko taasisi.
 
Japo Kimaro huenda alivuma kupitia KKKT umri unamruhusu kuendelea na mengi ya mbeleni. Amechelewa kutoka huko mpaka kapewa 60 za nguvu
 
Hata Mussa aliazisha safari ya kutoka misiri kwenda kanaani ila hakufika ,so mm naona watu wengi mnasumbuliwa na ujinga uliojaa giza nene kuhusu imani,,,can you imagine mtu mzima na akili yako eti unalia na kuandamana eti kisa mchungaji kuhama aisee!!!Mungu atusaidie,,lia Mungu akikuacha unamlilia mchungaji????? Huu ndo uenda wazimu uliopita kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…