Daah! Roman Catholic will remain the best Church ever in every thing eg. Leadership structure, Ethics, Faith and all what you know. Hivi kweli hata wewe mleta Uzi na usomi wako( nahisi kidogo umefanikiwa kubukua) unaweza ukaeleza kuwa hayo unayoita mafanikio ya Kimaro ni yeye ndio kayaleta na sio Mungu, kanisa na Waumini? Hao yatima amewasomesha kutoka pesa ya mfukoni mwake, ? Hicho kiwanja Cha mil 300 ni fedha zake binafsi au sadaka. Kanisa sio Mali ya mchungaji,Wala askofu. KKKT wanapaswa kusimama kwelikweli na ikiwezekana wakajifunze Kwa mlezi wao Catholic. La sivyo taasis itavurugwa sana na watu wasio tambua maadili na misingi ya kulinda taasisi Yao ya kidini. Ngoja niishie hapo,anayetaka kubishana NAMI aje saiz