Prondo na donluchese vyuma vimekaza? Mbona sisikii tena story za magar

Acha kumtisha mwenzio
 
Ndio baadhi ya watu walivo...roho mbaya kilo 100
mtu anakaa anawaza maisha ya mtu zaidi anamuombea mabaya ..sasa uambiwe maisha yake ni ya kutia huruma
 
Doncluchese mzee wa Henken...
Rrondo utoe hilo lipicha la pogba..
 
Unaweweseka bado mdogo hujakua ..na yule msukuma alieshika namba moja kwenye mitihani vip nae au utaoa wake wanne
 
Unaweweseka bado mdogo hujakua ..na yule msukuma alieshika namba moja kwenye mitihani vip nae au utaoa wake wanne
Hahaaaa mkuu nataka nifikishe wanne

Mbitiyaza,
Jje's,
Butogwa shija,
Shunie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…