Acha kumtisha mwenzioHahahaaaa mkuu shunie humuwez huyo siyo wa level yako
Kama na wewe unamufukizia mdogo wake na prondo ingia tu kwenye ligi mkuu lakin mimi lazima nitampate aisee, akitoka tu ulaya nitaenda moja kwa moja masaki kwao na prondo kujitambulisha na kubeba mzigo moja kwa moja
Nishaandaa ng'ombe kabisa mkuu
Zawadi yako bado ipo.Nitairudisha kwa heshima yako
Najua nitaifata tu endelea kuniwekea [emoji7][emoji7]Zawadi yako bado ipo.
Kaaolewa mkuu..Ndo Huyo cousin sister ninaye manisha mkuu, atakuja lini? Au hutak niwe shemej yako
London unamaanisha ile pub tabata au mitaa yetu ya seven sisters,stratford....Nataka nikutumie naul ya jet uje London sawa
Achana na jembeliko ni mchafuaji
St Peter ni east,west,north,south london?Hapana siyo tabata mkuu
Niko london kwenyewe mitaa ya st peter
Ndio baadhi ya watu walivo...roho mbaya kilo 100Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
Niweke picha ya nani?Doncluchese mzee wa Henken...
Rrondo utoe hilo lipicha la pogba..
Ha ha ha ha mji mkubwa huo unaweza kukaa miaka 50 kuna sehemu kibao hujawahi hata kuzisikiaAfu mkuu amin tu niko london maswali ya nini lakin mkuu
Unata shunie ashituke
Unaweweseka bado mdogo hujakua ..na yule msukuma alieshika namba moja kwenye mitihani vip nae au utaoa wake wanneHahahaaaa mkuu shunie humuwez huyo siyo wa level yako
Kama na wewe unamufukizia mdogo wake na prondo ingia tu kwenye ligi mkuu lakin mimi lazima nitampate aisee, akitoka tu ulaya nitaenda moja kwa moja masaki kwao na prondo kujitambulisha na kubeba mzigo moja kwa moja
Nishaandaa ng'ombe kabisa mkuu
London au nanyupuHapana simtishi hana level ya kuongea na wewe
Wewe level yako ni mimi niko london