Prondo na donluchese vyuma vimekaza? Mbona sisikii tena story za magar

Prondo na donluchese vyuma vimekaza? Mbona sisikii tena story za magar

Mimi ndio nilisoma Ulaya, mdogo wangu kasoma USA kagoma kurudi anasema bongo hawezi kuishi!
Hahahaaaa mkuu kumbe wewe ndo umesoma ulaya vizur sana kiongoz wangu

Kwahiyo kwa mdogo wako ndo sitampata siyo?
 
RRONDO Ni mtu mwenye busara Na hekima Sana. Nakumbuka Uzi wake fulani niliutumia katika kununua gari used hapa bongo. Namkubali Sana huyu jamaa
Jamaa hanaga noma mkuu ni shemeji yangu wa hapo mbelen ana mdogo wake wa kike yuko ulaya ndo ninaye msubir mkuu
 
Sisi wote wanaume...fahamu hilo..
Mkuu acha bas wewe si ulileta story ya dada yako yule aliyekuwaga kakosa mume kisa anatembelea gar kali hivyo akapewa ushaur na mama kuwa alipak awe anaenda kazin kwa mguu, ndo akapata mchumba mkala mpunga

Ukasema mdogo wako mwingine wa kike yuko USA ndo nikakwambiaga akirud bongo nishutie au umesahau kaka?
 
kwenye race ya kumpata mdogo wake rrondo Na Mimi naingia mkuu maana Shunie naogopa kumfuata. Sijui kwa nini roho yangu inasita.
Hahahaaaa mkuu shunie humuwez huyo siyo wa level yako

Kama na wewe unamufukizia mdogo wake na prondo ingia tu kwenye ligi mkuu lakin mimi lazima nitampate aisee, akitoka tu ulaya nitaenda moja kwa moja masaki kwao na prondo kujitambulisha na kubeba mzigo moja kwa moja

Nishaandaa ng'ombe kabisa mkuu
 
Mkuu acha bas wewe si ulileta story ya dada yako yule aliyekuwaga kakosa mume kisa anatembelea gar kali hivyo akapewa ushaur na mama kuwa alipak awe anaenda kazin kwa mguu, ndo akapata mchumba mkala mpunga

Ukasema mdogo wako mwingine wa kike yuko USA ndo nikakwambiaga akirud bongo nishutie au umesahau kaka?
Yule ni cousin sister, mdogo wa damu ni wa kiume.
 
Back
Top Bottom