Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Mi Kwa uelewa wangu mdogo, Aliens, dragon,na mazombi Hawaii ni viumbe ni ngumu kuonekana Kwa sasa,Ila ni viumbe watakaokuwa wanatumika kipindi cha New World Order katika kufanikisha mambo mbalimbali,movie za leo zimejaa uchawi na mazombi,si Kwa bahati mbaya just kukukna brainwash we home ni kitu cha kawaida Tu,hao aliens KAZI zao ndo kama hivyo kuwezekana teknolojia na mipango kutimia,mfano watakuja na uwezo WA kujua Quinine Mwitu Yuko Dar sehemu Fulani kulitia microchip ambazo utadungwa kupitia dawa unazomeza,chanjo za kila leo mara ndui NK vitu unavyojiuliza mbona huko ulaya hawana hizi chanjo,Au kupitia GPS za simu yako aidha Kwa kujua au kuto kujua simu yako inawapelekea location ulipo,sasa ikitokea Quinine Mwitu amekuwa liberious au hataki kutii namalaka iliyopo hyo ya New World Order hapo ndo atatumiwa mazombi yamteketeze au madragoni nk,Kwa sasa aliens unaweza usiwaone Ila wanatumika majukum Yao na kuna Siku watakuwa hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu,naomba nikwambie ukweli...

hizo movie ni Sci-fiction lakini kuna mambo wanayaelezea kwa siri nzito sna...

There are so many codes of reality being spoken inside the movies...

kuna movie moja inaitwa The matrix ,inamhusisha bwana mdogo Nero...

Ile move itafute halafu utagundua kinachoongelewa mule kupitiq reality hii tulionayo..

Kumbuke maisha unayoyaishi sasa jivi yalishaongeleka kupitia movie za mwaka 1970 huko ..

Unapokuwa unatazama kitu fuatilia kwa jicho la tatu hasa maneno wanayokuwa wanaongelea ..forget abaout the action being monitored inside but wanakuwa wanaelezea siro kwa mafumbo sana..

kuna movie mpya sasa hivi inaitwa DEADPOOL 2 ..
msikilize deadpool mwenyew maneno anayoyasema juu ya super hero people tunaoishi nao bila kuwajua...

kuna watu wanaamua wew leo ule nini ,ushindeje kwa kucontrol moody yako ,wanagenerate abnormal events zinazokufanya uchange moody yako..

Ila ili uweze kucontrol emotions hizo ni lazima uwe njee ya box kwanza...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali wamekuwa programmed Ku pave ways Kwa ajili ya Hawaii viumbe,


Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mambo wanalimitiwa wasitoe siri nyingi sana..

We human being are nothing at ol interms of intelligent...

Yan kaaa kimya ufikilie despite being unaishi ,umejenga nyumba,una kazi yako ,but ni kitu gani hasa au ni uwezo gani ulionao ambao umefanya jambo flan asistancw kutoka kwa mtu yoyote..??

how much power do you have..??

baada ya kutafakari kwa muda ndo utakuja ugundue kuwa kuna watu wana nguvu na ndo wafanikishaji wa mambo yote..

human being are there as introductory being from other being..

Ukishajua kuwa huna uwezo wa kuprogram kitu halafu unasema binadamu ndo kiumbe mwenye akili zaidi wakati unachokifanya hata hakijulikani basi ujue umebeba genee kweli za hao watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu,naomba nikwambie ukweli...

hizo movie ni Sci-fiction lakini kuna mambo wanayaelezea kwa siri nzito sna...

There are so many codes of reality being spoken inside the movies...

kuna movie moja inaitwa The matrix ,inamhusisha bwana mdogo Nero...

Ile move itafute halafu utagundua kinachoongelewa mule kupitiq reality hii tulionayo..

Kumbuke maisha unayoyaishi sasa jivi yalishaongeleka kupitia movie za mwaka 1970 huko ..

Unapokuwa unatazama kitu fuatilia kwa jicho la tatu hasa maneno wanayokuwa wanaongelea ..forget abaout the action being monitored inside but wanakuwa wanaelezea siro kwa mafumbo sana..

kuna movie mpya sasa hivi inaitwa DEADPOOL 2 ..
msikilize deadpool mwenyew maneno anayoyasema juu ya super hero people tunaoishi nao bila kuwajua...

kuna watu wanaamua wew leo ule nini ,ushindeje kwa kucontrol moody yako ,wanagenerate abnormal events zinazokufanya uchange moody yako..

Ila ili uweze kucontrol emotions hizo ni lazima uwe njee ya box kwanza...



Sent using Jamii Forums mobile app
Nasomaga vitabu vya David Icke aisee! Kweli mkuu si binadam tunaishi Tu hatujui hata kinachoendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii taarifa unaitoa wapi? Unafaham maana ya neno alien? Hizi conspiracy theories inafaa sana kuchanganya na akili za zako. Nyingine ni chai tu wazungu wakiwa free wanapika wanaweka kwenye mitandao waswahili wanabeba kama yalivyo na kuamini.of course hata wazungu wasiotumia akili wapo.wanaamini.

Wale walioonwa na watoto kule zimbabwe nao ni hoax,halafu,mbona kule bermuda triangle hakuingiliki,na mwisho kwa nn wamarekani wanapalinda sana pale kwenye tobo lililo ncha ya kaskazini mwq dunia,kwa nn ikikatiza ndege yoyote au kitu chochote kitakachojaribu kulisogelea lile tobo lazima wamtungue,kuna nn pale????
 
kusudi lake ni nini hasa ambalo alikuumba..?? did you share him his intention to create you..??

how did you know his intention..?? umejuaje kusudi la mungu kama bado unakufa then unashindwa kujua ulikuja duniani kufanya nini na kama usingekuja ni mapunngufu yapi mungu angeyapata..??

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kauli kama hizi za Mungu wenu ndio zinadhihirisha kabisa kuwa miungu yenu ni ma_allien

Vitabu vyenu mnavyo jitoa mhanga navyo vimejaa simulizi kibao za alien alafu bado mtu anashangaa

Na ivi ni nani aliwadanganya wanyama wanashobo ya kutawaliwa.!?

Ukienda mbugani unakuta wametulia wanajilea vyao hawana hata mpango nanyi na maisha yanaenda

Nyie kwa viandiko vichache tayari mnajipa utukufu msio uhustahili na kujiona mna haki juu yao.!? Poleni





Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika mada hii mimi nipo pamoja na ninyi. sio kwamba naunga mkono simulizi za kwenye bible, la hasha.

kwa mfano huwa najiuliza kwanini andiko liseme na "tumfanye mtu kwa mfano wetu.." dadala ya nimfanye mtu kwa mfano wangu.

kumbuka bible huwa inatufundisha kuwa Mungu ni mmoja tu, sasa huo uwingi unatoka wapi?.

hapo ndio tafakuri kuhusu aliens inapochukua nafasi.
Mkuu sio bible tu..ata quruan nayo n vilevile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
according to molecular reality through DNA analysis najikuta nasema Proof..

But mindly bila kuhusisha utafiti huo najikuta nasema inawezekana...!!??

we mchango wako ukoje ...??

Sent using Jamii Forums mobile app

Ikiwa unasema ni proof through DNA Analysis means test zimefanyika na kuthibitisha.

Naomba uniambie hiyo test ilifanyika wapi na hao humanoid alliens walichukuliwa sehemu gani na nini kilitokea baada ya zoezi hilo kumalizika???
 
Ikiwa unasema ni proof through DNA Analysis means test zimefanyika na kuthibitisha.

Naomba uniambie hiyo test ilifanyika wapi na hao humanoid alliens walichukuliwa sehemu gani na nini kilitokea baada ya zoezi hilo kumalizika???
The study began in 2012 when Garry P. Nolan, an immunologist at Stanford University and lead researcher on the project, heard of the U.F.O. documentary, “Sirius,” which featured the tiny form as possible evidence of aliens. At the time, the film was still in production, so Nolan reached out to producers and offered to examine the mummy’s DNA,
Read more:

kwa maelezo zaidi publishment za jamaaa huyo Garry P .Noran



Sent using Jamii Forums mobile app
 
President John Adams passes the Naturalization Act, the first of four pieces of controversial legislation known together as the Alien and Sedition Acts, on this day in 1798.
Nimejaribu ku relate maelezo yako haya na habari yako nimeshindwa.

Je umeweka sababu ya kuwepo neno alien??

Nimeingia history.com na kukuta hii intro ya alien and sedition acts.
"The Alien and Sedition Acts were a series of four laws passed by the U.S. Congress in 1798 amid widespread fear that war with France was imminent. The four laws – which remain controversial to this day – restricted the activities of foreign residents in the country and limited freedom of speech and of the press."

At that time, what alien meant??
 
The study began in 2012 when Garry P. Nolan, an immunologist at Stanford University and lead researcher on the project, heard of the U.F.O. documentary, “Sirius,” which featured the tiny form as possible evidence of aliens. At the time, the film was still in production, so Nolan reached out to producers and offered to examine the mummy’s DNA,
Read more:

kwa maelezo zaidi publishment za jamaaa huyo Garry P .Noran



Sent using Jamii Forums mobile app

Ingekuwa vyema uweke hiyo specific publication hapa coz Dr Nolan ana research zaidi ya 180.

Then maswali niliyouliza kwamba baada ya test nini kilitokea kwa alien hujajibu ndugu
 
so Nolan reached out to producers and offered to examine the mummy’s DNA,
Huyo mummy alipatikana vipi mkuu??

Producers ndo walimtafuta au Dr Nolan ndio aliemtafuta??

Nnavyoelewa way back binadamu walikuwa wakizika miili ya watalawa kupitia njia ya mummification rejea wafalme wa misri ya zamani (pharaos)
 
Mimi nilishavisoma na nikaelewa kama kadoda11

Ila nilikuwa nataka unijibu wewe kwa uelewa wako alikuwa na wakina nani.?



Sent using Jamii Forums mobile app
Siwez kukujib mana ni nje ya mada hii lakini pia kama umesoma na kuelewa bado tena unatak ujue mimi nimeelewaje basi utakuwa hujasoma vitabu vyote basi sivyo utakuwa unataka tu mabishano yasio na maana na ninaomba tuishie hapa tu zaidi tutetee ama kupinga Mada hii bila kuchanganya upande wa pili
 
Back
Top Bottom