It happen when you start to calm your selfTatizo linarud pale pale ni vipi tunazipata hiz life code??
karibu mkuulifecoded kwa hiyo umehamisha magoli ya wanasayansi wanaotuhainisha na kizazi cha nyani??😀😀😀😀 Ila Napenda kufuatilia conspiracy series naamini hawa Aliens wapo sidhani kama hata madirectors wa hizo movies,series wangekuwa wanaweka vitu vya kufikirika kama hakuna sidhani! ila nimekusoma kwa makini nimefaidika na hili somo!
Umewahi waona hao alliens?Umewahi muona uyo shetani?
Imani yako ni nini mkuu,unaamini nini ??
...atakuambia hata Mungu wa biblia/Quran basi naye atakuwa ana mwanzo...utajibuje hapo mkuu ?Imani yangu ni kwamba hao Aliens lazima walikuwa na mwanzo, hawakuwepo tu!
Sijajua wewe imani yako iko wapi?
...atakuambia hata Mungu wa biblia/Quran basi naye atakuwa ana mwanzo...utajibuje hapo mkuu ?
Hapo ulipombana usiachie patamu sana....kabaki kurukaruka tuAt least Bible inasema Mungu hakuwa na mwanzo.
Ningependa kusikia kutoka kwake chanzo cha Aliens, huenda kuna imani inayoamini hawakuwa na mwanzo.
...kwani Quran inasemaje kuhusu mwanzo wa Allah mkuu?!!Hapo ulipombana usiachie patamu sana....kabaki kurukaruka tu
...sawa mkuu,At least Bible inasema Mungu hakuwa na mwanzo.
Ningependa kusikia kutoka kwake chanzo cha Aliens, huenda kuna imani inayoamini hawakuwa na mwanzo.
Yeye mwenyewe hajajiongelea katokea wapi na hataki tuhoji...kwani Quran inasemaje kuhusu mwanzo wa Allah mkuu?!!
...
Napenda kusubiri aseme yeye, nadhani nitapata madini mengi kutoka kwake maana nitakuwa na mengi ya kumuuliza....sawa mkuu,
...akikuambia Aliens hawana mwanzo just like story za Mungu wa biblia/Quran ,_hapo utasemaje mkuu?
...ahahahaaaa hapo sawa mkuu,.-naona Allah kaamua kuficha source yake...inawezekana kabisa hata hawa Aliens nao wakawa wameficha asili yaoYeye mwenyewe hajajiongelea katokea wapi na hataki tuhoji
View attachment 871884
...notedNapenda kusubiri aseme yeye, nadhani nitapata madini mengi kutoka kwake maana nitakuwa na mengi ya kumuuliza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji123] [emoji123] [emoji123]...atakuambia hata Mungu wa biblia/Quran basi naye atakuwa ana mwanzo...utajibuje hapo mkuu ?
kwanini unapinga uwepo wao ili haki hujui hata chanzo cha huyo unayemuabudu!!???Napenda kusubiri aseme yeye, nadhani nitapata madini mengi kutoka kwake maana nitakuwa na mengi ya kumuuliza.
Wanatuchanganya sana ila afadhali Allah ametuambia tulipotokea ila sasa hawa Aliens hawajatuambia chanzo chetu ni wapi na tupo humu Duniani kufanya nini na tunakwenda wapi.......ahahahaaaa hapo sawa mkuu,.-naona Allah kaamua kuficha source yake...inawezekana kabisa hata hawa Aliens nao wakawa wameficha asili yao
Ndo tuta amini hao Aliens ndo Mwenyezi Mungu mwenyewe simple tuu....sawa mkuu,
...akikuambia Aliens hawana mwanzo just like story za Mungu wa biblia/Quran ,_hapo utasemaje mkuu?