Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

lazima nchi yoyote iwe na eneo maalum la siri kwa ajili ya usalama wa nchi. Area 51 ni eneo panaporatibiwa issue za siri kubwa kuihusu Marekani sasa mataifa makubwa duniani hawalali wanachunguzana masaa 24 kila siku . wataachaje kuwa na eneo maalum ?
 
lazima nchi yoyote iwe na eneo maalum la siri kwa ajili ya usalama wa nchi. Area 51 ni eneo panaporatibiwa issue za siri kubwa kuihusu Marekani sasa mataifa makubwa duniani hawalali wanachunguzana masaa 24 kila siku . wataachaje kuwa na eneo maalum ?
Hata hapa bongoland kuna eneo la Siri? Sio wapi, je lipo?

Kwanini aliens walitutengeneza ili tuwafanyie kazi wakati wao wana uwezo na ujuzi kuliko "sisi"? Si wangekuja tu kwenye sayari ya dunia na kuchimba walichotaka na kuendelea na maisha yao bila uwepo wa binadamu?

Sasa huko universe waliharibu sayari yao na kumaliza malighafi, wakaja duniani kutafuta hayo madini , before hawajam programme binadamu na kumuweka duniani hii dunia ilikuwa inakaliwa na Nani?

Kuna other specie ilikuwa wiped out ili binadamu aweze kupandikizwa hapa duniani? Ushahidi usio na Shaka kuhusu uwepo wa aliens upo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huenda kulikuwa na other species katika dunia hii ila ika be wiped out kupisha expression ya programmed human genome...

Lakini pia kuna kitu tunaweza kijuliza pia ,pengine sunlight frequency zinazofika hapa duniani ndo imeonekana kama favourablr kuliko frequency zinazogonga huko sayari zingine na kufanya kuwe unfavourable area kwa kuruhus progressive human genome transcription ..

Kwa sababu hata during DNA expression tunaona energy frequency flani inahitaji kwa ajili ya kuactivate akina helicase na wenzie...

patamu hapo duuuh...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hongera mkuu..uzi mzuri sana(fikirishi)kwangu mimi nauweka kama uzi bora wa mwezi huu...ingawa natofautiana na hiyo proof ya binadamu kutengenezwa na hayo majitu ya kufikirika,ila kiukweli uzi umenisababishia nipekue mambo mengi sana kulingana na scientific hints ulizoweka(mfano abt northpole & dna codes)hongera na asante sana mkuu
 
karibu mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tusije kweli kuwa tumeprogramiwa na Aliens kuwasaidia kuchukua hayo madini yaliyosambaratika kutoka kwao huko miaka mingi iliyopita na kuwafanya kuuumiza akili sana namna ya kufanya hiyo kazi ya kuanza kutafuta madini underground kwetu ila wakaamua kuprogram species watakaofanya hiyo kazi??"

Mkuu hapo penye bold ina maana hao Aliens walio na akili kwa kiasi kikubwa walishindwa kabisa kuyarudisha madini yalipokuwa mpaka kuamua kumuumba binadamu ambaye leo hii anayatumia hayo madini kwa matumizi yake mwenyewe?
 
Mkuu hapo nahitaji kueleweshwa vzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ipo above my level i need school

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii thread ni nzuri sema napata kigugumizi sana kwa hawa viumbe kutokana na kuwa kama wao wametuumba kusudi waje wachukue madini according to sayari yao imehabiwa (sina uhakika) sasa mbona tz hatujawahi kuwa ona ama kuwa sikia mahali fulani

Isitoshe sisi ndo kuna madini mingi na mengine hayapo dunia nzima like TANZANITE au tuseme hawa ellian

Hawaonekani wako mfumo wa jini au mnasema walikuwepo viumbe wengine nje na binadamu swali hao viumbe walikuwa ellian wenyewe ama majini

Haya mambo m naona mzungu ndo anamajibu pekee tena yule alieandika kitabu cha hx kuwa binadamu alikuwa nyani....Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao alliens walishindwa kutengeneza hayo madini wenyewe?

Maarifa yanatoka kuzimu kwa Lusiferi
 
Vipi sasa kuhusu miti,nyasi,maji,udongo,upepo,wadudu,mchanga.....

Nimejifunza ila nadhani hiz ni propoganda tu za kupingana na ukweli uliopo
 
Aliens kuwaona ni bahati snaa ...sio kwamba mpaka kila mtu awashuhudie ..kwanza ikitokea umeaona ukatoa taarifa serikali inazimisha kimya sna swala hiko kabla halijawafikia raia wa kawaida...

kuna maeneo kadhaaa duniani ambapo Aliens wanahusishwa kutua na baadhi ya maeneo hayo ni kama Peru,Brazil,America including mexico,German,England,Netherland,South Africa,pamoja na Zimbabwe...

Pia kuna maaeneo baadhi yanahusishwa kutua hao Aliens..

Swala la kusema unahitaji kuwaona hao Aliens hapa Tanzania ili ujiridhishe ni ngumu kwani nchi zinazochimba hayo madini ni washirika wakubwa na hao Aliens..

inasemekana kabsa kuwa kuna baadhi ya watu wamepata mental abduction kutokana na direct human contact with Aliens unless otherwise waamue kukuacha tu uwatazame...

Tanzania sio eneo rasmi la kutua hao viumbe lakini kuna baadhi ya sehemu usiku wanatua kwa kutumia vyombo vyao maarufu kama Sourcer .

Fanya tafiti hasa nyakati za usiku maeneo yenye uwazi mkubwa (Lanch) halafu kaaa usiku wa manane maeneo hayo utaweza kunotes paranormal sitiltings za abnormal beings maeneo hayo..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi sasa kuhusu miti,nyasi,maji,udongo,upepo,wadudu,mchanga.....

Nimejifunza ila nadhani hiz ni propoganda tu za kupingana na ukweli uliopo
mkuu,usiumize akili snaa juu ya kujiuliz uwepo wa associated factor living kama majani..

hivi unaweza anzisha ufugaji wa kuku bila kuwa na uwepo wa banda na pumba kwa ajili ya kulishia kuku hao..?

Unaweza ukalima hekali 20 za mazao bila kuangalia wanunuzi kwanza??

kwa hiyo swala la mimea kuwepo ni kwa ajili y kumbust huyo alieletwa ...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…