nimekujibu tayari
nilichofanya nimekuuliza maswali ujibu sijakupinga ila ukishindwa kujibu hayo maswali inamaanisha haujasoma vizuri kuhusu uzi wako na huenda ulishoandika ni historia kama ya wakina vasco dagama
kwahiyo ngozi nyeusi haziwezi kupinga watu weupe aise kiongozi umejishusha sana kuna wazungu pia akili hawana kabisa wanapublish ujinga tu mtandaoni sasa mtz akija kuona hizo post zao anaamini kweli kilichoandikwa ni fact kumbe ni upupu mtupu
Nimekuita ngozi nyeusi unayepinga analysis waliyoifanya wenzio na umeshindwa kuitolewa ufafanuzi wa kupinga...
Molecular analysis ya Monoclonal genomic imeonesha kuwa 90% ya prepared clone inatengenezwa au composition yake inaanza na non coding bases ndo mana ikiafikia conclusion hiyo lakini hilo umeshindwa kulidhibitisha..
Kingine nimekuita ngozi nyeusi unayepinga facts zenye analysis baada ya kushindwa kueleza au ufafanuzi uliotolewa na wenzio ili hali nimekuuliza wewe na elimu yako umepinga facts gani kwa kufanya utafiti huo..?? umekaaa kimya hii ni dhahili kuwa hujawahi kufanya utafiti wowote juu ya kitu chochote na you have no right to opose the analysis given out..
Ni swala dogo snaa kiongozi kukiri kuwa hujawahi fanya experiment ya kudhibitisha hilo...
unapinga facts ambazo wenzio wamezifanya...
Halafu unaposema kuwa nimejishusha sijui kwa kuzalau ngozi nyeusi kwamba haiwezi kuhoji alichofanya mzungu,ni kweli nina uhakika wa asilimia mia moja kuwa wew ngozi nyeusi huna kiwango cha kupinga analysis aliyoifanya mzungu..
Nipe list ya mtu mweusi aliyepinga Genetic analysis zilizotolewa na mzungu na akapublishi upingaji wake na ukapindua publishment za wale watu..
Tusibishane kwa sifa ,tangu lini sisi Africa tumepinga kwa actual facts ??
Nieleze hiyo experience ya kupinga facts za wale jamaaa ...!!
Wewe mwenyewe pamoja na kusoma soma kwako umeishia kusoma curriculum za wale jamaa kwanini hatujawahi kukuona unapinga kilichoandikwa halafu hapa JF ndo unajifanya kama unapinga kwa facts wakati huna historia ya kupinga...
Weka ushabiki pembeni tutembeee na actual analysis ambayo umewahi kuifanyia kazi au imewahi kufanyiwa kazi na ngozi nyeusi mpaka ikapita kwenye balaza la usahihi na kuivert postulates za wale jamaa..
Usijione inferior kuambiwa kuwa ngozi nyeusi huna uwezo wakuoinga na hilo halina ubishi..huna uwezo narudia tena ngozi nyeusi huna uwezo kama una uwezo dhibitisha facts ambazo africa imezifanyia kazi na ikakuta ni wrong analysis na unipe evidence hiyo hasa kwenye molecular analysis ...
napenda kuheshimu michango ya watubna kwa hili ninaheshimu pia but be to the side of truth tusijekuwa tunabishana ili hali tunashindwa kupeana elimu mpya au kuongezeana mambo..