Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Watu wana ubishi wa kipuuzi humu sikuizi kuna kubisha kwa kujifunza,lakini humu wanakomoa tuu ndomana nyuzi nyingi zinaishia njiani kwa mtu kuona anakereka.
 
Watu wana ubishi wa kipuuzi humu sikuizi kuna kubisha kwa kujifunza,lakini humu wanakomoa tuu ndomana nyuzi nyingi zinaishia njiani kwa mtu kuona anakereka.
anapinga kwa kuquote mistali kibao ili uonekane uko wrong lakini yeye kaulizwa swali moja tu kaomba siku mzima...

Hapa watu wapo kujifunza kama hauendani na mada unawaachia wengije wanajifunza..
 
kiongoz sijamaanisha kwamba ninayo elimu ya form 6 tu ila nimeonesha kwa hizo point zako na viswali vyako kijana aliyepikwa form six atakujibu vizuri tu nawewe pia kaongeze elimu wewe unajua bios kama historia badala ya kujua fact za bios

hivi kaka kuna kitu chochote kiinachoweza kupitishwa na wanasayansi bila experiment?

nashangaa hapa kwako unafanya genetic kuwa pumba aise inabidi tukuitie form six wakujibu wala si mwanafunzi wa chuo kikuu hapa naona jua la utosi litakupata
 
jibu la swali lako hili hapa

non coding DNA (junk DNA)
kwanza kabisa hili neno junk linamaanisha kitu kisichotumika sana au kitu chenye value ndogo mno

kwahiyo Junk DNA ni sehemu ya DNA ambayo ina non coding yaani haicode protein kabisa wakati wa transcription

kutokana na evolution non coding DNA Imekuwa disabled (useless) ila imebakia kama pseudogene ambayo ni vestigal structure in molecular level

mfano ni enzyme L-gulonolactone oxidase inafanya kazi ya kutengeneza vitamin C kwa mammals wengi ila kwa mwanadamu gene imekuwa disabled haifanyi hiyo kazi japokuwa bado gene hiyo ipo kwenye human genome

mfano mwingine wa sehemu za mwili zilizokuwa disabled kama ilivyofanywa non coding gene ni hii tena
human appendix ipo ila functionless kwa mwanadamu ila kwa baadhi ya herbivorous hufanya kazi


swali lako nimejibu nadhani
 
acha kupinga kwa facts ambazo ni za kisiasa...nimekuliza swali moja tu kuwa kama unakataaa hizo results za molecular analysis tupe kazi ya hizo non coding DNA bases...!!
nimekujibu tayari

unadig around the bush www jamaa...umekomaliza kupinga halafu evidence za upande wa pili huelezei...
nilichofanya nimekuuliza maswali ujibu sijakupinga ila ukishindwa kujibu hayo maswali inamaanisha haujasoma vizuri kuhusu uzi wako na huenda ulishoandika ni historia kama ya wakina vasco dagama

Tatizo la ngozi nyeusi hamtaki kuelewa mambo unawezaje kuwapinga hao jamaaa
kwahiyo ngozi nyeusi haziwezi kupinga watu weupe aise kiongozi umejishusha sana kuna wazungu pia akili hawana kabisa wanapublish ujinga tu mtandaoni sasa mtz akija kuona hizo post zao anaamini kweli kilichoandikwa ni fact kumbe ni upupu mtupu
 
au nini maaana ya mtu kuleta findings hapa JF ??
kama unakataaa findings basi study hiyo umeifanya basi tupo opositr findings sio kupinga wakati unashindwa kuelezea katika molecular level..
finding zipi umeleta zaidi ya kuandika historia zenye maneno mengi ya (huenda or inasemekana) hivi unajua maana ya finding

Kitu kingine cha kunipa evidence kuwa Aliens ni hoax mbona nimekwambia tunatumia monoclonal genome kutengenezea artificial progen za viumbe wapya wenye advanced characteristics??
usiseme tunatengeneza viumbe wapya hakuna mwanadamu aliyeweza kutengeneza kiumbe kama tumeshindwa kutengeneza cell au organ je kiumbe tutaweza kutengeneza?
kinachofanywa na mwanadamu ni manipulation ya gene za viumbe waliopo (kunyumbua) na hicho kitendo kinaitwa genetic engineering
kwanini hatutumiii native DNA strands za hapa duniani..??
ninakwambia hili kwa sababu nina evidence nalo au na hili unakataa..??
nipe reference au cite source inayoeleweka ambayo itadhibitisha tunatumia foreign DNA


na kamaa unakataa nieleze au tueleze Monoclonal genomic strands analysis inafanyikaje au unaona kama clonned species wanakuja kizembe tu...?
through manipulation of gene mfano gene labda wanyama hawa wanokuwa haraka kuliko wale wa asili wamefanyiwa mnyumbulisho kwenye gene so wameongezewa gene nyingi zinazohusika na ukuaji

Nidhibitishie na hilo la monoclonal genome bases wanazipataje au kama hujui nambie nikuelekeze ilivyo ..
kiongozi biochemistry hiyo ndiyo inatumika hapo sawa na field nyingine zitakazo husika ni genetic engineering and molecular biology
na nikikuelkeza inabidi ukae kimya na kukubali kuwa hujui chochote kuhusu cloning mechanism ya new genomic strand ya artificial recreated speicies..
wewe pia ukae kimya hujui unachokiandika
 
Asante mkuu una ukomavu wa akili usipanic ili umjibu hoja zake vizuri maana yeye kashapanic na kuleta kasha humu kwa mtu mweusi
 
Nimekuita ngozi nyeusi unayepinga analysis waliyoifanya wenzio na umeshindwa kuitolewa ufafanuzi wa kupinga...

Molecular analysis ya Monoclonal genomic imeonesha kuwa 90% ya prepared clone inatengenezwa au composition yake inaanza na non coding bases ndo mana ikiafikia conclusion hiyo lakini hilo umeshindwa kulidhibitisha..

Kingine nimekuita ngozi nyeusi unayepinga facts zenye analysis baada ya kushindwa kueleza au ufafanuzi uliotolewa na wenzio ili hali nimekuuliza wewe na elimu yako umepinga facts gani kwa kufanya utafiti huo..?? umekaaa kimya hii ni dhahili kuwa hujawahi kufanya utafiti wowote juu ya kitu chochote na you have no right to opose the analysis given out..

Ni swala dogo snaa kiongozi kukiri kuwa hujawahi fanya experiment ya kudhibitisha hilo...

unapinga facts ambazo wenzio wamezifanya...

Halafu unaposema kuwa nimejishusha sijui kwa kuzalau ngozi nyeusi kwamba haiwezi kuhoji alichofanya mzungu,ni kweli nina uhakika wa asilimia mia moja kuwa wew ngozi nyeusi huna kiwango cha kupinga analysis aliyoifanya mzungu..

Nipe list ya mtu mweusi aliyepinga Genetic analysis zilizotolewa na mzungu na akapublishi upingaji wake na ukapindua publishment za wale watu..

Tusibishane kwa sifa ,tangu lini sisi Africa tumepinga kwa actual facts ??

Nieleze hiyo experience ya kupinga facts za wale jamaaa ...!!

Wewe mwenyewe pamoja na kusoma soma kwako umeishia kusoma curriculum za wale jamaa kwanini hatujawahi kukuona unapinga kilichoandikwa halafu hapa JF ndo unajifanya kama unapinga kwa facts wakati huna historia ya kupinga...

Weka ushabiki pembeni tutembeee na actual analysis ambayo umewahi kuifanyia kazi au imewahi kufanyiwa kazi na ngozi nyeusi mpaka ikapita kwenye balaza la usahihi na kuivert postulates za wale jamaa..

Usijione inferior kuambiwa kuwa ngozi nyeusi huna uwezo wakuoinga na hilo halina ubishi..huna uwezo narudia tena ngozi nyeusi huna uwezo kama una uwezo dhibitisha facts ambazo africa imezifanyia kazi na ikakuta ni wrong analysis na unipe evidence hiyo hasa kwenye molecular analysis ...

napenda kuheshimu michango ya watubna kwa hili ninaheshimu pia but be to the side of truth tusijekuwa tunabishana ili hali tunashindwa kupeana elimu mpya au kuongezeana mambo..
 
Asante mkuu una ukomavu wa akili usipanic ili umjibu hoja zake vizuri maana yeye kashapanic na kuleta kasha humu kwa mtu mweusi
hakuna mtu aliyepanic mkuu,hizo facts anazotoa hajawahinkufanya hata analysis moja ya kupinga na ikakubalika kwanini akatae analysis za wengine..
Elewa vitu katika real facts...hakuna mtu aliyepanic
 
jamaa pia hajachunguza kiongozi pitia huu uzi niliuandika zamani uniambie je bado watu weusi ni wakuzaraulika kama mkuu alivyozarau hapo
Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na Ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao? - JamiiForums
Tunashindwa kuelewana ,ninaongelea kuhusu kupinga analysis...hao watu au list unayoitoa au uliyoitoa ni list ya watu waliotoa michango yao katika sehemu waliofanyia kazi....

Nimekwambia nipe list ya mtu mweusi aluliypinga...umeelewa mana a neno aliyepinga kisha akatolea ufafanuzi upingaji wake...

Hizo tuzo mbona watu kibao wanapewa tu hata kama ukifanya kazi WHO kwa muda wa miaka 3 na ukashiriki vizuri zoezi lao mwisho wa siku wanakutunuku kwa kusema kuwa Francis tumemtunuku kwa kutoa michango mizuri katika shirika na haimanishi ulienda against na wale jamaaa...tofautisha kutoa michango na kupinga facts..

Halafu tunashindwa kuelewana pale ambapo unakuwa mgumu wa kuyambua mambo..

Molecular analysis haijawahi kufanyiwa upingaji tangu ianze kufanyiwa kazi...wapo makini sana katika hizi kazi zao...

Nilichokuuliza ni hapo nilipokuwa nakuukiza unambie ni molecular analysis ipi ambayo africa tumeipinga???

Mbona mkuu unakuwa mgumu kuelewa nimekupa mpka idadi au kundi la watu wa kazakstan pamoja na Dr.Icke lakini unalazimisha kukataaa kuwa hawajafanya..kwa hiyi walichokipublish na tayari kimeingizwa kwenye general molecular curriculim ya kufundiswa hasa kwenye molecular analysis institute ni uongo..??

Tangu lini wazungu wakalishwa matango..??
 
umekiri ee....
 
sasa ngoja niendelee kukujibu sasa wala isiwe saa tisa tena
Halafu hao wanasayansi waliyoikuza ulaya kama unavyodai ,umewahinkujiukiza kama michango yao inatolewa katika mazingira gani..??

Je ni mazingira wakiwa Africa au wakiwa katika taasisi za kizungu??

mara ngapi watu wanafanya tafiti wakiwa na wazungu lakini mwisho wa siku wazungu wanakupa tips za kufanya na unajiongezea maarifa ila kinachokuja kube published ni kuwa umegundua...unahisi sijui mode ya kumtunuku tuzo hasa mtu mweusi..??

Umewahi fanya kazi na wale jamaa ?? au unashabikia tu kuwa Africa imekuwa na mchango mkubwa je kwanini hujiulizi hawakurudi nyumbani kuendeleza hayo mambo...unahisi ni ujinga wao...??

Kiongoz naomba nikwambie ukweli kuwa mwafrica kupewa tuzo kuna siri nyingi sana either mzungu kumtengenezea mazingira au kumvalisha taji ya ushindi but the mode of operation iko tofauti lengo ni kukupumbaza kuwa you can do something...

Ndo mana huoni mambo hayo yakiendelea mpaka leo...

kama una la kudhibitisha niambie...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…