Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

nimesoma mada yako yotee nikiwa nimetulia mchana huu huku nikitafakari kila sentensi yako nimepata kitu cha ziada japo umegusia kwenye mambo ya genetics kwa wingi.

nimejaribu kuunganisha dots na hatimaee nimepata mstari kamili.
kama kuna mtu au mtoa mada umeshawahi sikia ishu za reptilia kutawala dunia na kucontrol mambo yao wanayoyajua wenyewe wao kwa wao lakini si sisi (open secret issues) nadhani nitaweza kukubaliana na wewe japo ni kama assumptions lakini itanibidi sio kwa asilimia mia japo hata 40% hao reptilia ni kama wamefanyiwa clonning niseme hivyo au kubadilishwa sura lakini kiuhalisia sio binadamu na inasemakana ni aliens na kila bara wapo nadhani hata kila nchi sio wachache ni wengi sasa labda ni kweli na ni mpango wao ila shukrani kwa kuniongezea madini huwa napenda kusoma mambo kama haya.
 
kuna mtu anapinga juu ya complicated monoclonal genome na nimemwambia alete maelezo yake hapa ila anazunguka zunguka tu...
 
sasa unasema document zako unazipata kwenye site zinazo aminika je hiyo site inaaminika
umesema document zako zinapatikana kwenye acces za siri je hiyo ndio acces ya siri
access ya siri moja wapo ni taarifa za monoclonol genetics ambayo nimekwambia ileta haoa kama nayo napakua wikipedia kama ulivyo wewe..

Utofauti wako na wengine ni kwamba unapika stori under wikipedia unakuja kumwaga...

Mbona nimekuuliza kama una access ya hiyo kitu unabaki unalalama tu ...

Jibu ni ndio kuwa naijua au siijui...
 
sasa unasema document zako unazipata kwenye site zinazo aminika je hiyo site inaaminika
umesema document zako zinapatikana kwenye acces za siri je hiyo ndio acces ya siri
nenda ukapakue ulete hapa tena kuusu monoclonal genetics ambayo inahusika nankufanya hybrid ya viumbe kwa kuuhusisha non coding bases..pakua ulete hapa tumalize mchezo kila mtu afanye kazi zake..

make naona tunazidi kuzunguka tu...kuwa mwelewa ,umekataa uwepo wa aliens lakini ili hajadhibitisha kwanini unakataa..

nikikuliza source ya technolojia inatoka wapi utabaki kutapatapa.

ukiulizwa juu ya monoclonal genomic analysis unabaki kuwa unazunguka...

unaona kila mtu atakuwa anakimbilia kuandika ujinga kisha unawapa watu sitation kwani nini maana ya kukalibisha mjadala ,..??

manake watu wakishasoma wanaenda google kupitia pitalia walau maada ionekane kama kuna source au addition ya findings ila wew kila kitu unategemea wikipedia ..
 
mkuu,elimu ya maumbo na namba inaficha nguvu kubwa sana..

ndo mana Tesla anakwambia " if you would know the magnificance of numbers and symbols,you could change the world"..

Alikuwa anamanisha kitu kikubwa snaa..

siri za ulimwwngu huu zimefichwa katika maumbo na namba pamoja na herufi..

Moja inaandikwa 1, mbili inaandikwa 2 ,tatu inaandokwa 3 ,manake nini jinsi umbo la namba hizo linaleta nguvu flani katika energy spinning quatum ambapo linaunganisha moja kwa moja kati ya universal pattern na mahali namba il ilipo...

Kwa hiyo umbo kmaa pembe tatu lina maana kubwa snaa pale...

Kwa hiyo kila namba ina uzito wake katoka kusynchronize with the universal pattern..

Frequency energy ( Energy frequency) ya namba 3 ni ndogo kuliko energy frequency inayozalishwa na namba 6 ,same like kwa 9 kwa hiyo the more the numbers inakuwa kubwa ndipo uwezo wake unakuwa na value flani katika chaldean secret code interpretation..

Asante kwa elimu hakika nimeelewa
 
subiri kwanza lazma nitafute detail nzuri ndio nilete
hii inadhihilisha kuwa kila kitu ni kupinga mpkaa ukae muda mrefu unapitia pitia ndo unakuja kutia maelezo...

Ukiambiwa unafahamu au hafahamu unabaki kimya...

unategemea wikipedia kama msaada kwako...

utouti wako na wengine wanakukubali ni pale unapowazid kulata vitu toka wikipedia kama ulivyoenda sasa hivi kugoogle hiyo monoclonal ..

kaka kuwa mwelewa kama huna uelewa zaidi unakubali tu unapokea mambo mapya siyo kila kitu unawahi wikipedia..

Swali dogo tu nilikuliza unahisi taarifa zote zonawekwa google ambayo wew ndo first source yako??

Nadhani tutakuwa tunashindana kujaza utumbo wa wikipedia humu wakati kila mtu anaweza pakua huko akasome akaelewa ila kwanini taarifa muhimu haziko google...??

aise.....jamaa mbishi sana wewe..
 
Plan
-dx- Panic disoder

-psycho-education and reassurance

-diazepam 10mg daily
ha ha ha ndo type zilezile na huyu jamaa anayeleta mambo toka wikipedia kama reference yake..

Aliyemwambia nani kama kila Scientific analysis wanatupia google...

aise panic disorder haijawahi kumwacha mtu salama...
 
unategemea wikipedia kama msaada kwako...

utouti wako na wengine wanakukubali ni pale unapowazid kulata vitu toka wikipedia kama ulivyoenda sasa hivi kugoogle hiyo monoclonal ..

kaka kuwa mwelewa kama huna uelewa zaidi unakubali tu unapokea mambo mapya siyo kila kitu unawahi wikipedia..
sasa bora mim source yangu wikipedia hata imekuwa indexed na search engine

wew hapo source yako ni gaia.com eti ndio msaada wako GAIA GAIA haijulikani ni commercial site au ni organization site yaan ni ujinga tuu
kiongozi labda uniambie nini kimekufanya uiamini GAIA (GAIA.COM)
 
ha ha ha ndo type zilezile na huyu jamaa anayeleta mambo toka wikipedia kama reference yake..

Aliyemwambia nani kama kila Scientific analysis wanatupia google...

aise panic disorder haijawahi kumwacha mtu salama...

Kusema natamani ningekutusi unaona tayari ana tatizo ndio maana nilikuambia kule pscychotic disoder inawapata kiasi kikubwa watu wa dini kuanzia shizophrenia,anxiety,depression,panic disoder
 
sasa bora mim source yangu wikipedia hata imekuwa indexed na search engine

wew hapo source yako ni gaia.com eti ndio msaada wako GAIA GAIA haijulikani ni commercial site au ni organization site yaan ni ujinga tuu
kiongozi labda uniambie nini kimekufanya uiamini GAIA (GAIA.COM)
ndo kwanza naisikia kwako damn...haaaaaah ..nilikuliza unaijua hujui...ni dhahiri huijui na hujui chochote kuhusaiana na monoclonal genetics umeendelea kuonesha undezi wako wa kupotea kwa muda unaenda tafuta tafuta huko....

N.B nafunga mjadala na wew na siku nyingine usijaribu kulazimisha reference range yako kwa kutumia wikipedia..mtu anayejua mambo huwa habishani kwa kupotea potea na elimu yako ya kuunga unga juu ya biomolecular analysis...

Nilichokileta ni kidogo kulinganisha na nilichokifahamu na sijawahi kuwa nagoogle wikipedia kama ukivyo wew zaidi ya kucheza na hidden sites ambazo zinanifanya niamini baadhi ya mambo...

Full stop nakuomba ukale shule nene juu ya namna cloning inavyofanywa halafu uachane na maaelezo toka wikipedia kama reference point zako...

sio kila kitu kinawekwa wikipedia...ingekuwa ni hivo nadhani kila mtu angejua namna ya kuwatengeneza hata virus
 
kiongoz sijamaanisha kwamba ninayo elimu ya form 6 tu ila nimeonesha kwa hizo point zako na viswali vyako kijana aliyepikwa form six atakujibu vizuri tu nawewe pia kaongeze elimu wewe unajua bios kama historia badala ya kujua fact za bios

hivi kaka kuna kitu chochote kiinachoweza kupitishwa na wanasayansi bila experiment?

nashangaa hapa kwako unafanya genetic kuwa pumba aise inabidi tukuitie form six wakujibu wala si mwanafunzi wa chuo kikuu hapa naona jua la utosi litakupata
Mkuu jibu maswali ya jamaa hapo juu.
 
Kusema natamani ningekutusi unaona tayari ana tatizo ndio maana nilikuambia kule pscychotic disoder inawapata kiasi kikubwa watu wa dini kuanzia shizophrenia,anxiety,depression,panic disoder
sedation inawahusu watu kama hawa ,unawapiga low doses ya Antipsychotic + high dose ya antidepresant nahisi wakiamka wanakuwa sawa..

Tukiona usumbufu umezidi na kuconvulse tunawapiga phenobarbitone hata 60mg nahisi itawafanya warudi out of moody from their deviation conditions..
 
ndo kwanza naisikia kwako damn...haaaaaah ..nilikuliza unaijua hujui...ni dhahiri huijui na hujui chochote kuhusaiana na monoclonal genetics umeendelea kuonesha undezi wako wa kupotea kwa muda unaenda tafuta tafuta huko....

N.B nafunga mjadala na wew na siku nyingine usijaribu kulazimisha reference range yako kwa kutumia wikipedia..mtu anayejua mambo huwa habishani kwa kupotea potea na elimu yako ya kuunga unga juu ya biomolecular analysis...

Nilichokileta ni kidogo kulinganisha na nilichokifahamu na sijawahi kuwa nagoogle wikipedia kama ukivyo wew zaidi ya kucheza na hidden sites ambazo zinanifanya niamini baadhi ya mambo...

Full stop nakuomba ukale shule nene juu ya namna cloning inavyofanywa halafu uachane na maaelezo toka wikipedia kama reference point zako...

sio kila kitu kinawekwa wikipedia...ingekuwa ni hivo nadhani kila mtu angejua namna ya kuwatengeneza hata virus
Hata mm nimegundua unacheza sana na hidden sites,za deep web,ndio huwa kuna nondo km zako,mkuu uko vzr mno nimesoma points zako zote ni nzito hasa
 
hakuna sehemu nimesema aliens hawapo sawa nachopinga hapa ni kwamba sisi hatujaumbwa na aliens
unapingaje wakati huna elimu yoyote hata jinsi cloning inavyofanywa ...??

Unapinga nini wakati hata elimu inayotengeneza kuku wa kizungu huifahamu...

Mbaya zaidi elimu ya siri juu ya monoclonal genetics inayohusisha non coding bases kutumika kudesign new species of high knowlege ambayo nchi nyingi zinaamua kuitafuta kwa gharama yoyote ile lakini na yenyewe hujui hata ABC ,saaa itakuwaje kuamini juu ya Aliens ambao ndo wanaodhamini elimu hiyo..

Settle down kwanza uchuje ulichonacho kichwani kabla hujapinga...

soma kila kitu kwanza kabla hajapinga
 
Back
Top Bottom