Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

wewe kweli bado upo local kabisa kama kweli wew msomaji hujui kuwa google wanapanel ya kupublish research basi wewe ni jipu

https://scholar.google.com/

https://www.researchgate.net/topic/Google-Scholar

usirudie tena kutoa hiyo kauli
unaeleaa maana ya kusema kuwa google ina 4% tu na 96% are hidden from special sites...??

jamaa mbona tunarudi kulekule...

wew nishakwambia komaaaa na google kama utakuwa na uelewa zaid ya jinsi ulimwengu ulivyo...

nimefunga mhadala na wew kama una kitu chochote unachokijua kuhusu elimu ya mambo haya nadhani umedhihilisha kuwa unakimbilia kusoma soma unaulizia site huko ndo unakopi unakuja...

Unatumia zaidi ya nusu saaa kusaka ushahid wikipedia ,huna hata aibu aise...

unachojua ni kipi sasa mkuu??

Any way tuishie hapa...sitaweza kubishana na upupu unaotegemea wikipedia
 
Kweli kabisa.
 
mkuu click citation yako kwenye hilo jina ulilosahau kuondoa hyperlink wakati unapaste uone linakupeleka kwenye site gani hii hapa aise hujui kudanganya hata kidogo kijana wa gaia.com click kwenye jina david icke
Researcher David Icke anasema

source yako nyingine ni hii
https://www.history.com/topics/alien-and-sedition-acts
sasa utaniambia hizo ni hidden site acha siasa huna lolote
 
Mkuu umekuja kwa spid ya jet nikajua unakitu cha ziada kumbe na ww n kama mm nisiejua lolote juu ya izi mambo.[emoji53] [emoji53] [emoji53]
 
Kaumbukaaa
 
mbona huyo nimemweleza kula kwenye uzi wangu juu..kwani hujamwona..??

Wana JF eti huyo mtu sijamwongelea humo??

hujasoma uzi wote..

kijana kale vitu,nakushauri vitu..

ukiona nimemweka David Icke ni kuwapa watu ufahamu ili wakamsome walau kwa juu juu ila mambo ya monoclonal analysis hata David Icke hajayatolewa ufafanuzi...

Wew nimekulzia unaijua huijui ? umekaaa kimya...

soma mkuu usiwe unakula futari ukishiba unajaza bandle unakimbia site za wikipedia..

Ngoja nikuongezee site nyingine ambayo ina elimu ndogo ambayo itakusaidia angalia kuwajua zaii Aliens..
Tafuta site moja inaitwa http://galacticconnection.com/ huko utajifunza mengi pia kwa wewe unayetegemea wikipedia
 
@lifecoded japo jamaa ajui lolote kama mm lakn nimefrahia chalenji zake juu ya UZI wako.Coz kila alipokua anakchalenji ndipo ulimwag nondo zaid..Nataman aje mwingne tena akchalenj ili ufunguke
 
@lifecoded japo jamaa ajui lolote kama mm lakn nimefrahia chalenji zake juu ya UZI wako.Coz kila alipokua anakchalenji ndipo ulimwag nondo zaid..Nataman aje mwingne tena akchalenj ili ufunguke
karibu sana mkuuu
 
mbona huyo nimemweleza kula kwenye uzi wangu juu..kwani hujamwona..??

Wana JF eti huyo mtu sijamwongelea humo??

hujasoma uzi wote..
ninachomaaanisha umecite kutoka gaia.com hyperlink iliyopo kwenye jina lake ni ya gaia.com kwa maana hiyo hii post haujachapa umefanya kukopi na kupaste ndio maana ikaja na hyperlink za gaia site

mdau yeyote anayejua issues ya plagiarism hapa angekuambia kabisa umefanya hicho kitu na post yako pia ni supercopy kutoka kwenye gaia.com c kitu cha kubisha hapa
 
huyo hana lolote wala hajui alichopaste hapa jf
pia sikulazimishi uniamini mimi
ungejibu tu kuwa najua au sijui tukazama zaid ndani kuhusu cloning ilivyo na kama kweli umebobea nipo radhi tufike mpka kwenye superhybridization ya genetic bases ..

Kama hujui chochote sema ili wakuelekeze mengine usikimbilie kutoa sites google huko..

hivi tukisema tusitumie simu au google ,ili kila mmoja atumie uwezo wake aliofahamu kuhusiana na haya mambo utaweza kweli ..??

weka google pembeni twende na field ya cloning unayoifahamu wewe..

labda hapo tutaelewana na unieleze steps zote za cloning ,usikimbilie zile za kule goggle ambapo ni maelezo tu..
 
Nilimaanisha ww.Jibu maswali ya jamaa ili mjadala uendelee
nitamjibu swali alilouliza ni moja lakni mpaka sasa maswali yangu yote niliyomuuliza hakuna hata moja aliyotolea majibu zaidi ya kuleta sera na story nyingi
pia mpaka now hakuna article yoyote yenye kitu kinaitwa monoclonal genome badala yake kuna monoclonal antibodies
sasa kuna forums lina watu na phd zao nao nimewapa hilo swali ila majibu wanayotoa hawajawahi sikia hicho kitu labda nimekosea kutype
nachotaka sasa jamaa atume kitabu chenye hiyo article tufunge mjadala
 
Nilichofanya kwenye udhi wangu ni kutoa elimu kidogo juu ya non coding DNA au junk DNA na ndo mana nimeweka citation kwa kumweka huyo Icke ili iwe njia nzuri kwa wale learners wa mambo haya..

Nisingeweza kushusha shule ya molecular level inayohusiana na superhybrid cloning kwa kutumia monoclonal genomic analysis..wengi wangebaki kapa bila kunielewa ndo mana nimeanza kidogo kidgo kuwaeleza watu jinsi hata hizo DNA bases ni kitu gani ndo mana kuna watu wamenielewa vizuri hata pale nilipodadavua kuhusu Mambo ya base pairing rules na watu wakanielewa na wengine kadri wanavyosoma taratibu ndipo wanapoenda kutafuta source nyingine ..

Kama ningeamua kuleta udhi wote jinsi cloning inavyofanyika nadhani ningeruhusu maswali nyuma tena kwa learners wa kawaida kwani wangeanza kuniuliza nini maana non codin bases !! ndo mana kupitia udhi huu wale ambao wanajifunza au wanafuatilia mambo hayo wameanza kwenda sambamba na mimi..

Siku si nyingi nitakuja kuanzisha uzi mpya ambao ndo niataenda kuelezea jinsi cloning inavyofanyika( Hasa human cloning ) nadhani hapa ndo nakukaribisha uje na elimu yako ya kutosha tena kale shule unakojua wew nitakukaribisha kwa mjadala ..

sina kingine nikutakie asubuhi njema na kama ni mkazi wa ughaibuni nikutakie usiku mwema..

Umekimbilia kuuliza watu..??

duuhhh aise pole snaa manake unakiri kabsaa hujui chochote. ..

Mkuu kwa lugha ya kawaida tunasema kama hujui chochote ,you have no right to oppose...

Hiyo ni sheria ya kimataifa hata kwenye mikataba ipo..kama hujui chochote usipinge kaz ya mwingine..

nilikuambia kuwa hutaiona monoclonal genomic analysis kwa sababu ndo elimu ya siri juu ya cloning...

wanakucheka tu huko unakowauliza...

duuh wew jamaa
 
ni hadit
ni hadithi nzuri hii wakiipata bongo muvi wakaifanyia haki
 
Shukrani mkuu!
Lakini mkuu jiulize pia na hao alien walitoka wapi????
Kwanza Aliens is hoax never existed ni man made creature of imagination...
Una ushahidi kua Aliens wapo...?
'"The greatest lie devil ever told is to convince the world he didn't exist " , Kevin spacey .
 
Na huyo aliens aliumbwa na nan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…