Kuna tafiti gani na ugunduzi gani huko mizinga? Au na huko kunashukaga aliens?Bongoland nahisi ni kambi ya jeshi MZINGA[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
ujue nini tatizo la watu wa africa mpaka aletewe Aliens ndo uamini....
Pale mzee baba... Kwanza si pa kwenda kwenda hovyo... Halafu si waona palivyo kaakaa, jina tu linatisha.... Hivyo kwa vile ni eneo la siri hatuwezi jua ya sirini yanayofanyika pale... Ila moja ya sehemu muhimu sana tena sana kwa nchi yetu TanzaniaKuna tafiti gani na ugunduzi gani huko mizinga? Au na huko kunashukaga aliens?
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna ulinzi mkubwa sana maeneo wanaposhuka hao viumbe..Kuna tafiti gani na ugunduzi gani huko mizinga? Au na huko kunashukaga aliens?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la msingi ambalo naona unakwepa kulijibu ni kuwa hao viumbe wengine waliwekwa na nan?!kuna several thousands civilization za Viumbe katika universe...kumbuka umiverse is huge with a lot of unknown discovered civilizations..
Aliens are among civilized race occupying some specific planes with specific range of galaxy...
kuna baadhi ya galaxy kuna aina yake ya viumbe....
unaposema Aliens kuoccupy the whole universe sio kweli...
Wapo katika level tofaut depending na galaxy waliopo...inawezekana kabsaa hao Aliens waliopo kwetu ni kwa sabubu wapo ndani ya Milky way galaxy tu ila ukienda galaxy zingine utakuta aina nyingine ya viumbe wenye rank flan ya knowlege
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipafahamu mkuu, Sijui palivyokaa. Eneo la Siri kama Area 51 panajulikana na baadhi ya tafiti na teknolojia zilizozalishwa pale zipo na zinajulikana. Hapo mizinga vipi chief? Au ni taboo kupaongelea?Pale mzee baba... Kwanza si pa kwenda kwenda hovyo... Halafu si waona palivyo kaakaa, jina tu linatisha.... Hivyo kwa vile ni eneo la siri hatuwezi jua ya sirini yanayofanyika pale... Ila moja ya sehemu muhimu sana tena sana kwa nchi yetu Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuelekeze MZINGA utaenda..???Sipafahamu mkuu, Sijui palivyokaa. Eneo la Siri kama Area 51 panajulikana na baadhi ya tafiti na teknolojia zilizozalishwa pale zipo na zinajulikana. Hapo mizinga vipi chief? Au ni taboo kupaongelea?
Hata huku tuna Bermuda yetu pale Nungwi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna watu hapa kwetu wanaruhusiwa kuingia nyuma ya ile milima ya kambi ya ngerengere Moro?! Maeneo mengine ni ya kimkakati sio kila mtu aendePale mzee baba... Kwanza si pa kwenda kwenda hovyo... Halafu si waona palivyo kaakaa, jina tu linatisha.... Hivyo kwa vile ni eneo la siri hatuwezi jua ya sirini yanayofanyika pale... Ila moja ya sehemu muhimu sana tena sana kwa nchi yetu Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, naomba nikuulize Wewe! Vipi hapa bongoland walishashuka kwenye eneo la Siri? Wali exchange teknolojia gani na sisi?kuna ulinzi mkubwa sana maeneo wanaposhuka hao viumbe..
tatizo mtu kutaka Aliens washuke sokono ndo aamini...
Waulize watu wanaofanya kazi katika sector nyeti hasa jeshi ndo watakupa mambo halisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwa siri kwa sababu mashetani yanaitwa alien lakini siyo kwli.lakini mkuu,swala la Alien limekuwa kama conspiracy lakini kuna siri kubwa sana juu ya hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kitu nimemwambia huko nyuma kwamba tayari tumegeuzwa wajinga kwa kuwasomMkuu nikwambie tu kama ulikuwa hujui ukitaka kufaulu elimu pata 0. Ukipata 100 a b au c, unashushwa hadhi na unamwagiwa ujinga, Unatumia miaka 20 kusoma halafu unakuwa doctor ambaye hujui hata dawa inatengenezwa vipi, Akili tumezaliwa nazo shuleni tunafata upumbavu tu.
Kabisa kiongozi... Si kila eneo kila mtu anaenda... Hasa hilo eneo... Na sijajua ni kwanini...Hivi kuna watu hapa kwetu wanaruhusiwa kuingia nyuma ya ile milima ya kambi ya ngerengere Moro?! Maeneo mengine ni ya kimkakati sio kila mtu aende
Ni sahihi kabisa wasomi kuitwa wajinga wa kisasaHiki kitu nimemwambia huko nyuma kwamba tayari tumegeuzwa wajinga kwa kuwasom
Nitaishia kizuka.
wew si unajibu lako ambalo ni mungu ndo kaweka viumbe hao...Swali la msingi ambalo naona unakwepa kulijibu ni kuwa hao viumbe wengine waliwekwa na nan?!
huoni kwamba inaweza kuwa ni njia pekee ya kumfanya mtu awachukie na kumfanya kuwa mbali nao ili wao wafanye selective interaction huku wakipandikiza mambo yao??Inakuwa siri kwa sababu mashetani yanaitwa alien lakini siyo kwli.
Kipimo kilichopima umri wa universe kina miaka mingapi??wew si unajibu lako ambalo ni mungu ndo kaweka viumbe hao...
Kwa sababu hata ukielezwa how evolution ya universe ilivyokuja utakataa kwa sababu unaamini neno Mungu kama supreme being wa vitu vyote..
Sijakataaa kuwa hakuna controller wa mambo yotr but umesoma kuhusu doctrine zinazoelezea how different races came to arise..??
umesoma kuhusu how the universe arose..?? au umekalili tu kuna mtu alikuwa anakomand hiki njoo hiki rudi..
Naomba nikulize kitu..
hivi hapo mwanzoni mungu alikuwa anakaa na akina nani wakati tunaona kuwa umri wa binadamu kwenye universe hiii ,humans only evolved about 200,000 miaka iliyopita ...
lakini umri wa universe ni miaka Bilion 13.9 ,hivi huoni kuwa huyo mungu alikuwa anakaa na kina nani kabla ya kumleta binadamu ...?? yani kwamba alikuwa ana species za kina Dinassaors pekee..??
Sent using Jamii Forums mobile app