This is the evidence that shows the opposition was raided by the police. Lakini hawajui kuwa bado tuna tallying center nje ya Nairobi na nje ya Kenya. Nitatengeneza thread ya matokeo kutoka kwenye hizo tallying centers. Ningeomba watu wa NASA tue na utulivu. Tulitegemea hiki kitu. Bado tuko vizuri. Tena sana.