PROOF: Kenyans love Tanzanian Music than Kenyan Music

Je kuna vijana wa kitanzania wanapenda sana mziki wa kikenya kama vijana wa kikenya wanavyopenda mziki wa kitanzania?.

kama wapo,wakenya leteni ushahidi hapa.ila msipaniki.[emoji23] [emoji23]
Tupo mkuu.
nawakubali sana Jua kali,Meja,Nyashiski..Juliani na Khaligraph Jones
 
Sammuel999 kuna thread nimeona unaniita.

kuhusu mwanamziki wa kike sanaipei,mimi sina shida nae.namkubari sana toka kipindi kile aliposhirikishwa na juakali.
 
job well-done @Annael.keep them posted.[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
that one is very true bro.hasa zile matutu za buru58,ni ngumu sana kusikia soft music.the music played is very loud and has some element of hardcore...wale watu PB na tuberculosis zile matatu haziwafai.

Hehehe nimejikuta nacheka eti tuberculosis umenikumbusha wimbo wa Dully sykes unaitwa Lea umekwenda...

Kwakweli hata mimi napenda daladala yenye muziki sasa ukipanda na watu wazima utasikia konda punguza sauti ya mziki mara tunaongea na simu ,vijana wanaishia kununa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…