kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
- Thread starter
- #241
si bora hawa wa kwetu wanajitahidi....ukisikiliza kiswahili kinachoimbwa na wakenya unaweza ukatapika kabisa.Hawa wanamuziki hawana watu wa kuangalia matamshi yao kabla ya kwenda studio...maneno sale sale badala ya sare sare yanatia kichefuchefu.