kwanza kuna huyu jamaa anaitwa fidQ..huyu legacy yake ipo..diamond ali kiba na huyu jamaa wangu proff jay..akina chege waliwahi kuvuma sana na sasa darasa ndio habari nyingine..jamaa kajaaliwa rundo la kipawa na sijui ile sheng kajifunzia wapi maana ina mshiko ajabu
bongofleva ni noma kaka....hili swala halina ubishi mziki unaopendwa zaidi east africa ni bongo flavor...............................na wasanii wanaokubalika zaidi east africa mpaka africa ni wa tanzania, kama niliwah kuingia club mmoja mombasa inaitwa casablanca niliskia nyimbo ya allykiba ya aje ikirudiwa 3 times na watu wakinogewa zaidi
At least muziki tunaeza taja kina wyre,sautisol,khaligraph,octopizzo,bahati,nonini,avril,akothee,willy Paul,jua Kali,eko dida,Timmy tdat,Nyashinski,etcCollins unatafuna miraa saa hii?.
We hujawai kufika Mombasa kama hujui Nyali bridge so shut the fuckk up mseehili swala halina ubishi mziki unaopendwa zaidi east africa ni bongo flavor...............................na wasanii wanaokubalika zaidi east africa mpaka africa ni wa tanzania, kama niliwah kuingia club mmoja mombasa inaitwa casablanca niliskia nyimbo ya allykiba ya aje ikirudiwa 3 times na watu wakinogewa zaidi
nashkuru amemtambua nguli wa hip hop Tanzania fid q........[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Kam twitter uone vile mnakojolewa mseewakati wakenya wanaojielewa wanakubari bila kuficha kuwa bongofleva ni moto wa kuotea mbali,wewe unakuja na porojo ya Twitter. SMH.
kama shida yako ni screenshots za wakenya toka Twitter wakisifia mziki wa tz na artist wa tz,usijari nitazileta.ila kwa sasa tubaki kwanza YouTube.
musically, bongofleva rules EA ,even your top artist like caligraph jones,are down with it.can you imagine!!.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
we mzee wa iphone 7 usifanye ubishi kua mazoea kwa hili halina ujanja mziki wa tanzania unatamba sana Africa na unapendwa sana tena sana na wakenya na ukiangalia side effect utagundua mziki wa tanzania ndio umeua soko la mziki wa kenya kwenuAt least muziki tunaeza taja kina wyre,sautisol,khaligraph,octopizzo,bahati,nonini,avril,akothee,willy Paul,jua Kali,eko dida,Timmy tdat,Nyashinski,etc
Ebu nitajie mtz kwa the following categories;
1.Athletics
2.Rugby
3.overseas Footballer ie wanyama
4.international actor ie lupita
5.any Tanzania Nobel prize winner
hahaha ntakupigia copy ya passport yangu uone stamp ya lungalunga entry na exit ndio utaniheshimuπππππWe hujawai kufika Mombasa kama hujui Nyali bridge so shut the fuckk up msee
sasa unachotuonesha na kitu hata wewe unaweza fanya sasa hvi...nonsense
Cjakataa haitambuliki ila pia Kenya kuna wasanii renowned Africa kama group maarufu sana ya sauti Sol,jaguar etc sasa nitajie any of the above watanzaniawe mzee wa iphone 7 usifanye ubishi kua mazoea kwa hili halina ujanja mziki wa tanzania unatamba sana Africa na unapendwa sana tena sana na wakenya na ukiangalia side effect utagundua mziki wa tanzania ndio umeua soko la mziki wa kenya kwenu
asante kwa kuelewa ππππππBongo fleva kweli imeshinda kenyan muzik..hapo siwezi kanusha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]At least muziki tunaeza taja kina wyre,sautisol,khaligraph,octopizzo,bahati,nonini,avril,akothee,willy Paul,jua Kali,eko dida,Timmy tdat,Nyashinski
Yeah you are right. Penye ukweli usemwe, Bongo flava and Naija music.....and to some extent SAn music have taken the Kenyan music scene by storm, such that many Kenyans dont care about their own music that much.
Some Kenyans argue that they like Bongo flava cos it's poetic, the beats well organized, not as discordant as in the Kenyan music, but it is not clear to me why then SAn or Ngrian songa are more popular than the Kenyan songs cos they sound quite the same in terms of the tempo and the trashy messanges.
soma hapaCjakataa haitambuliki ila pia Kenya kuna wasanii renowned Africa kama group maarufu sana ya sauti Sol,jaguar etc sasa nitajie any of the above watanzania