[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]dah! jamaa unalewa na sifa...umefurahi sana...haha congrats lakini..thread nzuri
WHY LIE..BONGO MUSIC HAS THAT BEAUTIFUL AFRICAN ORIGINAL BEAT..WHILE KENYANS TRY TO COPY AMERICAN RAP..KING KAKA TRIES BUT MOST KENYAN ARTISTS ARE JUST TRYING TO SOUND AMERICAN..
Nyashinski.namuelewa sanaHilo linafahamika
kuilinganisha Bongo flava na vitu vya kipumbavu nikutuaibisha kabisa,
wakenya wakazanie mbio tu ndio fani yao
Achana kabisa na. Beka.Sikiliza Kitu kutoka kwa Dogo
ujue kabisa Bongo inavipaji
mtu akiimba kuhusu Mapenzi kubembeleza kweli Mashairi yanatulia
Njoo kwa wenzetu eti DAWA YAMOTO NI MOTO HAHAHA Kuna vita
music sio vita mdundo mkuubwa mashairi Ziro
Hamna kitu hapoKenyan Rock bands.......oh, sema goosebumps!