saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
FAMILIA ya WATU WAZURI HAWAFI baada ya Rais Samia kuingia madarakani ilimtengezea kitu kinaitwa SUKUMA GANG kwa lengo la kumtenganisha na watu wote waliowahi kufanya kazi kwa uadilifu na matokeo chanya na Hayati John Magufuli.
Watu hao ni miongoni mwao ni Job Ndugai, Polepole, Bashiru, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, IGP Sirro na wengine wengi
Swali je Kampeni ya SUGUMA GANG imeishia wapi tunapokwenda 2023?
Watu hao ni miongoni mwao ni Job Ndugai, Polepole, Bashiru, Kalemani, Lukuvi, Kabudi, IGP Sirro na wengine wengi
Swali je Kampeni ya SUGUMA GANG imeishia wapi tunapokwenda 2023?